Wadau ninaomba msaada wenu, nina safari ya Iringa natarajia kutumia usafiri wa Bus, hivyo basi ninaomba ushauri wenu nipande Bus gani ambalo ni luxury (full ac, siti zisizobanana, charger USB...
Mwaka ulivyoanza watu huwa wanajitahidi kubadili tabia ama kujaribu kufanya mambo mapya kwa mbwembwe za kila aina lakini kadri mda unavyoenda anajikuta kasharudi kwenye hali yake ya kawaida...
Wasalaam ndugu zangu,
Heri ya mwaka mpya 2018.
Binafsi nashukuru kudra za Mwenyezi Mungu kunifanya niuone huu mwaka mpya.
Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kutaka tufahamiane zaidi, tukosoane na...
Awali ya yote mimi ni muoga wa vyombo vya usafiri (ndege, bus na pikipiki).
Nilivyokua nikisoma zile habari za magari ya magazeti au malorry nilikua nashangaa mtu anapata emergency gani ya kupanda...
mimi nna miaka 34 elimu sina kazi ngumu nafanya lakini kipato hakinisogezi popote zaidi ya kula na kuishi nakaa site ya mtu na sina mtoto mke wala mtu wakunisaidia
ivi wadau nikipata msichana...
Aghalabu imekuwa ni kawaida sana kwa watumiaji wa simu za kikononi kupokea ujumbe "HONGERA" sehemu isipostahili kwa mfano;
1, Ukijiunga kifurushi cha kupiga simu utapokea neno "Hongera umefanikiwa...
Binafs sijawahi agiza ugali hotelini coz Ni tudogo kama Cha mtoto Cha kushangaza Kuna mibaba inabakisha duh,daresalam imewaharibu
Sent using Jamii Forums mobile app
amaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.
Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"
Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio...
Ivi mahakama kwanini imemkatalia shangazi kutusemea wananchi mil 55.
Shangazi anzisha kitu tutakuja utuamlie kesi zetu maana hawa wengine naona damu yao imeelekea kijani zaidi.
Kutakua.na...
Salama wakuu....
Aisee yani leo ndo nimeamua kubrowse insta, nimekuwa na akaunti insta lakini siitumia mara kwa mara sasa leo nikaona ngoja niperuziperuzi kidogo!
Ee bana eeh!! Yani kule...
Kama kawaida ya kikaango kutoka JF hapa tunamkaanga member mmoja kila siku,
Kwa leo tutakuwa na Ndugu yetu Malcom Lumumba kama guest,uliza swali lolote unalotaka kujua kutoka kwake na taaluma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.