JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo ni weekend nani unampa salamu ili aenjoy weekend yake kutokana na maneno mazuri uliompa . Mimi nawapa wote salamu wale wanaonikubali. Weekend njema na ufurahie pia
5 Reactions
13 Replies
540 Views
Lizaboni alikuwa matata Sana humu, alikera na kweli tukakereka kweli kweli. Yuko wapi , amepotea tangu Mwendazake azikwe. Yuko wapi mwamba Lizaboni?
8 Reactions
73 Replies
3K Views
Miss Chaga, Masai dada, Lizabon, Msalani na Laki si pesa Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
0 Reactions
9 Replies
596 Views
Tujuane kwa aina ya simu tunazotumia.... ukipata mwenzako msalimie...[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
0 Reactions
49 Replies
2K Views
~Tusingepita kwenye ct scan ~Tungeshindwa kupanda ngazi ~Tungeshindwa kukumbatiana ~Tungeshindwa kupika ~Tungeshindwa kukimbia kwa kupokezana vijiti. ~Tungeshindwa kupuliza tarumbeta...
0 Reactions
5 Replies
447 Views
Kuna watu wananifwata inbox kwasababu ya hiyo avatar. Please stop that mimi ni janadume lenye madevu mengi hiyo avatar ni manzi angu.
1 Reactions
8 Replies
702 Views
Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia. Basi bwana .... Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema...
47 Reactions
286 Replies
14K Views
Hello wana JF ktk tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi majina tunayobatizwa au tunayopewa na wazazi hufanana na tabia ambazo tunakuwa nazo tukifika ukubwani. Na hii hugundulika baada ya...
0 Reactions
422 Replies
165K Views
Wadau natumai nyote ni wazima wa afya, ningependa tujuzane kila mmoja ashare nasi starehe yake ni ipi ili kuwapa watu nafasi ya kujua starehe ni nini. Binafsi starehe yangu ni kuiona familia...
8 Reactions
150 Replies
9K Views
Me Binafsi nikisikia ama kuona neno TOZO akilini mwangu mtu wa kwanza anaenijia ni Mwigulu sjui kwako ww mdau
3 Reactions
8 Replies
502 Views
Ukikutana na mbwa njiani kabondwa kaumizwa anatia huruma anataka umuhurumie. Chukua Jiwe lingine mbonde fukuza akafie mbele au kama unahuruma sana na mbwa muangalie tu then ongeza mwendo. Maana...
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni katika kijiji cha Kizito mtaa wa Hakibebeki kulitokea jambo la ajabu sana ambapo kijana mmoja aitwae Kifo alisababisha kustopisha shughuli za watu wote na majirani wakaribu...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Mniwie radhi wakuu nimekuja kwa Anko hapa Mwanza nikaona hiki kidubwana kwenye Tv ningemwambia Anko ninawish kukipanda akaniambia ofisini kwao kipo atanipeleka kesho saa 10 jioni Naomba mawazo...
0 Reactions
4 Replies
523 Views
Habari wakuu Ulijihisi vipi ulipotakiwa kumuacha aende mtu uliempenda sana akakuingia mpaka mishipani.
1 Reactions
15 Replies
713 Views
Kwanza mimi huwa najiulizaga, hivi mawazo yanatoka wapi? Inakuaje unatokea kuwaza tu mfano unawaza ngoja niandike uzi. Japo sijapata jibu lakini naamini mawazo/thought are social influenced...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari Jf Tulipokuwa watoto tulinyonya fluids toka tumboni in the womb tulipozaliwa tulinyonya kimiminika lactogen ya binadamu toka kwenye matiti. Kuna mwenye hoja zaidi tukizingatia binadamu...
2 Reactions
12 Replies
656 Views
Umeamka zako asubuhi unakutana na meseji kutoka kwa mpenzi wako anakwambia" Kuanzia leo mimi na wewe basi "......Utamjibu nini?[emoji31][emoji31]
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Asalaam alyeikum wana wa sensa..? Hii dunia inamambo na watu wa kila namna, wengine sijui tujiweke kundi la namna gani..! Weekend fulani hivi tulivu,mida ya saa sita usiku nilikuwa bar fulani...
5 Reactions
4 Replies
858 Views
Wasalaam.... Naona makarani wanapiga chenga za kututembelea wakat tumewapikia na diko kabsa wasije kusingizia njaa, Binafsi kama mimi mzaliwa wa tanzania mwenyeji na mkazi wa R-chuga nlipenda niwe...
2 Reactions
19 Replies
740 Views
Bongo ni sehemu ambayo kifurushi cha wiki kinaisha kwa siku 😂
0 Reactions
2 Replies
424 Views
Back
Top Bottom