Salaam.
Unaweza kujiona upo peke yako kimwili ila kiroho mpo wengi kiasi chakujaa jumba flani kubwa.
Wakati naandika huu Uzi saa 01:23 usiku nilianza kutafakari Ukimya uliopo hapa mahali...
Samahan ndugu wana jf kwa muda mref nimeshindwa kufaham, pia nimeuliza katika jamii inayo nizunguka lakn sijapata jibu kamili.
Naja kwenu wana jamvi mnijuze kuwa nazi ipo katika kundi gani...
Kanchō huu ni mchezo unaopendwa na watoto wa Kijapan, Unachezwa kwa kuunganisha vidole vya mikono yako yote miwili inakua kama bunduki hivi halafu unaenda ingiza kwenye matako ya mhusika halafu...
Ndondondo si churururu ! Ndivyo ilikuwa nianza kwa kupenda michango yake iliyopevuka iliyosheheni mapenzi ya kweli na nia ya utulivu uso kifani,Taratibu dozi ikaanza kuniingia lahaula la kwata...
Sikh moja jamaa mmoja aliingia dukani kwa mchina na kumwambia mchina kuwa
Jamaa:vitu vyote vilivyomo humu kutoka Uchina ni fake
Mchina:thubutu! Ijaribu sumu ya panya kama fake
Nalog off
Aman iwe nanyi wakuu katika jukwaa letu
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Ni siku sana moyo wangu unakwenda mbio sana nionapo coment za cocochanel yaan mapigo ya moyo hujikuta...
Msione nipo kimya sileti nyuzi za kuwachekesha za hapa na pale,ninangonjeka mwenzenu ,naumwa pia dawa zinanipeleka puta kweli,muda si mrefu nitakuwa katika hali yangu ya kawaida nitawaletea...
Kuelekea siku kuu ya wapendanao, na kama kwa upande wako vyuma vimekaza, hii ni zawadi tosha kwa mupenzi yako. Itasisimua, itawakumbusha mambo mengi ya nyuma na itawatoa machozi ya furaha...
Habari za weekend wadau nipo Tabata hapa Kb paradise napiga bia mbili Tatu lakn castle lite wenyewe wamekiri kua wamevamiwa na Serengeti lite na Bei mpya ni 2000... For sure we've been hacked.
Ndugu zangu,
Kuna jambo limenifikirisha hapa nikaona nisiliache lipotelee hewani..
Humu ndani pamoja na kuhabarisha na kupiga soga, naamini kila mmoja ana ujuzi wa jambo flani kitaalamu.. Bahati...
Jamani wanachitchat naomba kwa dhati niseme jf imenipa nafasi ya kuongeza marafiki. Kwa siku nilizokaa Arusha kwa Kweli nimeutendea vyema muda wangu..Na kwa dhati niwaombe mikoa mingine tuige ya...
Nawatafuta Hawa wadau wa chitchat aisee...
Mkaguzi wa bikira mkuu Asprin
Mwenyekiti wa jukwaa mhe Baba V
Mzee wa busara Watu8
Mama Mchungaji Mamndenyi
Mabinti wa watu8
charminglady
wise lady...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.