JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hi! Hongereni kwa kuona tena siku mpya ya leo wana JamiiForums. I real love these gal named Anitha i real mic you my lovely sister ingawa tumejuana humu jamii forum but i real feel proud to know...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wakati tunasoma mzee kuna hiyo siku unajikuta tu Unaenda zako darasa jingine kupiga story mara ghafra mwalimu anaingia unasikia tu anasema laleni Chini kwa nini mnapiga kelele, Aiseeee huwa...
3 Reactions
8 Replies
817 Views
Mzungu ananunua vinyago na tamaduni kadhaa za asili kutoka Afrika kwa mwafrika. Mwafrika ananunua teknolojia ya mzungu kisha anatumia wala hawezi kununua tamaduni zake kwa kuwa anazo. Kila mtu...
0 Reactions
1 Replies
499 Views
Hellow. Sote tunajua wazi kati ya Bar na Bra zikifunguliwa lazima kwa mwanaume yoyote atatokwa na udenda unless awe shoga, anisi au mlokole(hatumii kilevii) So hebu jaribu kuimagine mwanamke...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Habari wakuu? Nadhani ni wakati muafaka sasa tukae chini na Pesa tumalize tofauti zetu, binafsi nipo tayari kuomba radhi!.
13 Reactions
57 Replies
4K Views
Sijui ni ushamba au ulimbukeni huwa sielewi kabisa Watanzania ni watu wa kuhisi jina la mtu ndio mafanikio Ufahari wa jina hasa ya kikabila ni kujua maana ya jina, Majina ya kikabila kwanza ni...
1 Reactions
5 Replies
870 Views
Maisha yana mengi. Binadamu tunapitoa changamoto nyingi za maisha katika kujipatia kipato. Kama uliwahi kuwa kibaka ama jambazi tukutane hapa. Niliwahi kukwapua elfu 5 wakati nasoma form five...
8 Reactions
55 Replies
8K Views
Namtafuta dada yangu huyu na rafiki yangu kipenzi Wahida Mohamed alisoma pale udsm tulianza mwaka 2006 akisomea Chemistry, mara ya mwisho kuwasiliana nae 2013 alikuwa akifanya kazi/intern pale...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Prove 2+2=5
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naanza: Enzi hizo mzazi akitaka kukuadhibu kwanza anakuagiza mwenyewe ukalete fimbo, sasa kalete fimbo ya kizembe uone. Fimbo pendwa ilikua mpera. Hebu tukumbishie na wewe enzi hizo...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Nashauri tu broo kabla ya kuchumbia nunua kamera. Utakuja kunishukuru. Siku hizi, unapiga picha siku ya engagement, then kuna za kabla ya sendoff na kabla ya harusi, kuna za akishika mimba na...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Isome mwenyewe
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Salaam wakuu. Tulikuwa maeneo fulani leo mchana, tulienda kucheki mashamba ya jamaa yangu aliweka vibarua. Tulipofika ktk mizunguko ya hapa na pale shambani, tukaenda kupumzika. Sasa kulikuwa na...
3 Reactions
66 Replies
4K Views
Nilipo kua na Akili za kitoto nilikua nawaza zile sauti za Mbu usiku ndo sauti ya Nzi mchana. Yaani hapo nilikua najua Nzi wakati wa usiku ndo hubadilika na kua Mbu maana sauti ndo ilikua Kama...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Jokes in urdu Why I Hate C.I.D :( An Example: LADY: Rahul Mera Bhai Tha DAYA: Kya? Rahul Tumhara Bhai Tha? LADY: Han, Rahul Mera Bhai Tha ABHIJEET: Rahul Sach me Tumhara Bhai Tha??? LADY...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeshaishi kila maisha Kama Ni mizigo nimepiga sana vyombo vya kila aina japo napenda maisha ya kuishi chaka mbele huko.nilipokuwa Ni ma home boy nakuja town nafanya mambo na Wana mchango wa...
1 Reactions
3 Replies
554 Views
Kuna watu wana majina magumu ila kuna sehemu pia kuna majina ni magumu aiseee, last weeek nilikua Tabora, kuna Wilaya moja kuna sehemu inaitwa "Shamba la Nyege", sasa mimi ndio nilikua...
4 Reactions
121 Replies
21K Views
Najua tumekuwa na siku ndefu ya huzuni katika shughuli ya kumpumzisha kipenzi chetu Hayati Dr JPM namshukuru Mungu tumemaliza shughuli salama jemedari apumzike kwa amani aluta continue. Bila...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Ndugu zangu, huu msiba wa kitaifa mbona sijaona chakula chochote na wala sijaona watu wakiuliza wala kucomplain ila huku kwetu ikitokea msiba asubuhi tu utasikia baba fulani chai vipi mara...
7 Reactions
28 Replies
3K Views
Mambo vipi wadau.. Hili halina ubishi kabisa,ukifika A-town utakutana na warembo wa sampuli zote yani dah kweli ni kama hili jiji limekuwa kivutio fulani cha watoto wote wazuri kutoka kona zote...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom