JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
.. Tufarijiaje wazee.. Naona kimya. Sioni mashamsham Kunani huko uliko... Vifo, ngumi, vilio, ? Happy Valetines Day..
1 Reactions
16 Replies
1K Views
[emoji23][emoji23]
0 Reactions
1 Replies
979 Views
Baba mama na mtoto wao wamelala ghafla usiku Mtoto: mama nataka nikakojoe Mama: chukua tochi ukakojoe Mtoto akanyoosha mkono anatafuta tochi kumbe baba kalala uchi mtoto akashika naniihino ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Asilimia kubwa ya daladala za dar makondakta huwa wanakataa kubeba wanafunzi zaidi ya watano.. Akishabeba wawili watatu hataki tena kubeba wengine na nafasi ipo anachukua watu wazima eti kisa...
1 Reactions
41 Replies
3K Views
Jamani naombeni msaada ,laptop nnayo tumia nikiiwasha sehemu ya kuweka password haiwezi ku 'input' character zozote ,kwa hyo cwez ingia na kuitumia
0 Reactions
1 Replies
427 Views
Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa. Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi...
7 Reactions
79 Replies
17K Views
Uko wapi mkuu ?! Mara ya mwisho kuteta nawe uliniambia unanipenda kabla sijakujibu ukawa "jiiii.." Rudi nimekukumbuka sana[emoji17] [emoji17] [emoji17]
14 Reactions
440 Replies
17K Views
Hivi Bongo kuna sehemu gani kule ndani ndani, nyuma ya mlima unavuka pori, unaogelea mito yani ukifika unakuta kijiji kizima hata mmoja hajui Kiswahili? Maana mimi naamini Tanzania ni kubwa...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Wakuu kuna vidonge vimetoka unameza ili pale unapopumua hali ya hewa isichafuke. Kuna harufu ya aina nyingi, strawberry, mango n.k Hata mkibana kwenye daladala uniachia tu yuu-suu-fuuu watu...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Tajiri mkubwa hapa tanzaccm, mwenye mihela yake, mwenye Range rover zake, mwenye benz zake, mwenye Audi zake. Kiduku lilo mgawa pesa, mgawa samaki, kiduku lilo mtembea angani, nimezikumbuka mada...
7 Reactions
35 Replies
4K Views
Hivi ushawahi kusikia any weird or scary story about a place or thing?? Please share. Me nilisikia kuna daraja Arusha misikule huwa inakaa kule chini husababisha ajali ili ipate Damu....
1 Reactions
7 Replies
781 Views
Nimeenda kijiweni siku moja baada ya kazi, nikaenda kubadilishana mawazo na kupoteza muda. Kuna jamaa alituambia hiyo story...nikabaki nacheka tu (Nashindwa kuiandika huenda yuko humu JF) kwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Dear People Mimi sijui kwanini mnaona siko series napenda kujua kuhusu huu mji kama haupo poa simniambie mbona mnanibania nanipo serious
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Aman iwe juu yenu wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu Nakuzimikia sana mrembo moderator farida wa jf Mimi kwako nimkufa nikaoza sina ujanja kabisa farida juu yako...
8 Reactions
80 Replies
8K Views
Najua watu wengi sana ambao wapo katika kazi au ajira fulani ambayo kiukweli hawaipendi/hawaifurahii. Je unapambana vipi na changamoto unazokumbana nazo? Umeweka mikakati ipi kuweza kujinasua...
0 Reactions
17 Replies
915 Views
Habarini Jamani hivi yupo wapi huyu bidada aitwae Khantwe? Nimemiss ucheshi wake na michango yake kwenye forum. Mwenye taarifa zake anijuze yupo wapi, Majukwaa yote simuoni!
10 Reactions
127 Replies
6K Views
Bila kunificha hebu niambieni Mimi superbug Nina sifa gani kuu ? Au mnanikubali kwa lipi? Au hamnikubali kwa lipi? Mimi ni Kati ya member maarufu Sana jf Sasa hebu niambieni nyie mnanionaje onaje...
1 Reactions
59 Replies
3K Views
Wakuu mi napenda kujua afya za akili kwa wale tuliotumia hivyo vitu je tupo salama? Mi kiukweli nimeathirika na hapa nilipo akili yangu haipo na nimekuwa chizi wa msimu. Nawasilisha
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalaamika kuachwa na hamida ... Huyo jamaa tunamtafuta ,kwa yeyote anaemjua huyo jamaa au mwenye mawasiliano nae tunaomba pls.. NB...
4 Reactions
231 Replies
34K Views
Nawapenda, nawapenda ,nawapenda [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom