JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Au gonga hapa ili walau ucheke kidogo, maana umenune sana YouTube - Funny Football YouTube - 100 GREATEST HITS OF YOUTUBE IN 4 MINUTES
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zanguni nimepata ujumbe kwenye simu yangu kwamba Mh. Halima Mdee amepata ajari sasa nilikuwa nataka kujua ni kweli au laaaaaaaaaaaaah.
0 Reactions
28 Replies
3K Views
NDUGU WANA JF KAMA HUNA TABIA YA KUANGALIA MAITI USIFUNGUWE HII LINK,JAMANI TUWE MAKINI NA NCHI TUNAZOZITEMBELEA KWANI SEHEMU NYINGINE SISI WAAFRIKA NI KITOWEO CHEKI HII LINK NI JAMII FORUM YA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
In an alcohol factory the regular tester died and the director started looking for a new one to hire. A drunkard with ragged, dirty look came to apply for the position. The director of the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii ni baada ya kushindwa urais ameamua kurudi zake kundini...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Enzi nikiwa naishi Manzese ndipo nilipojifunza kuwa Biblia ni kiboko. Sikuzote tulikuwa tunadhibiti panya bila matatizo, na walipokuwa wakitokea nyumba za jirani bado tulikuwa na sumu ya panya na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Ilikuwa hivi: Mtoto alikuwa na tabia ya kukojoa kitandani sasa mama akawauliza jirani zake dawa ni nini, wakamwambia ni fimbo tu ili akijaribu kukojoa akikumbuka fimbo ataacha. Asubuhi iliyofuata...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Source: Yahoo friends Can you identify the expression In the following pictures, you can see some people with a very strong EXPRESSION...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kula Sambusa yenye pembe tatu kamili Ni tamu Kama hujawahi nenda Kajaribu
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Baada ya wanyama kuwa na maisha yasiyoeleweka ya mkanganyiko mkubwa ilifikia wakati mzee tembo kuitisha mkutano na kupendekeza achaguliwe mnyama atakayekuwa kiongozi wao ili kupeleka maisha yao...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Kuanzia sasa msishangae matokeo ya uchaguzi kupinduliwa. Kwanza, Chama chenyewe ni cha MAPINDUZI, kwa hiyo kupindua matokeo si jambo la ajabu. Pili, Viongozi wake wote wa juu ni Wanajeshi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwanasiasa wetu mmoja alifariki na kabla ya kuhukumiwa ahera malaika wakamshauri achague mwenyewe ikiwa anataka muingia peponi au motoni, lakini wakamsisitiza kuwa uchaguzi wowote atakaofanya ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ya kitambo lakini wacha tushtue mbavu kidogo: Jamaa watatu walikuwa wakisafiri kupitia kwenye msitu mnene na kwa bahati mbaya wakakutana na majitu yanayokula watu na yakawakamata. Yale...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Rais Kikwete anasemekana kuwa na wake wengi, tena ikidaiwa ameoa kwa Rostam Aziz na kwa Zakia Meghji. Pia kuna uvumi kwamba anamke wa kizungu etc. Ninaomba mwenye kuweza kutudadavulia ukweli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutokana na tatizo la Wachina kuchanganya matumizi ya "L" na "R", mabo yanakuwa hivi: Question: How frequently do you have e"L"ections in your country? MCHINA: Eve"L"y morning.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
God created donkey. God created the donkey and said to him. "You will be a donkey. You will work un-tiringly from sunrise to sunset carrying burdens on your back. You will eat grass, you will...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
A mother went to see a psychologist being worried about the characters of his child. MOTHER: I'm worried doctor, the boy is a great lier, a cheater, unfaithful, corrupt...He don't fulfill his...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
FIKIRIA uko hapo tuseme Manzese basi. Unapita njia yako unasaka shilingi ambayo inaendelea kuota matairi na mbawa. Mara ghafla unamwona kijana naye anapita akiwa na mbwa, lakini kamfunga kamba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bosi mmoja na wafanyakazi wake walikuwa wanaenda kujipatia kinywaji na kupumzika kidogo baada ya kufanyakazi saa bila kupumzika. Njiani walikutana na Aladini akawapa ofa ya kila mmoja kuomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom