... Nilipokuwa shule ya Msingi enzi hizoo kuanzia Darasa la Nne hadi la Saba maksi zangu za somo la Hisabati (Hesabu) zilikuwa zinacheza kwenye 03% - 08% na Kwa bahati mbaya matokeo yalikuwa...
Swali: Hivi ingekuwaje kama BAO (si la mpira wewe) la ku-DU (umeelewa sasa…) lingekuwa linatoa mlio kama Bunduki???
Mfano: Paaah au Puuuh au Pooooh au Tuuufuu au Tratrataaaah nk. Nahisi...
Habari wana familia ya JF, unajua kwenye wengi pana mengi, na humu ndani hua watu wanapishna kwa hoja mpaka kujibizana vibaya .
Sasa nimeona nianzishe uzi huu ili kila memba ambaye anajua kwa...
Naangalia hapa mapambano ya ngumi utangulizi kabla ya pambano la megasuper star Mwakinyo asilimia kubwa ni watoto wa Temeke na walau Ilala. Hivi Kinondoni tunaweza nini yaani.
Kinondoni tunafeli...
Jana natoka zangu job jioni niko kwa hiace nimekaa na dada mmoja seat ya pembeni. Kasinzia hadi ananiegemea; nikaona isiwe kesi, kidume nikakaza tu kibingwa.
Sasa tumefika kituo fulani konda...
Basi bana leo niko zangu home nimelala mida ya mchana mchana hivi baada ya njaa kunitandika kinoma nikaona nijiegeshe kwa bed nivute vute muda wa menu liive kwa kwasababu beki 3 alikuwa jikoni...
Hebu tuongee ukweli tu; umetoka kwenye mkesha flani wa aina yoyote ile, asubuhi ukaamua kulala chumbani kwako ili kupunguza uchovu na usingizi.
Ukaandaa maji ya kuoga kwenye beseni pindi...
Mtu amepiga zake suti safi ametokelezea ila alichokosea ile kutembea na maufunguo kiunoni.
Basi yanavyopiga kelele nikajua kuna ng'ombe wameingia mjini.
Waswahili husema kwenye mengi kuna mengi hili ni moja jambo ambalo linazungumziwa redio moja ni jinsi gani unaweza kuwatumia marafiki na watu waliokuzunguka katika kuyatafuta maisha ya mafanikio""...
Wanawake mlioolewa acheni kulalamika lalamika kwamba maisha magumu wanaume zenu hawawapi hela za matumizi wala za mtaji.
Kama mumeo hakupi hela ya matumizi au umemuomba hela ya mtaji kakuvungia...
MATHEMATICS EXAM PAPER
Time: 2Hrs 30MINS
INSTRUCTIONS: ATTEMPT ALL QUESTIONS.
ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS.
1. You have dated a girl for 2 years, eventually she drops you for another guy...
Nina Jirani yangu Mmoja ana Watoto Saba ( 7 ) ila hakuna hata Mmoja amefanana nae achilia mbali hata Kufanana na Wazazi wake na Ndugu zake lakini anawapenda kweli kweli. Yaani Mimi nizae na...
Nadhani kama Siku ya Hukumuy Kwake Mungu Sebuleni Kwake Mbinguni Wanaume wote tutahukumiwa na hii Dhambi ya Kudanganya / Kuongopa. Huwa nikikaa Mwenyewe na Kujitafakari kwa aina ya Uwongo ambao...
Mvua inaendelea kuonesha utukufu na baraka za Muumba, twende tukalime sasa. Wale tunaotumia jembe la mkono, tunaolimia WhatsApp, mikokoteni au ng'ombe bila kusahau tunaolima kwa simu. Mwakani...
Habari za mchana wakuu...
Mm sio mhuni...,Bali nataka nienjoy na kujua baadhi ya vitu ktk ulimwengu wa kisasa huu...
Nimekuwa nikisikia mengi kuhusu Casino na ningependa niende nishuhudie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.