Visa kila siku haviishi mpaka ndugu/ rafiki wanalazimika kukwambia ulimtoa wapi huyu mwanamke? au ulimtoa wapi huyu mwanaume? Lol..saa nyingine mmeachana lakini kwa visa alivyokufanyia unabaki...
1. Anapenda kwenda sawa na wewe kwa kile unachokila na muda mwingine atataka ale zaidi yako.
2. Ukiwa umelala na mkeo au mpenzi wako atalazimisha akupige chabo dirishani.
3. Ukiificha mboga hasa...
Tarehe za Uhuru ndani ya jiji bora na jiji la mawe la sato na sangara zinakaribia.
Zitafanyikia uwanja wa CCM Kirumba, nyuma kidogo na ofisi zangu (Kirumba sokoni)
Wale wa mikoani, nawakaribisha...
Hi everyone in here,
Leo sina mengi sana nahitaji kukutaba na wa Tanzania wanaosoma hapa Bonn University Ujerumani.
Leo mimi, Linda na Jakob tutatembelea Bonn Botan Garden iliyopo hapa...
Wakuu,
Chachu Ombara alikuwa ananiulizia kama online namuona Madame B . Mara sijakaa sawa nikapokea Ujumbe wa mathematics akimuulizia ladyfurahia. Kwamba amemiss mambo na kelele nyingi...
Basi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi...
Hello kwasisi wanaume hivi kwanini huwa tuna peleka macho yetu kwenye wowowo za akina Dada hivi kwa wale wajanja tuambieni kazi ya wowowo kitandani ni IPI?
Habari za asubuhi wana jf, Kama utaratibu wetu wa utafutaji na kwenda kwenye mishe mishe (,kazi,shuleni,sokoni nk )
Tuungane kuelezana Kama unasafiri kwenda mishe mishe,Mimi binafsi Niko kwenye...
Wakuu nawasalimia sana,
Uzi huu ni endelevu kwa ajili ya kuambiana chochote kilichokutokea leo. Mfano:
1. Umepata mchumba au umekutana na mtoto mzuri
2. Umeibiwa
3. Kuna tukio lolote mtaani kwenu...
Mtu akamatwa kwa kesi ya gongo hukumu ilikuwa kama ifuatavyo.
Jaji: Nakuhukumu kwa kosa la kuuza gongo
Mtuhumiwa: Me siuz gongo mnanionane 2
Jaji: Si tumekukamata na kifaa cha kutengenezea gongo...
Wakuu heshima kwenu
Next week nitaanza safari ya kutoka Dsm kuelekea mbeya kwa Rav 4 new model. Lakini hii itakuwa safari yangu ya kwanza kuelekea Mbeya, kama ujuavyo unaposafiri safari ndefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.