JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama hutumii dodoki na kijiwe asee hutakati. Ni sawa tu na kunyeeshewa na mvua.
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari! Sina maelezo mengi. Naomba tu kuuliza. Inakuwaje kijana anakunywa pombe na wengine huvuta na sigara juu?
5 Reactions
17 Replies
951 Views
Nimekuwa napata shida sana. Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu. Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji...
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Hebu fikiria chupi imefuliwa hali yake ndio ivyo. Je huyo mwenye chupi anafananaje. We fikiria tu baadae ohh kimoja chali utapataje mood kwa msichana mchafu.
1 Reactions
4 Replies
725 Views
Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya🙏 Ndiyo hivyo🤜
32 Reactions
82 Replies
5K Views
Wakuuuu poleni na majukum. Ndugu yenu nimekuwa kikazi mkoani yapata miaka mwaka mmoja leo nimelejea jijini dar es salaam . Ndugu zangu kipindi cha nyuma nimekula bata viwanja vilivyokuwa...
1 Reactions
51 Replies
10K Views
Wakuuu poleni na majukumu. Ijumaa ntakuwa dodoma ndugu yenu naombeni location ya kiwanja cha bata chenye watoto classic kinachojaza toto zinacheza mziki mkubwa hapa makao makuu Dodoma...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Ndugu wapendwa huu uzi hauna maneno mengi ila mwenye macho haambiwi tazama.
4 Reactions
12 Replies
652 Views
Sijui pesa kuenda wapi,sina michepuko nina kagari na kapikipiki tu basi Gunyumba hagujaisha kujenga Je wewe ulishawahi kuishiwa kiasi cha kuona kizunguzungu halaf hata wa kumkopa kumkosa ?yaan...
3 Reactions
88 Replies
8K Views
Mko poa unakutana na manzi unampenda Sana unampa mahitaji yote Ila mechi hupewi lakin hapo hapo Kuna mchizi anakula free bila kutoa kitu imemtokea mwanangu mmoja
0 Reactions
33 Replies
967 Views
Wakuu habari? Nategemea kwa kibali cha Allah nitakuwa na safari ya Newala toka jiji la Makala. Je, ni mabasi yapi mazuri yanakwenda huko? Nauli kiasi gani? Temeke sudan yapo? Ahsanteni sana wote
1 Reactions
4 Replies
358 Views
Najua wanakwaya mtakuwa mmesharudi nyumbani baada ya ibada makanisani!hii pia unawahusu wale wote tulio wahi kuwa wanakwaya makanisani,tuka -staafu,staafishwa,fukuzwa nk ! Nahata washabiki na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mahitaji makubwa kipato kidogo Dili zinagoma unaamua kutulia tu How do you handle this fellows
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Meanwhile [emoji172][emoji169] Italian Relationship: 1st day= Sex 2nd day= Sex again. French Relationship: 1st day = movi & kiss 2nd day = Sex 3rd day = Sex again British Relationship: 1 day=...
10 Reactions
14 Replies
1K Views
Wasalaam Tanga kunani ,sehemu inaitwa Kilima Mzinga, Tanga huko ni maarufu kwa wachimbaji wadogo wadogo wa dhahabu ila mazingira yale ndio yalinifanya kugundua kuwa kweli Tanzania ni kubwa aise!
0 Reactions
0 Replies
781 Views
Kumekuwa na utani mwingi juu ya walio na hela na wasiokuwa nazo. Sasa hapa huu uzi utakuwa maalumu kwa wenye hela kuwa motivate wasiokuwa nazo wazitafute kupitia quotes (nadhani ni misemo kwa...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Wakuu mko poa? Za ndani kabisa inasemekana yule mzungu wa Simba Dejan Georgijevic kumbe alileta vifaa vya kuhesabia raia kwenye zoezi la sensa. Hivyo Simba wakaamua kumdaka juu kwa juu ili...
0 Reactions
2 Replies
346 Views
Ndugu msomaji wasaaalaam [emoji120][emoji120][emoji120] Naombe niombe radhi kua kichwa cha habari na maudhui yatakayopatikana hapa hayana uhusiano wowote ule[emoji16][emoji16][emoji16]. hata mimi...
0 Reactions
12 Replies
748 Views
Hili swali lilikuwa muhimu sana. Kwa nini? Serikali ingejua kwa kiwango gani wanaume tunajitoa kusitiri wanawake wasioolewa au michepuko kwa kiasi gani,hii huenda ingesababisha mishahara yetu...
0 Reactions
5 Replies
444 Views
3 Reactions
6 Replies
469 Views
Back
Top Bottom