JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanazitest kama vile tunavotumia (kwamba unamchagua mdada/mkaka then mna do) au? Isije wao wanatest kwa robot afu sie tunakubali tu. Kama ni binadamu ndio wanafanya kazi hiyo ikiwezekana wawe...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Binti mmoja alichumbiwa na mwanajeshi mmoja. Wote wawili walikuwa wanapendana sana. Siku moja yule binti alitaka kumpima mchumba wake aone anampenda kwa kiwango gani. Binti akamwandikia mchumba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ukiwa na dingi mkali au mbabe, huyu lazima umdanganye, hakuna namna Ili umnase demu lazima utupie uongo Walimu wanoko, dawa yao uongo tu. Hata kanisani wengi ni waongo na wanafiki, nyuma...
0 Reactions
2 Replies
597 Views
Kwa mujibu wa Mamlaka ya serikali ya Mfalme wa Saudi Arabia waislamu wa Saudi Arabia na nchi zinazofuata mwezi wa kimataifa wataanza kufunga swaumu kuanzia kesho tarehe 13/04/2021. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Embu fikiria kama viungo vyetu mwilini vingekuwa vinafungwa kwa nati au screw[emoji3] Sasa siku moja ukaenda kuoga tena ukafungua na machine(kirungu) ili uisafishe vizuri afu mara paah nati...
0 Reactions
2 Replies
690 Views
Nakumbuka miaka ya 2001 kuja mpaka 2014 hivi Dar ilikuwa tamu mno. Maeneo ya Sinza na Mwenge ilikuwa maeneo matamu sana kuishi. Dah! Jamani Sinza ilikuwa tamu balaa, watoto wa Sinza walikuwa...
10 Reactions
54 Replies
6K Views
Wanabodi, Ni jambo lisilopingika watu ambao tunafurahi na kucheka kimaisha wakati wa JPM tupo wengi sana sana humu jamvini Gharama za maisha zimeshuka sana. Leo hii kila kitu bei rahisi kuanzia...
10 Reactions
47 Replies
4K Views
Thread hii inasema alikuwa mtu mwema awekwe mahali pema. Malaika wanamchukua wanaenda mweka atulie. Kabla hawajarudi inaandikwa nyingine ya kumponda na kusema alikuwa Shetani Malaika wanambeba...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wanajamvi,pasi na shaka mpaka unapata muda wa kuperuzi Jf basi upo vyema kama kuna mwenye tatizo basi. tuendelee kumuomba mwenyezi MUNGU atatutia nguvu. Hebu tutoe majonzi kidogo,hususani...
4 Reactions
66 Replies
9K Views
Tukiwa tumekaa na masela tukipiga story, mara anakuja dada mmoja na kutuambia kuwa kuna ajali mbaya ya basi imetokea Singida. Akaulizwa hizo habari yeye amezotoa wapi, akajibu kuwa ameambiwa na...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama mnavyojuwa gharama za vifurushi zimeongezeka maradufu kwa sisi watumaji na wasomaji wa taarifa mbalimbali za mitandaoni. Hivyo tumekubaliana kwamba yoyote anataka kutuma video au audio yenye...
6 Reactions
7 Replies
714 Views
Vijana graduate wavivu sana mjiajiri mtaji sio tatizo, muongozo wa kujiajiri kwa graduates wa degree na mtaji wake 1) Ualimu- mtaji chaki tu 2) Uhasibu- mtaji Calculator tu 3) Civil Engineer-...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Nimejaribu kuwaza hapa vitu, vituko nilivyokutana navyo nyumba ya kupanga nikajikuta nacheka mwenyewe. Sasa basi naamini kila mtu ana vitu na changamoto na vituko anakutana navyo ,so tunaanza...
24 Reactions
294 Replies
19K Views
INGEKUWA WANAUME WA DAR NDO WALIPIGANIA UHURU HADI SASA WATZ TUNGEKUWA WATUMWA UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR Wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume: Unaishi...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Enzi ya zilipendwa; enzi ya suruwali ya pekos, viatu vya ghorofa na saa ya funguo tatu; enzi ya slim fit; miaka ya 70! Ndipo upembuzi wa ujenzi wa bwawa la kufua umeme la Nyerere unaotumika leo...
13 Reactions
51 Replies
4K Views
Salaam wa JF, binafsi napenda na sipendi mtu asiye wangu aione chupi yangu pasipo sababu ya msingi, lkn nakuta jirani yangu yeye anafua na hupenda kuanika chupi zao (mke na...
0 Reactions
235 Replies
29K Views
[emoji23][emoji23]
0 Reactions
1 Replies
290 Views
Habari wadau wa JF, Kuna filamu niliiona zamani sana miaka ya 2000 hv na nikaipenda sasa nimeikumbuka nataka ni-idownload sema siijui tittle yake. Inahusu: Askari mmoja hiv alikua lazy sana...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Unampelekea Fundi Simu Pale Makumbusho, Alafu Unamuona Anainama Chini Ya Meza Unadhani Anatafuta Vifaa Kumbe Yuko Youtube Anaangalia Jinsi Gani Ya Kutengeneza Simu...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Dah nimewakumbuka washkaji zangu tuliozaliwa siku moja pale hospital siku ile dah Yaani tulilia kinoma siku ile,kila wakitunyamazisha..ah wapi hatutaki..tunalia tu tena bila sababu...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom