Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa kinavyosomeka huu ni uz wa kujiintavyuuu wewe mwenyewe au kumuintavyuuu yeyote yule
Muintantavyuuu yeyote yule unayetaka kumuintavyuuu hapa
Then...
Habari wadau naomba ushauri
Wadau hivi kununua mbuzi au nyama ya ng'ombe kwa ajili ya christmas mass na mwaka mpya kipi bora?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisikika kijana mmoja akisema kwa sauti ya juu......!!! Nanukuu:-
"Mkinywa maji ya mto mmoja si busara kuyatibua maji kwa miguu kwani wote mtakunywa Maji machafu! Yanini kutibua maji bila...
Wana jamvi ninaomba ushauri wenu,
Mimi ni mwajiriwa wa serikalini nilipata nafasi ya kuja kusoma Masters kwa ufadhili wa chuo kimoja hapa Canada. Japokuwa nilifanya kazi kwa mwaka mmoja tu kabla...
Ivi wale tulikuwa tupenda kwenda East Zoo (Iringa Girls [emoji130] mpo wapi) 1
tupeane code basi...ulibahatika kula pisi ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi everyone in here,
Unaambiwa dunia ni moja ila majira na hali ya hewa hutofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine. Haya ni maajabu ya Yahweh.
Juzi, tulipokuwa tunatoka holiday ughaibuni...
Kuna nini? Miaka mingine, tarehe kama hizi mtaani ni jingle bell tu, lakini safari hii sijasikia. Wauza miti ya mikrismasi baadhi yao safari hii wameamua kuuza ukwaju wa Said Salum Bakhressa...
Unajua sijamuona huyu jamaa yangu kitambo sana hadi leo nikajiuliza amekimbilia wapi. Alikuwa anachangamsha sana jukwaa na moja kati ya wadau niliokuwa nawakubali mno. Popote pale ulipo MBITIYAZA...
Mungu ni mwaminifu mnoo!!!!
Tarehe na miezi ka ya leo miaka kadhaa ulopita alizaliwa binti mrembo, mpole kiasi, mwenye roho yake tulivu Shunie!!!!
Mungu azidi kukulinda mdogo wake mie, nakupenda...
Wakuu habarini za muda,
Kwa wale wazawa wa Mwanza wa miaka 80s kushuku chini mtakua mlimsikia au hata kumuona Bibi fisi alikua akiishi Jirani na hospitali ya Bugando.
Kuna uvumi nimeusikia toka...
Habari za jioni
Wazazi wengi wa zamani hujisifu sana mbele ya watoto wao kwamba walikuwaga na akili sana darasani na walikuwa wanaongoza. Sijawahi kuona au kusikia mzazi yeyote akimwambia mtoto...
Leo wikiendi hakuna kulala. Usiendekeze usingizi. Ukifa utalala sana kaburini mpaka mwili utoke wadudu. Wakati wa kukesha na kula bata ndio huu huu ukiwa hai'. Ushauri wa Mshauri wangu wa Masuala...
Wakuu za jioni.
Nilikutana na mzungu mmoja mwanaume katika cafe moja tukakaa meza moja tukapiga story huku tunakunywa kahawa, tuliongea mengi kuhusu maisha na yeye alijieleza ni doctor kule...
mabaharia wenzangu hivi kwa hapa Dar hakunaga machimbo ya mchana??....maana wakati mwingine unakabwa na kiu halafu kusubir hadi usiku inakua ngumu,,tujuzane km kuna machimbo ya kwenda na ukawakuta...
Naomba kujua kwa kipindi hichi cha mwisho wa Mwaka, ni mambo gani ya muhimu kujitathmini binafsi ili kujua ni kwa kiasi gani umefanikiwa katika malengo yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.