Hi everyone in here,
Moyoni nimejawa na huzuni baada ya kupatiwa taarifa juu ya msiba mzito wa Mtanzania mwenzetu Mr. Ali.
Binafsi nimeshitushwa sana na taarifa hizo na kunifanya kukatisha...
Walipatapo kuvuma!
Pierre Liquid, fundi furniture wa Keko! Msanii (nikiri tu siijui sanaa yake) na pia shabiki wa Taifa Stars, mwalikwa wa ungeni, shabiki wa KISARAWE!
Kiukweli alivuma!
Alikuja...
Juzi tulikuwa pale Kijitonyama grounds, ilikuwa kama Miami. Baadha ya wadau wa Twita niliowaona
1.Kigwangala (huyu anakipiga basket ball hatar)
2. Zitto
3. Mwana FA
4. Wakazi
5. Matata
Na wengne...
Ulikua na umri gani ulipogundua kua neno unga wa dona, sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1974 (unga wa donor)
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habbar kinavyosomeka hapo juu
Dah inauma sana lakin ndo hivo kwaherin ndugu zangu, week ijayo yaan jumanne inatakiwa niwe nishafika shule...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ninasikitika sana wana jf wezangu hali yangu si nzur kabisa naumwa sana jaman
Homa kali imenikamata toka juz...
Wanaume watakuwa wakali kipindi cha Disemba mpaka mwanzoni mwa February[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] NA kwa wanawake walioolewa na watumishi wa umma, kutakuwa na vipindi...
Video za Gwajima achana nazo. Wazungu wanakuwa na theatre kama jumba la cinema. Kitanda kinawekwa chini na mwanaum na mwanamke wanafanya tendo live.
Watu wanalipa pesa nyingi kwa show hizo na...
Huyu baba anaomba polisi wamruhusu aingie bungeni kupeleka muswaada wa Ijumaa iwe siku ya mapumziko, watu wafanye kazi mpaka Alhamisi.
Aliambiwa bunge limefungwa na hakuna mtu ndani. Akaulizwa...
Ulikua na umri gani ulipogundua kuwa ugali wa Dona sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1984 *(unga wa Donor... From Donor country)* 😄...
1.Mayombo(c)
2.Glory
3.Theresia
4.Gift
5.Consolatha
6.Praxeda
6.Aisha
7.Esther
8.Fiona
9.Gift
10.Nameless
Bado mmoja itimie first 11...
huko kwenu vipi !??
Nani mwenye substitutions kabisa...
"Unafungiwa nyama kwenye Gazeti, unafika nyumbani unashindwa kuchambua nyama na gazeti...unajikuta unakula Ugali na Habari za kimataifa"
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Habari za muda huu wakuu..! Juzi maeneo flani niliibiwa simu sasa nimejaribu kutumia app ya FIND MY DEVICE naona inakuwa ngumu kuitrace simu yangu. Nina IMEI namba tu sina risiti je nikienda...
Salaam kwenu!
Ulishawahi kukaa muda gani (siku ngapi) bila kulala? Kwa nini.
Binafsi sitosahau tulikuwa tunahama na mifugo, ndo mara ya kwanza kuingia kwenye misafara hyo (baada ya kumaliza...
Habari za muda huu wadau, kama mada inavyosemeka. Ni kitu gani unapenda kufanya wakati mvua inanyesha. Binafsi huwa napenda sana kuwa ndani nimelala, usingizi huwa unakuwa smooth sana. Vipi mdau...
Wale ambao toka ujiunge hujawahi kukutana uso kwa uso na member yote humu na wala humjui member yoyote humu,hebu tukuje tujuane hapa. Nimeleta huu uzi baada ya karibia wiki lote hili kuona kilio...
Katika uzi niliofungua wa wale ambao hawajawahi kuonana na member yoyote humu Jf ilikuwa kipimo cha namna gani upendo umepungua katika jamii ya kitanzania. Nimegundua hali ni hatari,watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.