JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naomba uburudike na wimbo huu kokote ulipo, nakutakia EASTER njema wewe pamoja na familia yako yote na wale uwapendao[emoji173] THE MAFIK kigoli ushanipiga roba kabali/ silali penzi nshacheza...
11 Reactions
504 Replies
16K Views
Najua mwezi umeandama ila kimeumanaaaaa. Acha niandamane nao tuu sio kwa kuumana huku wuuuhh. Jumamosi alfajiri nilienda mpokea, tukaanza kutabasamu maana hatujaonana kitambo kidogo. Nilijikuta...
16 Reactions
118 Replies
8K Views
Nakumbuka ilikua mwaka 2012 nikiwa niko chuo tulipanga nyumba nzima maeneo ya Buguruni mimi na vijana wengine kama wanne, sasa ikatokea laptop kuibwa katika mazingira ambayo mimi ndio nilikua...
9 Reactions
36 Replies
4K Views
Umeelewa nini kwenye hii Picha? Wacha tuone. Nani yuko na uwezo mkubwa wa kupambanua mambo. [emoji4][emoji4][emoji1] [emoji1]
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hello jamiiforum,hope mu wazima wa afya ndugu zanguni. Kwenye mada, Kama heading inavyosomeka ni kwamba Nikiwa mtoto wa darasa la nne shule fulani mkoani,nilitokewa na muujiza ambao kwa wakati...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nawahasa Vijana mTafute hela mpunguze kujieleza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Ukiwa na Hela hata Dem aseme we Kibamia hakuna atakae mind...
1 Reactions
11 Replies
896 Views
Ni jina gali ulipolisikia kwa mara ya kwanza lilikushangaza na hukuwahi kudhani kama kuna mtu anaweza kumuita mtoto wake hivo? Kwa upande wangu kuna majina kama .kufa .mabla blaa .mateso
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Corona ilikuwa Tishio duniani na hasa Tanzania lakini ilipotangazwa tu kuwa inakaribia kuja Kutuambukiza na Kutuua kwa Mshangao mkubwa ikatoweka. Tokea Juzi TMA wanatutisha tu Watanzania ( hasa...
0 Reactions
3 Replies
583 Views
Did you know that It is impossible to sneeze with your eyes open. It is a defence mechanism that has evolved to protect our eyes from bacteria and debris.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi ndio kitu gani hicho?
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kulingana na janga sisi ma-beach boy tunaotegemea utalii (mabibi wa kizungu). Tunaumbuka maana hatuna ujanja zaidi ya kutulia home na kunyoa Rasta. Tunaumbuka peupe. Nitaweka uso wangu wapi...
12 Reactions
35 Replies
5K Views
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu zamani tulikiwa tunajua wanawake ndo wambea lakini sasa hivi naona na wenzetu was nao hawataki kupitwa jamani naomba muacheeee
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Wapenzi wa movie😅😅😅 Tulishachotwa akili kweli na hawa watengenezaji wa muvi. Hivi lini bongo movie tutafika huku..walishawahi kupata hata Tsh 10Mil???. Issue Ipo hivi.... Muvi ya Avatar ilitoka...
11 Reactions
143 Replies
9K Views
Hello everyone ! Leo April 08 ni siku muhimu kwa rafiki yangu kipenzi hapa Jf aitwaye Jimena , Naomba tujumuike pamoja kumtakia heri ya kuzaliwa dada yetu huyu...... Napendelea sana ule msemo...
15 Reactions
337 Replies
28K Views
Adjee adjeee wakuuu Mimi ni katibu mwenezi na itikadi wa CHAPUTA na ningependa wanachama wenzangu tushirikishane njia bora za kujiliwaza kwa punyeto huku ukiwa una uhakika wa kuwa hauwezi kupata...
8 Reactions
147 Replies
26K Views
Kabla haujaingia kwenye mahusiano jaribu kuupima moyo wako kwa "KUBET KWA PESA YA KODI" (mpe arsenal ushindi, mpe yanga afunge goli 3, mpe man u ushindi at home ground, bayern munich aongoze...
11 Reactions
40 Replies
2K Views
Nani aoe shida Jamini? Unaoa binti anajua kila kitu siasa yeye, mpira yeye, ujasiliamali yeye, kubeti yeye, Movie yeye, biashara yeye, hadi Harakati yeye. Hii haitakuwa ndoa sasa. Hawa...
3 Reactions
9 Replies
924 Views
Hivi ni mimi tu sijawahi kuandika hadi peni ikaisha au kuna wengine, maana nikipata pen mpya siku tatu ishapotea..! Fagio nikitengeneza leo siku mbili tu washaiba,Anyway mnawakumbuka Hawa manigga...
10 Reactions
139 Replies
19K Views
Mimi nakumbuka familia yetu wazazi hawakuwa strict sana kivile kiasi cha kuogopwa na watoto. Ila kuna Sheria 3 kuu ambazo watoto hasa wa kiume ilibidi tuzifate na kuzitii kama tulihitaji kuendelea...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi Mmeshagundua Watoto wa 1991,1992,1993, 1994, 1995 looks more younger kuliko children of 2000,2001,2002,2003?
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom