JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Team picha Hawa ni matomaso huomba ushahidi wa picha hata kwa Jambo lisilo wezekana 2.Wazee wa mrejesho Hawa huomba mrejesho hasa pale wanapojua utafeli au kuangukia pua kwenye Jambo lako...
7 Reactions
58 Replies
3K Views
Habari jamvini, habari wanaume. Wasisiwasi kwa Sasa Ni juu ya wanawake kukosa pa kukidhi haja zao kutokana na 1. Wanaume kuwa wachache wanawake kuwa wengi, mf. penye wanaume 50 pana wanawake...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwanza naomba niwaonye wakubwa wenzangu, ili kurahisisha maisha kuna wakati tunapaswa kupuuza baadhi ya mambo ili tujifanyie wepesi. Naomba nifupishe simulizi. Leo nilifunga safari kwenda shule...
30 Reactions
96 Replies
6K Views
Mi kwa upande wangu Mchana, asubuhi, jioni vyote Leo havijaenda poa kabisa, kweli siku hazifanani kuna siku unapiga bingo mpaka unahisi mzeebaba alikuwa nyumma yako. Nipo geto nimepumzisha akili...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Jamani naomba mnisaidie, pale watu kulia / kuliliwa kabla hata hajahukumiwa ni kukiri kwamba yuko guilty? Wabobezi wa haya mambo mnisaidie. Povu Ruksa God save us
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Nmehuzunika sikuwa najua kumbe DSM ni kubwa sana. Kuna watu wanakaaa mbali. Leo nmefika mpaka Mbagala. Unajua maeneo ambayo mi nayafahamu ni toka posta barabara mpaka Bagamoyo. Na pia niliwahi...
17 Reactions
67 Replies
6K Views
Ushuzi wa wanawake unanuka zaidi kuliko wa Wanaume mojawapo ya sababu inayotajwa na watafiti ni kutokana na wanawake kuwa na uwingi wa gesi ya Hydrogen Sulfide. Source: Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ama kwa uhakika mkuu Mshana jr leo umetuangusha bhana. Baada ya kukusoma katika ule uzi wa Bawacha pale Mlimani City kwamba leo Mnyama hapakatwi bali anauwa, si ndio nikaagiza bia zangu...
12 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari wana JF, natumai mko wazima, bila kupoteza muda, ngoja niingie kwenye mada; Nakumbuka, muda umepita, niliota kuwa ilikuwa jioni; mwanume, mid-30's, akiwa kajibebeba kijisanduku, anaingia...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2019. Hiki ni kikosi changu bora. Nafurahishwa na kuelimishwa na michango ya members wengi sana ila hawa nimetokea kuwaelewa sana.. 1. Mshana Jr 2. Chige...
15 Reactions
228 Replies
13K Views
Mimi nabashiri umri wa Bro.wangu Mshana na miss Natafuta utakuwa 40+.wewe je?
7 Reactions
541 Replies
16K Views
Ndio sare ya Harusi yako utaitingaa ?? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kunamtu ananidai kwa mwaka sasa sijamlipa pesa yake Sasa kanitumia haka kaujumbe naomba ushauri jamani. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Je unakumbuka siku uliyofanyiwa tohara
3 Reactions
55 Replies
9K Views
Habari wakuu Mimi ni kijana wa late 20s ila tangu mdogo nilizoeshwa kukaa ndani tu yaan kwa kifupi wazazi hawakutaka tabia ya kuzuzura sasa mpaka now ni form sixleaver nakaa tu ndani siku nzima...
11 Reactions
126 Replies
13K Views
Kumi bora zangu katika masuala ya kisiasa, Mwaka 2016 hadi 2020. 1. CCM - (chama) 2. William Lukuvi - (waziri) 3. Anthony Mtaka - (mkuu wa mkoa) 4. Cosato Chumi - (mbunge tawala) 5...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Unajua Koffie Olomide anafanya Show leo, Tickets zilikuwa zinauzwa 100K na zimeisha kabla kabisa ya show! Huku tunalalamika ugumu wa maisha! :D Hivi wanamudu vipi hawa wenzetu?
0 Reactions
70 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa! Ama baada ya salamu kwa kawaida siku kama ya leo 8 March huwa nimezoea kuona watu wakianziasha mada mbali zinazowahusu akina mama na akina dada pamoja na wasichana kwa minajili...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Natamani siku moja nikutane na wadau humu niwapakie kwenye chombo yangu tuinjoy safari kwenda mafia Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom