Wasalaam wanabodi..
Nimekuwa nikijiuliza hili swali mara kadha wa kadhaa, Hivi kuna ambaye hamfahamu Nyani Ngabu humu JF? Ni kwanini Nyani ni maarufu sana humu JF? Hili swali ningeomba Nyani...
Wajukuu zangu kwa ujumla salamu,
Napenda kuwafahamisheni wajukuu watiifu na wakorofi kwa ujumla kuwa bibi yenu ni member wa JF lakini babu mimi sikuwa najua....Leo ndio nimejua rasmi.
Sasa...
Niliiona kwenye gazeti la ulaya kuwa kuna mjane aliyeachiwa pesa na mumewe na hakuwa na mtoto. Alinunua paka na kuishi nae, paka yule alikuwa saa ngapi bibi anaamka na akichelewa atamwita
Bibi...
Wakulu salama....??
Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.
Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni...
Mzuka Wanajamvi?
Kulikoni jamiiforums person of the year 2017 dogo Joseverest haonekani jamvin siku hizi. Josee kila thread ulimkuta Tena wa kwanza kukomenti Na hapiti wa tano. Hata Uganda forum...
Kama title inavyojieleza ni kwamba Mimi nimeona Valentine hii nitoe offer kwa JF member wa kiume kutoka out nami but with the following qualifications;
1, Awe above 35 years of age
2, Awe tayari...
Mimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Mwanaume alikuacha akasema atakupotezea muda tu ukipata mtu wa kuwa nae au kuolewa nae olewa tu,,hapo ashakuudhi ashakuumiza ,kweli unavumilia unapata mwingine sasa ,,mnakaa inapita miaka 5 au 6...
Mgeni nimefika japo hamjanikalibisha sikia hii,kuna jamaa mmoja alikuwa mchawi sana kiasi kwamba aliogopwa sana kijijini aliwaua watu wengi mno.Sasa siku Moja tozi alikwenda kutembelea familia...
Demu wako wa ukweli ni Yule atakae kwambia "beby kutokana na hali hii ya uchumi Valentine hii sitaki unitoe out nataka unitoe jasho*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shirika la viwango nchini (TBS) limetangaza rasmi kuzuia uingizaji, usambazaji na uuzaji wa Nguo za ndani kama shumizi, tight, soksi brazia chupi nk
Ni hatua nzuri japo kuna mengi ya kuangaliwa ...
Mungu yupo anajuamatatizo unayopitia
kilasiku nimatatizo kichwa kinawaza hakinamwisho.
Umefunga hadi unakatataamaa
usiku huu unawaza hujui kesho ninikikombele yako
Mwamini Mungu kesho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.