Baada ya u-bize wa wiki nzima wikiendi tunapumzika kivipi? jf nipeni mpango mzima nijumuike sitaki vikao vya harusi, send-off au sherehe ya aina yeyote. najua hapa sikosi mpango
Baba_Enock, CPU...
some people are are crazy read this at your own
risk....... Baba yetu uliye breweries, beer zako
zitufikie. Bei yake iwe rahisi hapa kwa bar. Utupe
chupa zetu za kila especially za kila Furahi...
Nimemsikiliza Jaji werema Kupitia Startv ktk kipindi cha tuongee asubuhi hoja zake zimeegemea serikalini kuhusu muswada wa katiba,anasema wao hawataki watu wajadili muungano na mambo mengine...
Juma aliajiriwa kwa muhindi kufanya kazi za ndani lakini mama wa kihindi akamzimikia. Basi wakawa wanadonoana kwa siri. Siku moja wakati Juma anammega mama wa kihindi jikoni si wakafumaniwa na...
Tumekuwa tukijionea kila siku wabunge wa CCM wakilala BUNGENI wakati mijadala ikindelea leo steven Wasira tyson sijui evender kalala na TBC wamempiga picha alianza komba, akafata juma nkamia mpaka...
Bwana mmoja alikuwa anafanya kazi katika chumba cha maiti. Siku moja akaletwa maiti ana u,boo mrefu, bwana yule akashangaa kwasababu hajawahi kuona kitu kama hicho. Akaukata akaenda nao nyumbani...
A father went to his son and said,
Son, I want you to marry a girl of my choice
Son: "I will choose my own bride!"
Father: "But the girl is Bill Gate¢s daughter."
Son: "Well, in...
April 13 (Bloomberg) -- The central committee of Tanzania's ruling Chama Cha Mapinduzi urged members of its national executive linked to corruption scandals to resign to help improve the party's...
Habari wana jamii,
Najaribu kutafuta watu nilopotezana nao muda mrefu, nisoma nao na kuishi nao.
mimi nilimaliza shule ya msingi Mgulani, Dar mwka 1990, enzi za Mwl Mkuu Mama Mwakianjala, na Mwl...
Muandishi: Makaimati
Nimejaribu kusoma hoja mbali mbali katika makala hii ilioanzishwa na HMaster na nimebaini kwamba kilichomo zaidi ni dharau, kejeli na mazungumzo yasio na ukweli au...
Wapendwa Bwana Yesu asifiwe.
Wakati habari juu ya babu huko Loliondo zinapumzika kidogo, naomba niwape na haya niliyoyasikia kwa masikio yangu kutoka redio Imani. Hii ni redio ya Waislamu...
Imeandikwa na Basil Msongo, Dodoma; Tarehe: 15th April 2011
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilson Mukama, amesema chama hicho si jiwe, ni chama makini, na mageuzi ilichofanya si ya...
Ninajisikia vibaya sana...
Mwanamwema wa Jamhuri hii, nimebakia tu kumsikia His Lordship Francis Lucas Nyalali the Chief na ripoti yake aliyoiwasilisha kwa Rais Mwinyi tarehe 17 Februari...
Habari wana jamii. Leo ni siku muhimu sana ktk maisha yangu kwa kutimiza miaka kadhaa hapa duniani hivyo nimeona ni vizuri nanyi wanajamvi tufurahi pamoja.
Namshukuru sana Mwenyezi Mungu...
wasalaam wana JF...!
Baada ya kufuatilia kwa umakini mkubwa mwenendo wa bunge la 10, tangu kikao cha kwanza hadi hiki kinachoendelea sasa hivi, imenifanya kurudisha fikra nyuma na kuwakumbuka...
Watanzania wanachokihitaji ni maendeleo sio porojo zenu na magamba yenu. Kujivua magamba, kujipaka rangi, kufukuza mafisadi na mambo mengine kwenye yanayohusu chama chenu sisi watanzanai...
Nimegundua mob justice imehamia bungeni, kulikoni ? kanuni na taratibu za bunge zimepitwa na wakati? nani ana wajibu wa kuzi-ammend zikaendana na wakati tulionao?kuna mawazo tofauti? wasilisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.