JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama kichwa habari hapo juu Nimenunua jiko la plate mbili seperatively yaan nimenunua kimoja kimoja. Jiko lina wiki tu ndo limekuwa hivi. Yaan vioo vikepasuka pasuka kwa pembeni.
6 Reactions
73 Replies
9K Views
Habari JF Mimi ni mgeni hapa Dar es salaam. Sasa nimepata Bajaj kwa ajili ya Uber na bolt Ila mji siujui Sana. Eneo ni Kariakoo Posta nk Je, nitumie njia gani ili niujue mji kwa haraka Ahsante...
0 Reactions
17 Replies
578 Views
Niaje Wazeiyaaaaaaaaaaaah.... EBANA SAWA: Mnamkumbuka yule dogo ex-gf wangu (nilowaambiaga kuwa kila napomkumbuka lazima stimu zinipande nanyakua mto najilipua..... Yule niloanza kumgonga tangu...
9 Reactions
155 Replies
10K Views
Nimeomba namba Kwa pisi flan Kali kichiz ila sasa nilikuwa Niko vyombo nililewa vibaya mno, pisi iliniambia Huwa hainywi pombe, sasa washkaji naomba mnisaidie ile namba aliyonipa nilisahau ku-save...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Kwenye haya mambo hakuna haja ya salamu! Mke wa Ngosha mmoja mweny asili ya kimanga mchanganyiko na wayao alinivutia Sana siku za mwanzo. Kadri tulivyozidi kuwa karibu mdomo ukachemsha. Matamsh...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Linapokuja swala ku kudedicate music kwa umpendae. Huwa unatumia mbinu gani kujua ni aina gani ya mziki anapenda umpendaye ili usije m boa kihisia juu yako. Karibu kwa mawazo🎶
0 Reactions
3 Replies
280 Views
Nyimbo za michano naonaga ni za watu waliochanganyikiwa,eti 🤔? Afu kichwa hakijakaa sawa Leo,sijui kwann...daaa🙄 🚴🚴🚴🚴
3 Reactions
38 Replies
2K Views
A woman takes a lover home during the day while her husband is at work. Her 9 year old son comes home unexpectedly, sees them, and hides in the bedroom cupboard to watch. The woman's husband...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
This is a bad one ... First-year students at Med School were receiving their first anatomy class with a real dead human body. They all gathered around the surgery table with the body covered...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
The biology class was asked to draw the female sex organ in an exam, one lady opened her legs to see, the boy next to her screamed: "Sir she's coping from the original...!".
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Eti wakuu hii imekaaje? Ni kweli ndoa za sasa huvunjika kwa sababu ya kuoana makabila tofauti? Nawakilisha tu
0 Reactions
4 Replies
524 Views
baadhi ya vitu ambavyo wanaume wengi tunavifanya automatically na wanawake huwa hawaelewi kwanini tunafanya. Unaweza ukaongezea kwenye hii list inayofuata: 1. Kwenda kwenye Matukio ya Michezo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Funguka hapa.....
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Nina muda mrefu sijaonekana jamvini, majukumu ni mengi sana. Kwa sasa mimi ni baba Gebbie, nastahili pongezi. Jumapili iliyopita baada ya ibada nilikuwa nasikiliza earphone. Mke wangu alinifanyia...
19 Reactions
52 Replies
4K Views
Kuna muda unakuwa una waza kwamba hivi tangia nimezaliwa nimeshakutana na wanawake wangipi mpaka umri ulio nao sasa hivi.. na ukisema uanze kuhesabu na vidole walahi unajikuta unarudia round kibao...
1 Reactions
11 Replies
637 Views
Alikuwa mzuri. Ndiyo! Itoshe kusema Khadija alikuwa mzuri. Yap! Mchukue Hamisa ndio kimo chake. Rangi yake haihitaji ‘filta’ au ‘editingi’ wala ‘snap’. Sifa nyingine ni zake peke yake. Kwa hapa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani Nani Mwenye Experience ya Kufanyiwa Massage na Hawa Wadada au Kampuni wanaopost Kwenye social Network.... Bei zao zikoje na Je Kuna Vitu vya ziada zaidi ya Massage?
12 Reactions
237 Replies
37K Views
"Oy babu Hauwezi shika milioni kumi au kutengeneza himaya Kubwa kibiashara bila kwenda KWA mganga kuchukua ndagu" Unamwona Fulani ako na kidonda kisichopona ... Mangi anae msukule ndani...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Believe it or not..Men are Everywhere! ------------------------------------------------------------------------------------- Woman has Manin it; Mrs. has Mr. in it; Female has Malein it; She has...
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Wakati mfumuko wa bei ukiendelea kutuchapa kuna mengi pia ya kufurahia kwenye haya maisha.... Leo naanza weekend mapema kabisa, nikila ngoma moja ya hatari sana..... Aliyesema msemo MUSIC IS LIFE...
2 Reactions
5 Replies
962 Views
Back
Top Bottom