Asalam ndugu wa jf
Kama kichwa kinavyojieleza hapo
je ni siri gani unayo ambayo huwezi wala hukuwahi kumwambia yeyote in real life
But would on JF using anonimity'''
Siri yangu mimi...
Habari zenu wakuu,Hongereni naona weekend ishaanza kukolea,mi nilikuwa naomba kuuliza hv ladha ya kupigwa BAN ikoje???maana kuna siku nilivamia Uzi mmoja hv ilikuwa ni alfajiri sana nikakuta mdau...
Wanadamu tunakosa ustaarabu.
Unakwenda kwenye ofisi ya mtu, "naomba uniwekee simu yangu ipate moto kidogo"
Cha ajabu hujazima li simu lako, volume umeweka ya juu, halafu wewe ni mtu wa kupigiwa...
Salaam Jamii Forumians.
Naamini kila binadamu hufikiri kwa wakati wake na kwa namna yake. Lakini wengi tufikiria tunapokua wenyewe (alone). Wengine wanaenda mbali zaidi kiasi cha kukosa usingizi...
Naamini kila mtu yupo sawia kabisa kama wine nyekundu.
Hapa jukwaani, imewahi kuzuka mijadala mingi mno kuhusu wanaume wa Dar na wa mikoani. Tumetupiana sana vijembe na dharau.
Wanaume wa Dar...
Mboga hutumika kukoleza utamu wa chakula na kukifanya kiwe rahisi kulika
Kuna mboga tamu, na mboga tamu zaidi.
Hawa wadada wa jf ww unawafananisha na mboga gani tamu ambayo ww hupenda kuila...
Habari za Jumapili wanajamvi...
Nimetimiza mwezi mmoja na cku kadhaa toka nijiunge rasmi na JF. Kiukweli nimejifunza mengi, nimekutana na mengi humu ya kukatisha tamaa, kuumiza, kuvunja moyo hata...
No chill in Africa
VITU VINAVYOTAMBULISHA UAFRIKA
1.kukojoa nyuma ya ukuta
2.mke kulala ukutani
3.ufagio unakaa nyuma ya mlango
4.ukiwa tajiri ni freemason
5.kufulia chupi maji yaliyobaki baada ya...
Amani iwe juu yenu ndugu zanguni.
Leo nimeona nine tushee hapa jinsi mtu anavoonekana fb na muonekano wake hapa.
Kuna members humu laiti wangekujua kwamba fulani ninachat huku ndo yule wa fb...
Wakuu msaada please najaribu cheki chanel ya azam Sport wanaonyesha Yanga na uchafu gani sijui, Azam sport HD wanaonyesha Madrid na Barca. Nisaidie jamani washkaji wanakuja geto kucheki hafu naona...
Ndio maana anafanya atakalo, hamna wa kumziba mdomo. Hata kaka yake hana la kumfanya hata akikosea vipi.
Kwenye maagano yake hayo ya ki Pepo ndio kizazi chake lilipotolewa kafara, kamwe hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.