Binafsi ingawa umri wangu ulikuwa sio mkubwa sana lakini kwa kiasi kikubwa nilishuhudia mabadiliko makubwa ya maisha!
Mwanzo TV tulikuwa tunaenda kuangalia kanisani (mission).
Tuliacha kuvaa...
Ebwana kutokana na sayansi yangu ya kifala inaniambia wanawake wenye k Bomba niwale wafupi hivi Ni kweli maana sasaivi kama shemeji tall we niachie utamkuta salama ila piritoni iyo Ni lawama wadau...
Kuna matangazo fulani ya magumashi (fraud) huwa nayasikia kwenye redio. Kinachonisgangaza matangazo haya yote wanatumia lafudhi ya kabila fulani. Ina maana kabila hili ndio kinara wa magumashi...
Nikiwa kama Kijana Mkatoliki sijawahi kujua kuna siri gani katika viapo vya wahudumu wenu ma Padre.
Je vile viapo vina nini? maana nimeona asilimia kubwa ya mapdre walioacha upadre wakiwa hawapo...
Kuna bwana mmoja alikuwa na shauku ya kufika Dar. Katika umri wa miaka 30+ hajawahi kuliona jiji la Bashite.
Aliuza mazao yake na akiba aliyokuwa nayo na kukata ticket ya train. Akiwa njiani...
Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Leo nilikuwa nimeenda kumnunulia mtoto wa kike nguo za ndani, mwanangu huyu ana miaka saba yuko la pili kwa...
nimeamini zile population pyramid zipo sawa kabisa, jinsi zinavyo onyesha idadi ya wanaume ilivyo kuwa ndogo compared to # of female. Wanaume tumekuwa na mawazo mengi katika maisha kuliko hawa...
sehemu gani ya mwili ambayo upata hewa ya oxygen kwa mara yakwanza katika mwili wa binadamu, nimeulizwa hili swali alafu pembeni kunakitita na bado sijapata jibu
Mama Sabrina again!!!!!
Ni hivi unakuta umeitwa na mpenzi wako sehemu au mahala fulani halaf ,tatizo sio kukuita hiyo sehemu hapana,tatizo ni watu uliowakuta na mpenzi wako hapo,yaan kakaa na watu...
Assume umezaa na Mwanamke na huyo Mwanamke akaolewa na Mwanaume Mwingine je huyo mtoto sasa uhalali wake unahamia kwa huyo mwanaume mwingine au uhalali utabaki kwako?
Na je mfano wewe ukoo wako...
Ujinga ni pale mke wako anapopost picha ya mchepuko Wa in Facebook na kuandika RIP.
Na ww unatoa pole zako ukifikir anamaanisha Rest In Peace kumbe ni Relationship In Progress[emoji23] [emoji23]...
Poleni na majukumu jana bwana niko kazini akatokea rafiki yangu simu yake imeharibika akaniomba akasome yanayojiri jamii forum na huwa si log out mm sikuwa mchoyo basi alivyomaliza akanirejeshea...
Mdada alipata danga, danga hili lilimtatfutia chumba, likaweka furniture na kodi ya mwaka alilipa.
Kwa kuogopa heshima take mjini meeting zote zilikuwa hotelini. Hakutaka shingo feni za nyumba ya...
Salaam!
Tangu kuzaliwa kwangu nimeshapika vyakula vingi. Hata hivyo (nadhani kwa kutokana na kuzaliwa wa kiume) sikuwahi kupika chapati. Niliaminishwa mapishi ya chapati yana utaalamu ambao ni...
*Did you know that veterinary doctors are the only people that eat their patients...?*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Medical doctors what are u waiting for?? [emoji39][emoji39]
ahsalamu
kwenu wapendwa wa mtandao wetu pendwa jf,,,,,,
katika kukaa na kufikiri nikapata wazo zuri na lenye tija kwa kila mtu humu ndani kama tuki litekeleza na kulifanyia kazi kwani lita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.