JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika maongezi na Waziri Mkuu wa Uingereza Bw. David Cameron walipokutana mjini Davos pembeni mwa Kongamano la Uchumi la Dunia jana Januari 26, 2012
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Huyu mtu sijui karogwa au sijui vipi..... nunueni magari mengi zaidi ili wawekezaji binafsi wawajengee barabara Hii kauli yake imeniacha domo wazii.....huyu jamaa hivi yuko siriasi kweli?
0 Reactions
56 Replies
4K Views
mwenzenu homa naona imenikamata mpaka naogopa
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hivi watanzania tumefikia Kutojali muda kiasi hiki? What the hell is Dakika Sifuri. Ndio maana ukienda sehemu mbali mbali kupata huduma, ukiuliza bado muda gani unaambiwa Bado Kidogo...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Naomba kujua kama hizi tabia tulizonazo sisi kina kaka pia kina dada nao huwa nao huwa wanaambianaga, kwa mfano utakuta vijana huwa wanaambianaga kua aisee yule demu anajua majambozi au yule aisee...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
kutokuwa na shule,mwanamke sio tu inakunyima fursa za kazi nzuri na kuwa na maisha mazuri...ila pia hata wachumba na mabuzi unapata yale ya low quality lol unapata mwanaume hana shule hana kazi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
shop hapo dar.....nilikuwa niuze nguo,viatu electronics pamoja na fenicha ila naogopa wabongo hatuna culture ya kutoa msaada,wabahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiliiiiiii....kila kitu mnataka mletewe...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Niko hapa stendi ya arusha ndani ya mabasi yanayoelekea moshi.Kuna hawa wauzaji wa vitu vidogo vidogo wanapenda kweli kuja madirishani kuadvertise biashara zao. Mmoja anauza miwani,na akawa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama kuna MwanaJF single, na mdada yupo Iringa jioni ya leo naomba aniPM tuende viwanja tukaselebuke esp. VIP Club. Just to have fun na sivinginevyo plse, nsije shambuliwa hapa. WanaJF ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Halal means ‘permissible’ in Arabic. So, Muslims cannot eat foods that are not ‘Halal’. Similar to Jewish Kosher laws, Muslims cannot eat any pork or pig meat. The Qur’an does not state why...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"mfungwa wangu anatamani gereza lako"(nakumbuka alikua anafundisha mtu kutongoza)....salute ulietupia hii, maana haipiti cku cjaukumbuka na kucheka. ww unakumbuka msemo gani humu JF? unaokupa...
0 Reactions
66 Replies
4K Views
1. Kujiita romantic wakati uko single. 2. Kung'arisha viatu wakati unaenda kupiga passport size. 3. Kukaa kiti cha mbele karibu na dereva halafu unamwambia konda shusha. 4. Kumwamsha...
9 Reactions
125 Replies
7K Views
Tanzanians eat rats I have no idea if this is the case which place of Tanzania we eat rats
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Eti umeolewa na mvuvi halafu, -Hupendi adamkie majini......??? -Unachukia shombo.........????? Babu DC!!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakati watu wanagombania kupanda mabasi kama kawaida yao,bibi mmoja alipanda akapata siti bila shida konda akamuuliza"bibi mbona unalia??" bibi akamjibu "mjukuu wangu kwa miaka 25 niliyoishi...
10 Reactions
31 Replies
4K Views
Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana ucku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nipo ndani Ngome Konge Zenji nacheki Movie za Kibonge karibuni,Mx
0 Reactions
0 Replies
899 Views
weee kabakaba tunakuomba badilisha hiyo avatar yako inatuumiza na kutunyanyasa kijinsia watoto wa kiume.Wenzio tunashindwa kuchangia mada vizuri humu kwa sababu ya avatar yako,tunaloose...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
A beautiful, sexy, good looking lady was sitting next to a guy in a plane...... The lady said to him ' Can you help me remove something from my breast please? ‘The exciting young man replied...
0 Reactions
0 Replies
644 Views
Baada ya kuona mumewe amekawia kurudi nyumbani bibi alipatwa na hasira akaamua kumpigia simu kwa hasira ''.... Uko wapi mpaka sasa hivi kinyago cha mwanaume wewe?"......mume akapokea kwa sauti ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom