JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Men are in loving relationship with wife (conference in a church).They were asked how many of u love your wife,they all raised their hands.They were told write ths text and send 2 your wife"I LOVE...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mvuta bangi alijiona uchi akadhani amevaa suti akauliza wenzake suti imemtoa aje . Mmoja waoakamjibu poa sana ila tu tai umefungia chini sana. Tafakari ya babu na Swaleh Mdoe "Nikiangalia kopo...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya kuwa baba kijacho kwa miezi 9 sasa hatimae muda si mrefu mungu akijalia mkono wake wa neema natarajia kuitwa baba fulani.... Kwangu mimi mtoto ni mtoto haijalishi awe wa kike/kiume wote...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Mwenyeji wa Bukoba hebu nielekezeni beach nzuri nikapunge upepo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa yeyote ambaye yupo mpweke geto tuu hamna cha manz wala nini tuambiane. Mimi ndio wakwanza hapa nahesabu nyuzi jf maan sina cha kunfariji
5 Reactions
60 Replies
3K Views
fire extinguisher, wengi hutamka faya tingisha kubeep- kudipu genuine-jiniani
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Tokea mwaka 2016 hadi mwaka 2020 zinepita Sikukuu nyingi ila nimeshangaa ( nimejishangaa ) japo sina Hela na wala sijala Pilau leo achilia mbali Soda lakini Pasaka ya Leo nimeufurahia na Kujikuta...
2 Reactions
3 Replies
539 Views
Wanasaikolojia wa JF nisaidieni katika hili tafadhali kwani nimetoka kusikia Habari nzuri sana na niliyokuwa naisubiria kwa hamu kutoka Ikulu ya Marekani kupitia CNN yao.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni ka SUV ambako Kanatembea kilomita 40 kwa lita moja ya wese na kanaenda eneo lolote katika nchi hii!🤗🤗🤗
11 Reactions
24 Replies
3K Views
Ni kama mdaalo kuhusu faida na hasara za kutumia simu kwa wanafunzi mashuleni na hata nyumbani lugha ni kiswahili na kingereza KARIBU MTU KANYE TUJITETEE.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mwili wa mtu mmoja mwenye umri unaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 35-40 umekutwa ukiwa unaning'nia juu ya mti, akiwa amefariki kwa kujinyonga. Kijana huyo mtanashati alitambuliwa na majirani kuwa...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Hii kampeni ya visit Tanzania imebackfire, balozi anapiga wageni badala ya kuwakarimu. Siku nyingine tuwe makini na watu tunaowapa majukumu ya kuwakilisha/kutangaza nchi.
0 Reactions
1 Replies
517 Views
Habarini wanajamvi! Kwa wale waliguswa na msiba poleni. Niliwachoshe naomba nieleweshwe kwa swali langu hili. Kwenye pombe hizi kali (Konyagi, K Vant, Vodka nk) kuna utofauti wa ujazo lakini...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nilikua Niko kwenye maombolezo,sasa nasitisha maombolezo kuanzia usiku huu nitafanya sherehe kwa siku 21 kwa matokeo ya Leo ya Simba dhidi ya As Vita .
1 Reactions
2 Replies
648 Views
#ChekaTu
1 Reactions
2 Replies
841 Views
Hivi Kuna kitu wanawake wanakiona kwenye TAMTHILIA ambacho hatukioni. Hasa za Maisha Magic na zile za Amerika ya kusini. It is just too much
7 Reactions
56 Replies
4K Views
Respect yourself this holiday If you dont know English just type "HAPPY EASTER" We dont want see the post like 'HE AROUSED' , ' HE AROUSEN', 'HE HAS RICED' 'HE ROASTED FROM THE DEAD' 🤣🙆‍♂️...
2 Reactions
4 Replies
653 Views
Usiku wa kuamkia leo kibaka aliingia ndani na akafanikiwa kuchomoka na decoder ya Dstv, uzuri tukashtuka tukaanza kupiga kelele za mwizi huku tukimfukuza. Tukiwa tunaendelea kumfukuza mwizi wetu...
30 Reactions
53 Replies
5K Views
Ningependa kufahamishwa ni comment gani huku jf ina likes nyingi kuliko comment zote?
3 Reactions
4 Replies
529 Views
Back
Top Bottom