JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mdada anasema eti ananipenda lakini hana uhakika kama 2tadumu katika mahusiano et kisa ye yupo Ccm na mimi nipo Chadema. Kauli hyo aliitoa juzi baada ya kuniona nimejikita zaidi katika...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni story ndef lkn naifupisha. Mimi ni mpoleeee original baada ya kuhisi siwezi himili vishindo vya members wanaonibeza nikabadilisha pas-wed yang nikitumia wxyzwxw yaani sikumbuki hata nilizipanga...
5 Reactions
409 Replies
18K Views
Jamani kama unajua ulishawahi kutembea na mume/mke wa mtu we sema tu. Hata kama ukataja/usipotaja na jina lako halisi sie tunachokuomba uombe msamaha kwa mhusika, kwani ni moja ya toba...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
jamaa mmoja alikwenda hotelini akaagiza juisi ya apple lakini alipo ionja ikawa na ladha ya sabuni,akauliza "mbona hii juic inladha ya sabuni? mhudumu akamjibu 'samahani kaka hiyo itakuwa juic ya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Huyu Rafiki kila kitu anataka kuchakachua! Mkiwa kwenye kikao anachakachua main point, kwenye mazungumzo anachakachua hadi unapoteza uelekeo wa mazungumzo...Kwenye Siredi sasa! yani thread ina...
0 Reactions
8 Replies
991 Views
Jamani mi ndo natoka kwenye hii kompyuta ambayo kampuni imenipa ili nifanyie kazi, lakini mimi sometimes naitumia kuingilia Jf na kuanza kuwaponda mafisadi wezi wa fedha za wananchi. Asanteni kwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
kupigwa kituu?
0 Reactions
1 Replies
985 Views
Salam wanajamii wapi wale vidume wenzangu? wapi wale warembo wetu? Wapi wale waungwana? Wapi wale makaidi? Kwa unyenyekevu ninaomba ujio wangu pokeeni. Naahidu ushiriki, kamwe...
1 Reactions
64 Replies
4K Views
Sijui kwanini hii tamthilia haiishi manake tangu wakati ule naangalia tv kwa mwenyekiti wa kijiji mpaka leo namiliki tv yangu bado imo. Wadau hebu mnijuze hapo imekaa je.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Leo nimekurupuka kwa mbwembwe toka home nawahi job, napanda daladala huyoo. Imefika wakati wa kumpa kaisari yaliyo yake kaisari He! sina vitambulisho wala hela. Yani mifuko kama ya suruali...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari, Leo kuna babu amekuja TBC kwenye jambo Tanzania kulalamikia swala la upatikanaji wa maji huko Tandahimba. Anasema pande zile mkulima haogi siku hata 4 zinapita na maji ya kunywa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jina: Jacob Joachim Mkoa: Kilimanjaro Wilaya: Moshi Jimbo: Vunjo Chama: Chadema Umri: 22 Napenda usawa Mimi ni rasilimali ya taifa na hivyo naamini kwamba matumizi sahihi ya rasilimali...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Smiling Saint JF Senior Expert Member Send Private Message User Notes (0) Find latest posts Find latest started threads Likes Received (82) Likes Given (100) like ya 101, hebu...
1 Reactions
72 Replies
4K Views
Hah! mie nilikuwa sijui kumbe zinafanana na rangi za kina Nassari!!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
huyu jamaa anaongea kama kameza flash, yaan ana maneno dictionary inasubiri. Sema lolote kuhusu huyu jamaaaaaa
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mmeamkaje?(kwa wale mliolala jana) leo nimerudi enzi zangu za form one...tulipokua tunalazimishwa kutoa speech asubuhi...mbele ya halaiki...wanafunzi na walimu. asikuambie mtu shughuli ilikua...
0 Reactions
70 Replies
6K Views
Hii style mpya ya kung'oa vioo vya gari kwenye foleni kweli limekua tatizo sasa hapa mjini dsm. Hivi wanashawishi wenye mali zao kuwatwanga risasi za viuno labda watashika adabu. Tunatiana hasara...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kati ya hizi naombeni msaada tafadhalini
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Eti wajameni kwanyi neno PEDESHEE/PAPAA lina maana ganyi maana kitaani madem na wanawake(wake za watu) hupendanga kuniitanga Pedeshee Mkarewenyu ila nashindwanga kuwaelewanga wana maana ganyi.
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Mama mmoja akiwa na familia yake akidai kabomokewa nyumba yake kwa upepo mkali, Amezua tafarani ndani ya ofisi za airtel baada ya kulazimishwa kutoka na mlinzi wa ofisi hizo. Mama huyo akirusha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom