Aisee. Ni raha sana kuwa ni mzaliwa katika kabila la kichaga. Hata kama ni wa upande gani Kwa mf. Mrombo,mmchame,mmarangu n.k.
Ila nakuhakikishia ukizaliwa mchaga ni raha sana.
Naomba niseme...
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Enzi zile tunasoma kulikuwa na list ya wakali wa masomo darasani (kumi bora)ambayo ilikuwa official na pia kulikuwa na list ya wababe katika kupigana kuanzia wa...
Habari wana JF
Najua hii ni moja kati ya sehemu ninazoshawishika kutumia sehemu ya muda wangu, bila kupoteza muda naomba muwachague miongoni mwa wa-Tanzania, dada, kaka na mama wa Taifa. Hizi ni...
Yani siku ya leo kwangu ipo tu ovyoovyo..moja haikai mbili haikai tatu haisogei..
Uvivu sasa uwiii
Nipo nipo tu kama fwala
Vipi wenzangu mmeshawahi kupatwa na hali hii?? Na mliwezaje...
Wakuu,mnajua ubachela ni mzigo,..kuna baadh ya vyakula sili tena et,..na ikitokea nikavibabatiza mahal hua nachanganyikiwa kabsaaaaa
Leo kuna kona moja hiv mitaa ya diamond jubilee jamaa yangu...
Mbwa aliambiwa: Utalinda nyumba za watu, utakuwa rafiki bora wa mwanadamu, utakula makombo atakayokuachia, na utapewa umri wa miaka 30.
Mbwa akasema: Miaka 30 ni mingi, nataka miaka 15 tu...
Uko wapi RRONDO rafiki yangu toka utotoni. Ingawa ulikulia Mwananyamala enzi zile nikitoka Kwamtogole kuja kwenu nilijiona niko usuani. Ubabe wa watoto wa Kwamtogole hukuuzoe lakini niliwaambia...
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR.
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia...
Siku zote asikwambie mtu watu wenye mahusiano yanayojulikana huwa wanapitia wakati Mgumu sana.
Kwa hapa jf msione couple hizi zinazojulikama wakigombana mpaka kufikia hatua ya kuachana huumia...
1. Mwanaume unajichubua una dressing table kabisa unajua macrem yote ya kina Mama * wewe ni jipu !*
2 .Mwanaume unachati na msela afu unamwita wangu /my *Tabia za kishoga hizi *
3. Mwanaume...
Kuna aina nyingi za vinywaji vya kulewesha wengi tumekua tukijiburudisha na vinywaji hivyo baada ya kutoka kazini au tukiwa tumepumzika nitachambua baadhi kwa uzoefu wangu.
Aina ya kwanza ni...
Naomba Unitajie Watu Maarufu Unao Wafahamu Humu Jamiiforum.
Kuna Watu Maarufu Sana Wanafahamika Humu JF Kwa Ku,comments% Post Za Watu Hemu Nitajie Mtu Hata Mmoja Unae mjua !!!
Kauli zenu zinatufanya tujione wanyonge,,
[emoji117] "yaan hapa hakuna mzunguko" kabisa wa pesa
[emoji117] "yaan hata weekend hakuna pa kwenda"
[emoji117]" nimekuja mara moja kumcheki mother...
Rafiki yangu kamchukua bajaji anaemtakaga eti ampeleke Tabata Segerea kwa boyfriend bure. Nikamuuliza yani unataka kaka wa watu akupeleke sehemu ya elfu 20 bure kisa tu anakutaka akasema eeeh...
Weekend ndo imeanza hivyo.
Mishee mishe mtaani zimenoga balaaa wale wapenda bata kama mm tunatafuta viwanja tukajirushe.
Bila kusahau Jf nako kumechangamka kwa Threads mbali mbali huko PM ndo...
Nimetumiwa na mtu hii link na nikacheka sana nlivyoangalia mpaka mwisho,....Daaah Big Up sana Coy Mzungu umetuletea kipaji kizuri mjini aisee!
CC: Palantir , hearly , Humble African, Red Giant ...
Aaa, eee, iiii, ooo, uuuuuuu!
Hiiiiizi ni herufi kuuu!
Tamka kwa sauti kuuu!
Hiiiiizi a, e, i, o, uuuuuuu!
a, jogoo a, a, aaaaa!
kama jicho e, e, e!
mwenye mpira i, i, iiiiii
o, ni pete o, o...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.