JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Uko barabarani speed 120 tufanye! ghafla unaona kimbwengo kama hicho juu ya semi.
3 Reactions
29 Replies
8K Views
Habarini. Jana nilipita sehemu fulani nikakuta wananchi wamejazana sana wanasubiria Usafiri. Nilikuwa na BMW nikatamani niweze wasaidia lakini sikuweza kiukweli. Nikawa nawaza mwenyewe njiani...
21 Reactions
53 Replies
5K Views
Wanavaa tusuruali hatufiki chini. Hawavai soksi. Kuimba vinyimbo vya kikekike Enzi zetu (90s na early 2000s) Uhuni ni kuvaa suruali inaitwa pisto. Hizi walivaa masteringi wa movie za Kachina na...
13 Reactions
35 Replies
4K Views
Wanajamvi naomba kujua yule aliekuwa akitengeneza Burger pale kituo cha mafuta cha Total pale Morocco karibu na makao makuu ya Airtel Tanzania wapo wapi siku hizi? Najua kuna wakati walihamia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu , katika maisha kuna wakati unatamani kufanya jambo fulani na unakuwa na matumaini ipo siku utalifanikisha Wapo wenye ndoto za kuwa na magari mazuri , nyumba za kifahari ...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nineteen-year-old self-taught hacker and Argentinian native sets record as first bug bounty hacker to surpass $1M earned by hacking to create a safer Internet SAN FRANCISCO-- March 1, 2019...
0 Reactions
2 Replies
525 Views
Hii kitu enzi zetu za utoto ligi za mchangani tumetumia sana. Unachimbia golini hapo wapinzani wenu kila wakipiga mashuti ngoma inagonga mwamba au inapaa tu. Wale wa Mtwara na Lindi watanielewa sana.
2 Reactions
13 Replies
3K Views
wakuu nilipotea humu jf kwa miaka kama minne hivi, sasa nimerudi tena mnipokee hobi zangu nikama ifatavyo: napenda yanga na liverpool, chakula nikipendacho ni ugali na dagaa ,pia napenda sana...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Share picha zako unazotumia kama wallpapers kwenye simu yako..
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Vijana tafuteni hela MTUNZE familia zenu, acheni kuelekeza nguvu kuipinga serikali na kujihusisha na SIASA MAJITAKA, kazana kutafuta ugali, ya serikali iachie serikali
2 Reactions
3 Replies
621 Views
Wakuu tukumbushane our school motto. Education for all and all for God - O Level, Issenye Sec School Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
125 Replies
8K Views
Nafikiri selfie ndo best sababu unachagua ni namna gani nzuri uonekane japo hata picha ya kupigwa sio mbaya ila sometimes unaweza kupigwa picha usiyo ipenda.
0 Reactions
10 Replies
818 Views
Tafakuri yangu leo imenikumbusha Sana Dar ya zamani 60s na 70s. Wale wanaoikumbuka Dar na Tanzania ya zamani tukumbushane, si lazima iwe 60s na 70s, nimeweka kigezo hicho binafsi kwani ndipo...
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Mada iko wazi... Karibuni waungwana.
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Touch me like you never touched somebody before, you are made of pure dreams makes of champagne for sure. Do you ever wonder how good life could be?! You don't have to wonder just life to me...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Katika harakati za kusaka maisha Mganda, Mkenya na Mtanzania wakajikuta mikononi mwa dola huko Uchina, kosa likiwa kukutwa na madawa ya kulevya. Kama mnavyojua Uchina ukishatiwa mbaroni wewe ni...
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau... Mi natafuta wana wa kupiga nao story...wakija na wasichana itakuwa poa..though wana sijawatenga...mambo ya vibomu sitaki..kila mtu apambane na hali yake...kupangiana maisha vile vile...
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Ivi ni ushamba au ulimbukeni? Umelewa kwa pesa yako afu unatoa matusi ovyo! Ivi sheria inasemaje kuhusu watoa matusi ovyo hadharani? Ningekuwa na bastola nakuchapa za USO!
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu, Nimepata hamu sana ya kuikumbuka shule niliyosoma O Level na kumaliza mwaka 1993 Form Four. Hebu kama kuna mtu alisoma kipindi hicho tubadilishane mawazo; wakati huo Mkuu wa Shule...
2 Reactions
48 Replies
5K Views
Majamaa, Kuna msela wangu yuko mtoni ananiuliza kama aukane uraia wa Tanzania na kuchukua wa nje. Bongo hakuna dual citizenship. Mimi nimemwambia Bongo hakuna issue akae tu huko. Je, wadau...
0 Reactions
6 Replies
702 Views
Back
Top Bottom