*MATHEMATICS EXAM PAPER*
*Time*: *3Hrs 30MINS*
*INSTRUCTIONS:* *ATTEMPT ALL QUESTIONS.*
*ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS*
*1.* *For girls* You have dated a boy for *three* years, eventually he...
Wakuu, Christmas napanga kwenda kupumzika Zanzibar na familia yangu kidogo.
Sijawahi fika Zanzibar, pia nilikuwa natamani mwaka mpya unikute kule.
Je ni hotel gani au lodge za bei nafuu ambazo...
Wadau kama kichwa kinavojieleza hapo juu,hali yangu si nzur kiuchumi hivo naombeni mbinu mujarabu za kupangua mizinga kutoka kwa kinadada mana nikiwachekea naweza nisitoboe january.Kila baada ya...
Habari za asubuhi wakuu,
Kwa niaba yangu mimi mwenyewe nawatakieni wote heri ya hizi sikukuu mbili kubwa christmas and newyear. Mungu awape yale mnayoyatamani na awafanyie wepesi katika magumu...
Hello wakuu za siku, wiki ijayo kwenye siku kuu natamani sana nikatembelee mji wa Bagamoyo. Ni mara yangu ya kwanza hivyo basi mnisaidie nijue gharama zikoje za hotel, beach, vyakula etc
Mi wavudee, ngoja nikuelekeze kuazia thame, unapanda kilengaa, kituo cha kwanza mwembe,unakuja mgungani...mbele kidogo njia ya kupanda thujii, unakuja mkanyeni....unapita mto pendwa ngambini...
Habari wana ChitChat,
Natumai mu-wazima wa afya, nina mpango wa kwenda Bujumbura kwa ajili ya kutembea tu, nilikuwa napenda kufahamu je hoteli gani ni cheap pale Bujumbura iliyo karibu na Ziwa...
kwema? naamini niko jukwaa sahihi.....but i know it might be seen crazy what i am about to say/ask
kwanini mtu hachukizwi na chake (kama anachukizwa basi ni kwa kiasi kidogo tu) hata kama ni...
Habari zenu walipa kodi!!
Niende direct kwenye mada. Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24, nimehitimu chuo kikuu mwaka jana bado nazisaka ajira, huku nikiwa napiga mishe mishe zangu za kujipatia...
Samahani wakuu hivi humu jamvini kuna mchwa wanakula thread,unaweka thread dakika 5 nyingi inapotea na haionekani hata utafute kwa darubini na hadubini yaani inapotea milele.
Nimekutana nayo last weekend aisee we acha tu!
Sirudii tena kumruhusu shem wenu agonge nyagi kabla ya mechi. Yani hakumaliza mapema kabisa.
Nilikuwa nasikiaga tu "sijui nikagongee nyagi" now...
Mambo vipi watemi?
Ebanaee tulio wahi kuwa na chawa tukutane hapa tubadilishane uzoefu. Binafsi nilipokuwa mdogo mpaka darasa la pili nilikuwa na chawa wengi sana kiasi kwamba kichwa kilikuwa...
Wakuu mumewahi kujiuliza ni kwanini movie zote za bongo mtu akipiga simu polisi anauliza kwanza
"Hallo hapo ni kituo cha polisi ?"
Sasa namba mpaka unaisave kwani ulikua hujui ni ya nani[emoji23]
Mambo, nashida na maziwa ya Simba anayenyonyesha nimeelezwa yanatibu kabisa vidonda vya tumbo. Nimeambiwa yanayofaa zaidi ni ya simba aliyezaa hivi karibuni. Wapi napata simba nimkamue mie.
Nmeangalia hali ya usafiri ulivyo kafili Dar es salaam nmesikitika sana. Mfano leo nmeona kabisa daladala imejaa mpaka konda ikabidi apande ya nyuma yake maana alikosa pa kusimama kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.