JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Uzi wa kufahamu walipo kwa sasa na wanachofanya wenye majina yaliyowahi kuwika sana Tanzania Yuko wapi Tundu Antipas Lissu? Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa...
5 Reactions
124 Replies
14K Views
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania... Akina Mama huku mbele mtanipa!? Akina Baba huko nyuma mtanipa!? "Ahsanteni"
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Kwa wale ambao ni wasaliti ikiwa ni kwenye ndoa zao,au ktk patnership za biashara au kazi nawakumbusha tuu kwamba mwenzenu Yuda leo ameishaingiza madola yake haramu toka jana. Endeleeni na hizo...
1 Reactions
2 Replies
880 Views
Ndugu zangu wa (UWABATA),Chama Cha wanaume bahiri Tanzania hili swala tusiliache lipite hivihivi!,moja kwa moja Kama UWABATA limenishika na kuniteteresha kiuchumi! Ktk pitapita nimeona kweli...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Ikitokea upo mazingira ambayo upatikanaji wa choo ni mgumu, ukaamua kujisaidia kichakani Ile umeondoka tu unageuka nyuma ukamuona mtu anazoa kinyesi chako na kukiweka kwenye karatasi kisha...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Kila mtu ana mtaa wake aliotoka, na tabia mbalimbali leo tuongelee kuhusu hizi daladala zetu wa UBER mtuache kwanza🤣 Sisi daladala za huku kwetu huwa zinajaa mpaka KONDA anapanda BODABODA vipi...
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Ndio nakumbuka leo ni Ijumaa ile tunayoiita Ijumaa kuu yenye amri, Usile nyama siku ya Ijumaa kuu. Just imagine ndio uko na mning'inio wa ziada 'hangover' na umeambiwa usile tu nyama siku zote...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Kwa mujibu wa vitabu na walimu mbali mbali ina sadikika kuwa hivyo Wewe kama mwana historia jadili kutuaminisha kwa hii maada hapo juu Kiswahili & kingereza 0 KARIBUNI
0 Reactions
4 Replies
551 Views
Leo ni Ijumaa kuu. Bado siku 2 ifike Pasaka. Ni sikukuu kubwa sana duniani hasa kwa wakristo. Kuna weekend ndefu Ijumaa mpk Jumanne. Lakini pesa hakuna. Tumejibanza majumbani kama Pimbi.
1 Reactions
16 Replies
757 Views
Nikiwa nimekaa mchana wa jana nikapitiwa na usingizi ghafla nikaota zitatolewa/zitatangazwa ajira mpya zisizopungua elfu 30 na zisizozidi elfu 32 mwezi wa kumi mwaka huu. Mulemule ndotoni nikawa...
1 Reactions
5 Replies
775 Views
Hakuna kama Sky eclat huyu dada ni mkali wao yaani ni wa moto linapokuja suala la uelewa kichwani kwake ni mchezo simple kuna ma file mazito juu yake. Kiukweli nampenda huyu mama wanawake wote...
25 Reactions
82 Replies
5K Views
Kuna watu ni wagumu kubadilika kuendana na zama. Zamani mtu akiwa na kitambi au mnene ilikuwa ni sifa lakini zama hizi ni suala la aibu. Kumwambia mtu kanenepa au ana kitambi ni matusi. Nawaomba...
2 Reactions
3 Replies
550 Views
UNDUGU NI KUFAANA. Undugu ni kufaana, wala sio kufanana, Na mikono kushikana, mambo kushirikiana, Mapenzi na kupendana, wala si kuchukiana, Undugu wa kugombana, kwangu hauna maana, Hadharani...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakuaminia sana Mama kwa jinsi unavyojua Kucheza vyema Mchezo wako wa Draft. Jana umesukuma Kete Moja nzuri sana nikakubali kuwa Draft unalijua na umeiva nalo. Sasa Mama bado Kete zako Mbili tu...
1 Reactions
0 Replies
622 Views
Mtu ( Abiria ) anapanda DalaDala halafu anaamua Kukaa katika Siti ambayo japo kuna Jua Kali linapiga lakini Dirisha lake ni zima na linapitisha Upepo ( Hewa ) vizuri tu ( hasa Kipindi hiki cha...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Mimi[emoji117]Baada ya kumwagika kwa pombe, suluhu ikaja na mpango mkakati. Endelea...... Note: sio lazima utumie maneno yote manne.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwaka uliopita ilikuwepo plate number maarufu sana T 2020 JPM..lakini wakati ukuta .. Wakati si milele. Tuko zama za T2021 SSH ALUTA KONTINYUA...!!!
2 Reactions
9 Replies
894 Views
Habari wakuu. Niende moja kwa moja kwenye mada (chama chetu kitakuwa si cha kuzungusha maneno) Siku hizi maduka yamehamia mtandaoni, kuna pesa za mtandaoni na mambo mengine mengi. Siasa pia...
0 Reactions
0 Replies
295 Views
Hivi Unaitwa baba alafu mwanao analelewa ukweni wewe badilika tambua baba siyo jina la ubatizo. [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] [emoji474][emoji474][emoji474][emoji1714][emoji1714][emoji1714]
2 Reactions
6 Replies
649 Views
Ni Kabila gani linaongoza kwa kelele nyingi kwenye mabasi wakati wa kusafiri? [emoji846][emoji846]
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Back
Top Bottom