Wakuu, kuna kademu kanapenda sana kuwasiliana na mimi japo kana mtu wake, ila kanapenda sana kunipigia pigia. Mara kanipige pige mabusu kwenye simu, sasa ni rafiki tu ananiambia yeye hawezi kuwa...
Leo nipo job hapa hamna kazi, mizigo imechelewa kutoka bandarini so leo kuchat tu..Sasa nikawa nawaza hivi binadamu tungekuwa tumegawanyika kama ilivyo weusi na weuspe katika muktadha wa kwenda...
Rafiki yangu nakupa ukweli japo ukitaka kuupinga Basi yes upinge kwa hapa town nimefanya tafiti wanywa bia wengi wa bar wanauza mwandu.
Labda ubahatike mke anayekunywea nyumbani ila akienda bar...
Kumbe Moshi, Kilimanjaro ndio kumewaka namna hii hakika hakuna mpinzani nimejaribu kutupia hapa vibweka vyake uploading imeshindikana ni hatari sana labda mnaweza kuchungulia insta, mimi ni mpenzi...
Dark humor
is a style of comedy that makes light of subject matter that is generally considered taboo, particularly subjects that are normally considered serious or painful to discuss.
Writers...
Iko hivi, wanawake wengi wanamiliki wanaume wawili, Mwanaume wa pili anajua Kabisa kuwa huyo demu ana Mshikaji wake anakula pale (mpenzi, mchumba au mume), ila yule Mwamba wa kwanza anajua Yuko...
Wakuu Salama humu ndani.
Nimekuwa member humu ndani ya JamiiForums kwa miaka Mingi na huwa najivunia Sana kuwa nimejifunza Mambo mengi Sana na kutatua migogoro Mingi ya kiimani, Kisheria na...
Kuna wadada kipindi nipo mdogo nilikuwa natamani saana kukutana nao live na wengine nilikuwa natamani saana kula njegere zao kabisa
Ila nashukuru kuna ambao nimekutana nao na wengine nimekula...
Habari wana JF.Addiction kwa kiswahili imenitoka kidogo.
Ila nathubutu kusema nimeathiriwa na mitandao ya kijamii yaani hata mwaka hujapita toka nimeijua JF Ila sasa imeshaniathiri yaani muda...
Duuh yani baadhi ya vitu ni ngumu kuamini kuwa kuviacha ni janga la koo na ulimi soda ni moja ya vinywaji pendwa kwa watu ila baadhi ya watu wanashindwa kujitambua kuwa imeadhiri mfumo wao wa...
Wakuu salaaam!!
Straight to the point katika maisha ni bora sana ukiwafahamu watu tofauti ubaokutana nao katika shughuli mbalimbali za kimaisha...
Binafsi katika swala la makabila napenda kujua...
Huyu jamaa ndio mwamba wa GOLDEN DEER [emoji1662][emoji1662][emoji1662] T 712 DPK anayezisumbua SCANIA za SAULI [emoji1631][emoji1631] za DAR - MBEYA - TUNDUMA
Ametrend sana wiki hii akiwa na...
Katika kutekeleza kauli ya Waziri wa Fedha, ya kututaka tuhamie Burundi kama hatuwezi kulipa tozo za miamala ya simu, jina lako la Burundi unaitwa nani? Mimi naitwa Renzoimana Barberashimiye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.