JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni baada ya kutuma sms kwa babaangu badala ya kutuma kwa mchumbawangu. Ilikuwa hivi. Hello honey, happy valentine. Unajua ninavokupenda mpenzi wangu. Nimekununulia zawadi ya boksa Kama kumbukumbu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Uzi huu ni kwetu sisi wapenda game toka miaka na miaka na hatuoni dalili ya kustaaf hivi vitu. Kwa wale wanaouza cd wanaweza kushare hapa pia. Tutashare changamoto tunazokutana nazo, game nzuri...
1 Reactions
1 Replies
695 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hebu hebu kila mmoja atoe ushuhuda ni Kitu gani alishawahi kudanganya watu wanaomzunguka kwa nia ya kujipatia kipato. Mimi upande wangu niliwahi kudanganya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ninaomba kujuzwa hali ya maisha ya Cuba, lugha wanayozungumza, gharama za malazi na vyakula.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku hizi watu wako makini katika kutoa namba za simu. Ukitoa namba yenye makosa unaweza kupishana na lorry la mshahara. Enzi zile mtu akikuomba namba kama hutaki juzoeana nae unatunga namba...
4 Reactions
3 Replies
842 Views
Hii ni bidhaa ambayo baadhi ya maduka tarehe 13 yaliishiwa. Ila kwa ujumla hii ndio bidhaa ambayo imevunja record ya mauzo wiki hii. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna thread humu jukwani nimeona inaongelea majina ya ajabu ajabu ya Wakinga wa Makete mkoani Njombe, akina Bonet Sanga, Diff Nyaluke nk. Lakini naona majina ya Wasambaa wa Lushoto na Korogwe ni...
7 Reactions
3 Replies
4K Views
Tunahitaji Faraja Ya Dhati Tuimbe Na Kuabudu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
791 Views
Habari wakuu, nitakuwa nawaletea matukio yanayo endelea kutokea hapa nairobi kwenye mkutano wa wanaume
0 Reactions
30 Replies
3K Views
0 Reactions
1 Replies
625 Views
Wakuu habari ya leo, natarajia kutembelea mkoa wa Geita weekend hii, Je ni maeneo gani mzuri sana ya kula bata yenye huduma zote yani nafikiri tumeelewana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Niko najiandaa nilale maana nimechoka sana weekend hii. Kama kuchakata nimechakata leo asubuhi. Wewe je unafanya nini? Cc Zero iq Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
40 Replies
3K Views
Nasikia ina majina mengi. Sisi kitaani kwetu tunaita Noah.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimetua hapa Portugal kwa muda nafanya ziara ya muda mfupi yaani kuna totozi sio mchezo nimejaribu kuchunguza sijabahatika hata kukutana na mtoto mbaya. Wakuu kama huna pesa ya mawazo njoo...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
[emoji91] Changia Maneno Manne Tu. [emoji91] Naanza Mimi [emoji117] Hapo Zamani Za Kale Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
12 Replies
749 Views
Haya timu kukereka twende sawa. Valentine day ya leo ntakukera zaidi jiandae kukereka. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
498 Views
Kwamba unasubiri ni R.I.P uanze kutaka kunifahamu.......kwa nini usitake tufahamiane saa hizi.....we kama unataka kumfahamu Preta mPM.....mfanye miadi mkutane......sio nikiGO....muanze kuweka...
12 Reactions
150 Replies
10K Views
Mfano umeamka asubuhi pesa uliyobaki nayo ni shs 4,600. Huna pesa nyingine. Panga BAJETI yako ya chakula kwa siku nzima. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hello Momma, As i dwell in the land of the living, I wish to give a token of gratitude to a very special person who have been at the epicenter of my success. Dearly, I inscribe these deepest...
0 Reactions
4 Replies
543 Views
Ni aina gani ya camera nzuri kwaajili ya matumizi ya nyumbani? Naomba kujua pia Kama Kuna madhara na faida ya kufunga camera. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom