JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
John Sanga alikuwa ni mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua .... Wakati...
5 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi am noodles ..my father's name is Avocado.. My mom's name is beef sauce .
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwakuwa watu wengi humu hatujuani imekuwa ni kawaida sana kila mtu kujitutumua na kujimwambafai sana katika hili jukwaa. Utasikia ooo nimempiga mtu mawashi, sijui nimemfanya mtu hivi na hivi...
13 Reactions
56 Replies
4K Views
Amani iwe nanyi Comment hapa kwamba umepata uliyemuhitaji ili utoe hayo ya chini ya moyo ,naanza Mimi X Nimepata niliyemuhitaji
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Nilikuwa nawaza hapa, ni password na namba ngapi nimezikariri mpaka nikajiogopa! Hizi hapa ni password; Bank; CRDB, NBC,NMB M-Pesa, Airtel Money Password ya laptop, gmail, hotmail, yahoo...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wadau habari. Kuna hizo salamu kutoka kwa vijana wa siku hizi ambao kwao kusalimia kwa kusema Shikamoo ni shida. Utawasikia wanakuambia Heshima yako Mkuu, kwa kweli mimi nashindwa niwajibu nini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, nmeiona mahali hii nikavutiwa kujua inawezekanaje ikawa tarehe moja na mwezi mmoja kwa watoto wote watatu? Kwa mwenye uelewa kuhusu hili atusaidie.
0 Reactions
5 Replies
668 Views
Yeereeeeeh, Tulisifika sana enzi zetu sisi mashamba boy, Houseboy na Wabeba zege. Mara ghafla miendesha bodaboda ikaja na kuchukua heshima na hadhi yetu ya kuridhisha wasioridhishwa. Siku...
1 Reactions
8 Replies
711 Views
Nyiee hivi mlishawahi kwenda Kigoma kuna gari zinaitwa Cassablanca ukiingia ndani picha linaanza kwanza hitakiwi kuvaa tshirt au nguo nyeupe maana utafika kibondo kama umetoka kumuibia mchina...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Je wajua ukichukua yale maji yanayopatikana kwenye limao au ndimu alaf ukachanganya na sukari unapata lemonade.
0 Reactions
5 Replies
742 Views
Wakuu wazee wa mikasa ya kweli ya kimapenzi. Kuna story mbili kali za ukweli za mapenzi zimewahi trend hapa JF. Ya kwanza ni ‘how i met my wife’ na hii inayotrend sasa hivi ya khumbu wa South...
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Utafiti wangu binafsi katika swala hili Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele🚶🏼‍♂️ kumfata mtu ibox📩 kwa mawasiliano📞 ya...
2 Reactions
9 Replies
540 Views
Habari ndugu zangu, Yani leo hii nimeachwa apeche alolo kwa utaratibu wa kufuatilia loss report baada ya kupata mafuriko na kuondokewa na baadhi ya vitu vyangu muhimu, so nikajikaza na kasema...
7 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari za uhakika kwa 100% zimeonesha yule jamaa aliyeonekana akitembea uchi na familia yake akiwa na mkwe wake Morogoro ni member mwenzetu wa MMU. Chanzo cha taarifa hii ni yeye mwenyewe...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Asubuhi tulivu nikiwasalimu nyote. Ningependa kusema kuna watu wanastaili kabisa kupewa ulinzi maana wanafanya mambo ya kupendeza sana au nasema uongo ndugu zangu .naanza kama hivi. 1. Wale...
2 Reactions
15 Replies
638 Views
Yaani siku nimekuwa mtaalamu wa vitu na mambo mbalimbali, mapenzi. Tekno hama na hata wizi, ujanjaujanja na habari kalikali vyote nimevifahamu hapa. Mwavenje sana
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Kutokana na kinacho endelea bungeni, hasa kudharauliwa kwa wenzetu darasa la 7 bila kujali mchango wao katika taifa hili, ni vizuri jambo hili tulijadili kwa kina. Kabla ya yote napenda...
3 Reactions
17 Replies
713 Views
Leo nimeamka tu wazo la kwanza kichwani kwangu.ndi likawa hilo. Je, wewe unalionaje wazo langu?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Imezoeleka kuwa kama mtu katoka shamba kuja town na akaanza kushangaa shangaa jiji huitwa mshamba...Vipi kuhusu wa mjini akienda kijijini na kuanza kushangaa mashamba ya mpunga, baskeli za mbao...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mchungaji mmoja katika mahubiri yake huwa anachangamsha sana waumini wake,kwa mfano utakuta katikati ya mahubiri utasikia "..Muambie jirani yako..Yesu anakupenda!" basi kwa furaha na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom