JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Vijana tuwe makini kuna wanawake wanatumia miti shamba kuteka hisia za wanaume. Na ndugu yangu akiteka hisia zako. Utagharamia chochote kuhusu yeye bila wewe kujijua
3 Reactions
7 Replies
641 Views
Mzuka wanajamvi! Naapa Raila Odinga akishinda huu uchaguz nchini Kenya natembea uchi siku tatu mfululizo halafu najiua. Hafiii mtu hapa!
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Nisiwachoshe sanaaaaaaaa, ila kiufupi ndo nimetoka kifungoni. Baada ya kutoka jela majuzi nimesikitishwa na baadhi ya taarifa ambazo nimekutana nazo. taarifa hiyo ni kuhusu mimba ya Nandy...
3 Reactions
14 Replies
826 Views
Umasikini sio sababu ya kuwa mchafu wala utajiri Sio kuwa na kila kitu hata kama hukihitaji. Hebu angalia hapo nyumbani kwako! Vitu msivyovihitaji Leo wala kesho mmeweka vya nini? Umenunua...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Ngoja nikumbushie stori yangu niliyonusurika kukabwa na vibaka, basi bhana ilikua siku moja ya wikiendi mida ya saa tisa usiku nilikua natoka zangu kula bata, nipo kwenye gari kuelekea home sasa...
1 Reactions
4 Replies
753 Views
Wakuuuu habari na poleni na majukum. Ndugu yenu baada ya msoto wa muda mrefu ijumaa ntakuwa Dar kwa ajili ya mapumzio . Naombeni tujuzane viwanja vyenye watoto classic na mziki mkubwa nafikili...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wadau, Leo niko tabora mboka manyema kikazi Naombeni mnijulishe kiwanja chenye watoto wakali kinachojaza hapa Tabora. Natanguliza shukrani zangu za dhati
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau habari zenu, ndugu zangu ni muda wa mwaka sasa nikiwa kikazi mkoani. Leo nimeingia jijini Dar es salaam hakika jiji linazidi kukua na kupendeza kila siku. Wadau nisiwachoshe naombeni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari, Nimekaa nikawaza humu JF wengi tunatumia majina na profile pic zisizo halisi. Lakini nikawaza pia tunaweza kufanana na watu fulani mashuhuri kama wanasiasa, wana michezo, wanamuziki...
11 Reactions
133 Replies
5K Views
EBOOOO ENASEKETESHAAAAA SANA Tafadhali rejea mada hapo juu, [emoji28][emoji28][emoji28] Mimi msukule mzembe wiki hii katika pita pita zangu katika jiji hili la daslamu nikiwa nipo off kikazi...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Jambo JF!This thread is for memes and comments.Tupia yako pia tucheke pamoja. Burudani tu...😇
2 Reactions
119 Replies
9K Views
... mwanamke mmoja mrembo kuliko wote Duniani. Mwanamke huyo aliwatesa sana wanaume kwa kupendelea sana........ (Endeleza stori hiyo, kila mtu aendeleze atakapoishia mwenzake)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tangazo muhimu kwa wote ukiona mumeo au mkeo ana simu mbili moja kubwa touch alafu ana kile kidogo maarufu kiswaswadu yes kiswaswadu kaaa nacho mbali mnooooooooo utakuja nishukuru usikiguse...
7 Reactions
38 Replies
3K Views
It's local bar Lakini naenjoy sana jamani, Kuna vibe fulani amazing jamani, kama Kuna mwana jf anyooshe mkono nanunua chochote. Furaha ni kunywa na marafiki, furaha kulewa na marafiki. Sisi ni...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Mazoezi ni afya. Why huwa mnajirikodi kwa kujipiga picha na kupost?
3 Reactions
53 Replies
3K Views
Jamani wanajamvi za masiku nyingi....... Anyway kunayeyote mwenye dawa ya kuondoa tamaa ya mapenzi yaani kupenda? Maana naona ni kuwest time tuu
0 Reactions
30 Replies
1K Views
Sasa sijui hizi kayumba tutafika kweli!
1 Reactions
4 Replies
440 Views
Abiria wa shirika la ndege la Southwest Airlines aliyeshutumiwa kwa kupiga punyeto mara kadhaa wakati wa safari ya ndege kutoka Seattle kwenda Phoenix mwezi uliopita amehukumiwa kifungo cha siku...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari JF, Dar es salaam ni Jiji lenye mambo mengi sana kuliko mikoa mingi na Majiji mengi Duniani Binafsi nkiondoka Dar huwa namiss vingi sana ingawa vingine vibaya kama warembo wa usiku...
9 Reactions
66 Replies
5K Views
Tuko kwenye kizazi ambacho mdada ana-date na Frank kwa zaidi ya miaka mitano, shoga zake wanamjua Muddy, nyumbani kwao wanamjua Juma tangu shule. Wakati huo amemtambulisha Ibra kwa shangazi yake...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom