JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mashabiki wa Yanga wanao wakati mgumu sana: Kwanza siku ya Valentine lazima watinge Jezi za Simba One love.Kama unabisha waulize Pili wanajikuta katika wakati mgumu kwa sababu sio washabiki wala...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaribu kushare matukio magumu na vituko vya shule Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
2 Replies
491 Views
MDAU: Nimekuja hapa Dar kwa rafiki yangu wiki ya pili sasa ananiletea chipsi usiku, nikimuuliza kwanini anasema eti ndio chakula cha haraka, namwambia niwe napika anasema inapoteza muda. Kwanini...
4 Reactions
76 Replies
5K Views
watz tunasimangwa Kwa kutotembea nje ya nchi. Naamini humu Tutakuwa tumebobea Ktk kutembea ndani ya nchi. binafsi nimeishi na nimetembea mikoa 14 tz Bara na Mmoja Zanzibar. nilichojifunza Ni...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Maisha ya sasa hivi haijalishi ni msomi au si msomi ila yanakua na changamoto nyingi sana. ulipopapata pashikilie kwa sababu juu ni kugumu sana na fursa nikidogo labda uwe na mtaji wakutosha
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Leo raha sana baridi kali kama vile upo Arusha I wish pangenoga hivi miaka yote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari zenu vijana. Hii ni kwa wale waliokuwa wanapenda kukimbia sana debate mashuleni mnajifanya wajanja sana sasa huku mtaani kwenye ajira ndio utajutia jitu linakuja kwenye interview ya group...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Huwa inanitokea na ni kawaida yangu kila ninapofanya vizuri au kufanikiwa katika jambo fulani, basi natafuta namna yeyote ile ya KUJIPONGEZA. Vile vile nikiwa nimeharibu au kukosea kwenye jambo...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Oraaah inakua ni viplo machalii na mamanzi wa humu fiade!?..I hope mko full mambo ni wiu wiu ama nene.!! Bas Leo ile mornie Si nikakadekerea ka'mamiloox kakali kinyama usipime asee et...
2 Reactions
8 Replies
831 Views
Kama ungepata nafasi na uwezo wa kuondoa na kufuta kabisa kitu chochote hapa Duniani ungechagua nini? Me naanza kwa kuorodhesha vitu 3 ambavyo kama ningepata nafasi uwezo na nguvu ningevifutilia...
2 Reactions
67 Replies
3K Views
Hii nchi ina mambo mengi kuanzia siasa zake, uchumi wake wa mfumuko wa bei burudani zake za fitna za kisimba na yanga na wasanii wake wenye kuishi na kujijenga kitasnia kwa kiki achilia mbali...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Wale ambao hatupendi kutumia simu kubwa kwa umbo tukutane hapa! Kwa kifupi sipendezwi na simu pana na kubwa kwa umbo ndio maana napenda iPhone 7 plain iPhone 8 plain IPhone SE iPhone X iPhone XS...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Mahakama ya wilaya ya Kinondoni leo imemuhukumu mwanamke mmoja mkazi wa Tandale Imelda Elisha (28) kifungo cha miaka 5 jela kwa kosa la wizi. Akisoma hukumu hiyo, hakimu Joel Mwambuta amesema...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mara paap unaangalia Cnn news au TBC au xnxx news unasikia breaking news kuwa dakika hii Bom la nuclear limetua Congo na baada ya lisaa limoja Africa nzima itakuwa Vumbi na Majivu. Wewe utafanya...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Brother K huwa nikimuona tu huyu jamaa nacheka bila sababu hatakama ajaongea lolote Tizama hii video hapa kisha toa comment yako Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Waacha wagawianeni vyeo lakini tumamua kuunda serikali kuu yetu hapa JF Rais - Mheshimiwa Kiranga Makamu wa Rais- Shunie Waziri Mkuu- Pascal Mayalla Msemaji wa Serikali Mwifwa Waziri Wa nchi...
35 Reactions
272 Replies
14K Views
Unaish maisha kama uko motoni Haya ni maneno aliyoyatoa jamaa yangu m1,jana nilimkuta victoria pale ananyeshewa na mvua nkampa lift,sasa tukawa tunacheka, Kasema yeye machaguo aliyochagua maishan...
1 Reactions
6 Replies
614 Views
Dear wake zetu, kutokana na mvua kali hapa Dar, ma-HR kwenye ofisi tunazofanyia kazi wameomba tulale ofisini ili kuepusha bugdha; Maazimio haya yameafikiwa na kila mwanachama wa chama cha waume...
0 Reactions
2 Replies
651 Views
Habari JF, Ebu tuambie ni kampuni gani unaisikia sikia tu au unaifahamu na ungependa ikuajiri? Weka kiwango cha elimu na ujuzi uliosomea hapa hapa mfano BA in MarkeTing, Dip in IT then taja jina...
0 Reactions
6 Replies
658 Views
Back
Top Bottom