HAbari wapendwa?
Mimi kwa kweli kila nikisikia yafuatayo nitakumbuka tu Arumeru mashariki
1. Lusinde
2. Nassari
3. Sioi
4. Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu
5...
Mke wa Frank anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi videmu.
Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za dinner. Siku
moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu...
...kauli hii ilitolewa na mnazi wa ccm ambae (kama Rejao et al) aliedai CHADEMA hawawezi kushinda Arumeru. Baada ya matokeo alisema hivi:"Nilijua ccm itashindwa, ila jiulize swali hili, kama una...
Kuna Kibwagizo huku mtaani mida hii kinasema "Alisema Haoi sasa kaolewa..x2 ...Alisema Haoi Sasa Kaolewa..Alisema Haoi Sasa Kaolewa.....!! Peopleeeeeeeeeeeeesssssssss!!!!!
Binti alikuwa anaongea na mama yake:
Binti: Mama, nakuhakikishia siwezi kupata mimba katika uanafunzi wangu, mpaka nitakapoolewa.
Mama: Loo mwanangu, utakuwa umenipa heshima kubwa sana mimi mama...
Wana JF niko Arusha nakuja Dar for Easter na family yangu ya watoto wawili ,dada na baba yao.
Natafuta apartment nzuri budget iwe $ 100 or less per night.
2 Bedrooms,kitchen e.t.c.
Please...
Nina furaha sana siku ya leo na sababu kubwa ni kuwa leo ni birthday yangu.Sikujua kwamba unapokuwa umetimiza miaka 25 ndo JF inakutambua kama Senior member.Namwomba Mungu anipe kibali cha kuishi...
Alikuwa akisafiri kwenye barabara kuu akiwa juu ya pikipiki yake. Alikuwa akiendesha kwa wastani wa kilimeta 65 kwa saa. Jambo lenyewe lilitokea ghafla sana. Aligeuka kutazama pembeni mwa barabara...
Jamaa mmoja anaishi na demu wake sa mara nyingi huwa akitoka analudi usiku,
siku inayofuata jamaa katoka kama kawaida akapitia maskani kwao,Bas yule demu wake akaingiza mwanaume ndani,
Imefika...
Kuna chumba chenye milango 4 (Kaskazini, kusini, Mashariki na Magharibi) kila unapoingia ndani ya chumba hicho ni lazima ulipe sh. 5 na unapotoka pia ni lazima ulipe sh. 5...
Lakini kila...
Chizi mmoja alipanda juu ya mti wa mwembe.Alijining'iniza mtini kwa kushikilia tawi mojawapo kwa muda wa nusu saa.Mara ghafla akajiachia na kuanguka chini na kuumia vibaya sana.Daktari wa vichaa...
Refer to the heading above,
I would like to wrn you that if you try to talk to me you will surely fall in love with me and when you fall i will definitely break your heart into...
hivi jamani inakuwaje pale wanamuziki wetu wanapodai eti wameibiwa mistari au mashairi yao.., kwa mfano juzi kati kulikuwa na bifu kati ya rich mavoko na dogo mmoja hivi kuhusiana na wimbo wa...
kama ilivo ada na ID zangu tatu (G Mpoleee + Mpoleeee niliyomeza kipisi chenye pw) nimekuja kuwasalm wan jf. Shule ngumu jamani ila nimepata livu ya easta. Taratibu mtoto mpole na mrembo mm...
Jamani kwa takribani wiki moja kama sio mbili hili jukwaa maarufu sana hapa JF silioni.
Je limeondolewa kabisa au linafanyiwa marekebisho? Naombeni update zenu waku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.