Jaman wajuba wenzangu kama wewe ni mpenzi wa vichekesho nitajie msemo mmoja wa wanyabi.
Mimi naanza na "Mtoto wa kike unamkuta anajishaua anaend chuo kumbe college ya D mbili huo ni unini?"
Tangu utawala umeingia dimbani matajiri wengi wamechezea nyavu au wako nyavuni mpaka sasa.
1. Papaa Msoffe, Marijani Aboubakar
2. Rugemalila
3. Somaiya (shivacom)
4. Akram Aziz
5. Ladwa (simba...
Ukweli mchungu, na taarifa mbaya kwa waliozaliwa Ocean Road.
Inasikitisha sana, waliozaliwa jiji hili wengi umri umeenda na hawana kitu, maisha yao mabovu mno, wanaishi majumbani kwa wazazi wao...
Kwenye simu yake ana application ya Facebook Lite huna haja ya kuuliza uyo ni mshamba.
Ana miaka chini ya 25 anashanibikia Arsenal uyo ni mshamba anafata mkumbo, hiyo timu karithi.
Ana nyimbo...
Nmeshangazwa na kitendo cha mtu kuongea na mh rais akilalamika kuwa bei ya mahindi/unga imepanda.nlipata shida kidogo msingi wa malalamiko yake.
Lakini mbona hili wala si issue kubwa ya kusema...
Maisja ya shule bwana we acha tu!
Nilipokuwa shule ya Msingi enzi hizoo kuanzia Darasa la Nne hadi la Saba maksi zangu za somo la Hisabati (Hesabu) zilikuwa zinacheza kwenye 03% - 08% na kwa...
Phone conversation;
Watt: Hello there?
Knott: Yes. Who are you?
Watt: I'm Watt.
Knott: What's your name?
Watt: Watt's my name.
Knott: Yes. What's your name?
Watt: My name is John Watt.
Knott: John...
official_pck
Leo nimeona niongee tatizo linalo usumbuwaga moyo wangu siku zoote
Mimi kwenye maisha yangu siJawai kubahatika kumpata Mwanamke mwenye upendo wa dhati na mwenye kukubali kuolewa na...
Wenyeji wa Mwanza naomba msaada wa kujua lodge nzuri ya kufikia Mwanza Mjini. Nina safari ya Mwanza hivi karibuni ila sina uzoefu wa wenyeji wa mjini.
Naomba anayefahamu Lodge nzuri anisaidie...
Mazee, hizi kucha za bandia dada zetu wanazobandika juu ya kucha zao ni hatari sana.
Katika harakati za kupita pita mitaa ya town kusaka maisha, kuna mdada mmoja kajikwaa mguuni kwangu nikiwa...
Katie Price has been declared bankrupt in a hearing at the High Court, which was told she had failed to stick to a plan to repay her debts.
The former model and reality TV star was not present at...
Ni mara ya pili sasa nakuta missed call ya hii namba +255 784 105 505. Nikipiga naambiwa haipo na nikiangalia jina la usajili wake nakuta haina jina.
Je kuna ambaye anafahami ni namba ya ninu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.