JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wasaaalam! Kwa kweli hapa naweza kukiri maumivu ya kupoteza hela ni makali sana ilishawahi kunitokea... KISA CHENYEWE....... Kuna siku kidume nimetoka zangu maskani uswahilini, nikiwa naelekea...
3 Reactions
9 Replies
709 Views
Tunapoendelea na msiba huu hasa leo tunapofanya rasmi maziko. Nikitoka huku ntakuwepo Mwanza kwa siku Mbili tatu. Mpaka Jumatatu ntaondoka na ndege. Sikuja na gari Binafsi. Nataka kujua kuna Car...
23 Reactions
42 Replies
3K Views
Wadao mambo ya kijamii na maadili je kuna ulazima kuvua kofia ya cap?
1 Reactions
7 Replies
807 Views
Yaani kkoo sasa hv mitaa ya maduka ya simu kuna pisi yaani zile pisi za promotion za heineken, whindhoek zinasubiri. Yaani jamaa anayeaJiri hao viumbe anapointi vitu hatari, yaani ukute wamepiga...
25 Reactions
82 Replies
8K Views
Wadau poleni kwa msiba. Nazungumzia ubuyu unaotumiwa kama tunda au chakula ukipendwa zaidi na wamama na ukiwa na rangi tofauti tofauti maarufu zaidi rangi nyekundu. Ninapenda jua kama ni sahihi...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Hahahaa! Inauma ila tamu. Mimi ni driller by profession so hii nchi nimezurura mno Alhamdulilah, kote nilipozurura napanyooshea mikono Moro Town. Siku hiyo nakula gambe mitaa flani jirani na...
16 Reactions
101 Replies
21K Views
Baada kuachana na ex girlfriend wangu, siku moja nikiwaza sio mbaya kumjulia hali. Me; habari yako (jina lake) Ex; don't follow me i 'm another man now
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Jamani wana JamiiForums habari zenu? Kuna mkasa ulinikuta nikikumbuka nacheka sana[emoji2][emoji2]. Jumamosi moja niliamka ikiwa siku njema sana, ila ilipofika jioni mambo ayakuwa sawa, ishu...
22 Reactions
51 Replies
5K Views
Wadau natumai mko poa.. Nimebahatika Kutembelea Cairo hapa Misri kwa Ma pharao's.Nipo mitaa ya Ramses hapa. Nina siku mbili katika Jiji hili la Waarabu kama kuna Mtz yuko hapa lets keep in touch...
0 Reactions
6 Replies
688 Views
Bado sijapata jibu leo ndio tarehe ya mshahara, sasa kwa hekaheka hizi je tutalipwa?
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Nahisi utachelewa sana kutokana na janga zito lililotukumba mlio serikalini kuweni wavumilivu
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa ninavyowajua Marehemu wengine ( hasa Kisaikolojia ) walipokuwa Kamili ( Hai na Kinguvu pia ) kuna uwezekano Waombolezaji tungeumbuliwa nao, tungewambwa ( tungezabwa Vibao nao ) na kuna...
0 Reactions
5 Replies
512 Views
Haya leo tufanye ni siku ya kudedicate mtu yeyote kwa kutumia rangi, taja jina la mtu yeyote kwenye platform then mpe rangi yake unayoona anastahili kwa upande wako.. Hizi ndizo rangi...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Unakuta Kundi Kubwa la Watu ( Waombolezaji ) muda wote tu wakiwa Msibani au katika Uwanja wote huwaoni Wakilia tena Macho yao huwa ni Makavu kabisa, lakini wakiona tu Camera za TBC1, ITV na Azam...
3 Reactions
3 Replies
679 Views
Wakuu, Baada ya kusikia kiwanja changu pendwa lachaaz kuungua moto, sasa nipo njia panda ni kiwanja kipi mbadala kwa maeneo ya sinza? Nataraji kufika jijini, hapo awali sehemu niliyokuwa...
1 Reactions
62 Replies
4K Views
Nimelewa sana, naandika nimelewa tu hadi nimeshindwa kudrive Nipo bar moja hivi maeneo ya kimara (jina kapuni) Nimelewa kusherehekea ushindi mmoja hivi (siri yangu msinizoee mataga ila washajua)...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kuna mwizi aliingia nyumba flani kuiba, mwenye nyumba alikuwa ni hohehahe kupindukia kiasi ambacho hakuwa na shati wala tshirt, maisha yake yote alikuwa anashinda kifua wazi. mwizi baada ya...
40 Reactions
40 Replies
15K Views
Hainiingii Akilini kabisa niliyeko Beach tena Wilaya ya Kishua kabisa ya Kinondoni naonekana nipo Mkoani halafu wa Kitunda Mwanagati ( Ilala ) aonekane anatokea Jijini. Huku ni Kudhalilishana tu...
0 Reactions
3 Replies
542 Views
sikujua kama kuna VIJANA WAKALIMU Kiasi iki jamani yaani muda huu ndo nimeshuka hapa MBEZI stendi sasa naona KIJANA kanisaidia kubeba BEGI langu, japo anatembea KASI ila sina shaka maana amesema...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Nipo naangalia msafala wa magari ya msiba ila bodaboda Dodoma washamba sana kushobokea camera kama hawajawahi kuiona mpaka kero
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom