Muonekano wako wa nje ni matokeo ya kile ulichokijaza moyoni mwako .
Ikiwa umejaza mema utaonyesha mema na mabaya utaonyesha mabaya .
Your outdoor appearance is the result of what you have...
Holla,
December is coming, kibubu kimejaaa mahsusi kwa ajili ya matumizi ya December yuuhuuuuu.
Leave that apart, napenda sana kudance miziki inayochezeka kama hii, na nikiwa kwenye dancing...
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.
Nimejiunga JF kama miaka 3 inakata sijapokea msg yoyote hadi nimejishtukia,
Kuna member ambae ana mwaka zaidi ya mmoja na hajawahi kutumiwa msg pm tangia...
Nimekua nikisumbuliwa na tatizo la kifua upande wa kushoto katikati karib na titi. Majibu ya Hospital ndogo ya rufaa kipimo kilireact normal, nikaambiwa sina shida. Huko Muhimbili kiliandika...
The prove of wisdom is wish to learn even from children.And the haste of youth must learn its temper from the gloss of ancient leather,from strength knit close along the grain.
The school...
Habari za usiku wanandugu!
Kuna hali moja unakuta ukitumia jina fulani unakuwa maarufu haraka na unafanikiwa haraka, Halafu kuna jina ukitumia unakuta hufanikiwi na kama unafifia Flani hivi!
Kwa...
Kumekua na katabia ka kuanzisha nyuzi za kitoto za tukutane hapa zinakera sana.
Mtu frm no where anakuja na uzi kama umewahi kula chakula basi tukutane hapa[emoji23] [emoji23] seriously?? kama...
Mungu ashukuriwe sana kwa neema na baraka zake.
Nimepata ajali ya kugogwa na gari wakati nakatiza njia .
Nashukuru nipo salama ingawa nimepata jeraha dogo.
Ahsate sana M/Mungu kwa kunilinda
Tunajaribu kuzungumza kidogo,
Hivi, Morogoro road ni jina la barabara au tuseme ni neno au je? na je, ni sawa kusema hivi "Niko barabara ya Morogoro road?"
Na Kwa mfano wa Zulu wakiongea ki...
Kila nikimwangalia huyu Mtoto Baby KiwiGani na maisha mazima ya Ukurupukaji wa Baba yake Mzee wa Kukurupuka na Upopoma nahisi akikua anaweza akaomba tu auliwe au hata ajiue tu ili asipate aibu...
Mwanamke mdanganye tu hakuna namna. mwanamke wa kumwambia ukweli asilimia Mia Ni mama mzazi tu ambaye mpo naye mpaka mwisho.raha ya kukaa na mwanamke mpenz mdanganye..japo uongo hausaidii Sana ila...
Jirani yangu maarufu kwa jina la mama zey kaja kuomba hifadhi leo ajiegeshe hata sebuleni mpka kesho asubuhi mumewe akili zitakapo mrudia vizuri..kiss chenyewe anasema jamaa yake karudi kalewa...
unaiba mke wa mtu unaenda nae gest ya mbali kumbe kuna wanoko wanakuchora, mshamaliza kila kitu ile unatoka tu nje unakamatwa
unavuta sigara kituo cha polisi afu me nakuja najamba silence...
Hali ya hewa ya leo hapa T ilinitesa sana imefanya nizini.
Bi mkubwa amesafiri kidogo akaamua kumwambia moja ya mfanyakazi wake akae home siku kadhaa kwa sababu nipo peke yangu,sijui hakufikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.