JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wana JF, napenda kuwafahamisha kuwa sasa wasomi wetu wanaanza kuja na mwelekeo tofauti na tunavyoweza kudhani. Spika wa Bunge la chuo kikuu cha Dar es salaam Daruso ambaye amemaliza muda wake...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Mama Chipoku kamuuliza baba Chipoku mbona vinyago unachonga vizuri sana lakini watoto wako wana sura mbaya sana? Baba chipoku akajibu Vinyago nachonga nchana na watoto nachonga uchiku.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
kuliombea taifa kila mtu anawajibu huo mimi huwa naliombea na sina kanuni kuwa leo nitasema nini mfano sasa nasema hivi `BABA YANGU WA MBINGUNI ULIENIUMBA MIMI NA WATANZANIA WENZANGU, NA UMETUUMBA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nilikuwa nawasiliana na rafiki yangu wizara ya nishati na madini kuhusu uzalendo na upendo ndani ya wizara, cha kushangaza ni jinsi gani wafanyakazi serikalini wanalazimishwa kujionyesha kuwa ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BABA wa Taifa hayati Julius Nyerere aliwahi kusema: "Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM''. Kauli hii sikuielewa na sikujua lengo la kusema vile wakati yeye ni miongoni mwa waasisi wa chama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Haya yanaweza ikawa ni dalili gani tena WanaJF? Imetokea hapo Iringa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
hii ni ishara ingine kwamba ccm bado ina magamba mengi zaidi ya iliyojigambua. mimi nafuatiliaga kauli za wana-ccm kwanzia herufi ya kwanza, koma, nukta, vifungua na vifunga semi, alama za...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ataanza saa ngapi naona kuna maigizo tu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau napenda kujua kwa nn wanawake wanapovaa fulana na suruali,lazima wainyanyue fulana kwa nyuma..kwann?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mpambano bado unaendelea kati ya Timu ya CCM na CDM. Mpaka sasa CCM wameshabadilisha wachezaji (CC) lakini bado wanazidiwa kimchezo. Mechi ya kwanza CCM wamashapoteza baada ya kuleta Muswada wa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
This dog,is dog,a dog,good dog,way dog,to dog,kip dog,an dog,idiot dog,busy dog,for dog,20 dog,seconds dog!..now read without the word dog.
0 Reactions
3 Replies
996 Views
0000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
0 Reactions
63 Replies
5K Views
kila nikiusikiliza,unanipa faraja lakini mwishoni narudi pale pale kuwa home sick:redfaces:
0 Reactions
0 Replies
914 Views
Nyani haoni- varisa miwani. Debe tupu- weka dengu au choroko. Masikini akipata - iko acha katika jumba ya watu. Asie sikia la mkuu- pelaka polisi. Penye wengi- iko kutano ya ccm. Penye kuku wengi-...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Vijana wawili katika harakati za kutafuta kazi, waliingia kwenye quiz ya kuongea, marafiki wawili hao walikuwa wakisaidiana mambo mbalimbali ya kimaisha walikubaliana aingie mmoja ambaye yuko...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Katika Maisha Unaweza Kukutana Na Watu Wengi Ambao Unaweza Kuwasahau Lakini Baadhi Yao Huwezi Kuwasahau Ambao Wamekufanya Ufanye Kitu Tofauti Katika Maisha Yako Na Najua Kama Mimi Ni Mmoja Wao...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
whts da difference btwn a GIRL who wants to COMMIT SUICIDE n a VIRGIN!!!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nilishtushwa na spica wa bunge jinsi alivyohandle vurugu zilizotokea bungeni juzi kama sikosei iko video yake kwenye michuzi mpaka leo. Kuna ibara mbili zilinishtua sana. Kwanza ni ile aliyosema...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Simwoni mara kwa mara jukwaani . . . . Yu wapi na anafanya nini? Pana usalama hapa Wadau?
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Back
Top Bottom