JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Watu wa Dar bwana! Kabla hujaenda ukimpigia simu anakwambia karibu sana kaka ukija usiache kunitafuta.. Ukifika ukampigia kwanza anakuuliza umefikia wapi, unamwambia nipo Kawe, utasikia nipo...
19 Reactions
32 Replies
4K Views
Tunaishi uswahilini huku mi na mke wangu ambaye kwa sasa mjamzito waswahili wanatuonea wivu kwa mapenzi yetu ya kizungu yani tunapendaga sana kunyonyana denda hadharani, hasa tukiona watu wengi...
4 Reactions
181 Replies
15K Views
Habari wana MMU? Ni kwamba Raynavero ni mwanachama wa JF hasa hapa MMU Pia mika ya 2015,2016 alikuwa ni attendant mzuri sana katika jukwaa hili la MMU. Kwa muda huo alikuwa akitumia ID ya...
4 Reactions
115 Replies
7K Views
Salaam Wadau! Uzi huu ni maalumu kwa ajili ya kukumbuka matukio yaliyopita. Tupia picha ili tuweze kukumbuka matukio ya nyuma. Asante. Mimi naanza. Je mnamkumbuka huyu mtu?
0 Reactions
7 Replies
800 Views
Kwanza kabisa namshukuru MUNGU kwa kunipa pumzi ya uhai MPAKA leo hii. Namshukru sana.Wape pumziko la amani, ndugu, jamaa, marafiki na watanzania wenzetu ambao uliamua kuwaita kwako ili wapumzike...
3 Reactions
11 Replies
781 Views
I missed you so much. Missed the old days. I know the fate but i still hope one day the sun will shine. From deepest of my heart wish you all the best. My Raynavero @geniveros Memory restore!
8 Reactions
552 Replies
15K Views
Uswazi noma, kama ulifikiri uswahilini hakuna starehe umekosea sana, maskini jeuri wapo huko, hawapo tayari kushindwa, ni kama vituko, lakini ndio starehe yenyewe. Utawaambia nini!? Nyumba ya...
36 Reactions
170 Replies
20K Views
Jamani mliobadili ID tuambiane PM tafadhali. Mimi binafsi nawaomba akina dada mliobadili ID tutambuane ili tusitongozane kwa mara ya pili,tatu,nne..
63 Reactions
3K Replies
149K Views
FRANK NA NESTO WAPO KANISANI... Frank: Nesto Kwa Nini Mwanamke Yule Ananitazama Hivi? Nesto: Mwanamke Yupi? Frank: Yule Pale Kavaa Gauni Ya Bluu. Nestor: Usimtazame Kamwe achana nae. Baada Ya...
10 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wale wenzangu na mimi Bazazi!Wasio wanachama wa vyama vya wagomvi (siasa na dini) Leo ni siku muhimu sana; Bia yetu Maarufu "SAFARI LAGER" Ilizaliwa siku ya leo; Mama yake ni TANZANIA...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Jinsi ya kula pombe ukiwa ofisini Agiza matunda yawekwe kwenye kikontena mpe maelekezo muuzaji akuchanganyie na k-vant ndogo chupa moja, nunua potion nyingine ya matunda yasiyo na pombe ili ukiwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
  • Closed
Habari zenyu wadau wa jf lounge m ninewamis mnooo... Poleni na naswahibu yaliyo ikuta app yetu pendwaa... wale wakongwe wa jf mupooo akina sakayo na wenzio @emmyta Shunie Numbisa Kichwa...
8 Reactions
84 Replies
4K Views
Leo nilisema niwaige matajiri mchana wa saa 8 nile matunda tu. Muda huu naelekea kusonga ugali. Njaa inauma hadi nimeukumbuka msemo wa wahenga "IGA UFE." Sent using Jamii Forums mobile app
25 Reactions
49 Replies
3K Views
JF Most famous members of all time Kiranga Mshana Jr Sky Eclat Ushimen Victoire mitale na midimu Infantry Soldier Influenza Viol Zitto Bujibuji Pascal Mayalla Gyole Humble African Da'Vinci...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Binafsi mi gari lenye rangi nyeusi ni best choice kwangu
3 Reactions
58 Replies
22K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojielezea wana jf ambao umri wetu umekwenda na mpka sasa hatujanya lolote ktk maisha hebu tupeane changamoto zinazotukabili Mie bana nikikutana na watu wanaonifahamu...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Tukumbushane kipindi hicho cha JKT, "Usiwe kama police pushapu kwenye godoro,uwe kala lisoja pushapu kwenye kokoto" Moja ya mstari ulionivutia sana enziii hizo nipo 835KJ..
5 Reactions
108 Replies
20K Views
Aman iwe juu yenu wakuu Kama kichwa cha habal kinavyosomeka hapo juu Siyo mtu unajifia fia tu sijui unaumwa ukimwi sijui maralia sijui unaumwa kiyutiai Au unakuta mwanaume mzima anakufa kifo...
3 Reactions
63 Replies
5K Views
Wakuu naona nitakuwa na tatizo maana napenda sana kulala iwe mchana au usiku mwili full uchovu sipendi kufanya kazi. Msaada please.
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom