JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi? MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa...
7 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye kujua zinapopatikana au namna zinavyotengenezwa anijulishe Tafadhali! Naomba msinishangae au kudhani ni utani utani kiukweli Nina shida hiyo hasa! Labda nieleze sababu,kuna mdada nataka...
0 Reactions
63 Replies
6K Views
Tuelezane faida na changamoto tunazokutana nazo kila siku. Mimi Nina mwaka wa tatu sijawahi kuona dushe yangu kwa kuangalia kwa macho yangu hivi hivi maana kitambi kiaiziba. Mara zote huwa naiona...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
POLE SANA WANA CCM NA GENGE LA WAHUNI MUNAOJIITA SIRIKALIIII AK47 MUNGU KAIZUIA KWA NENO MOJA TU KUTOKA KIMNYWAN MWAKE. SASA ZAMU YENU KUOMBOLEZA LISU MZIMA MNAUA LAKINI MNAISHIA KUFA KWA...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni yule kijana uliyenipita na gari lako katika njia ya kwenda mbweni kunakijengwa kambi ya jeshi. Ulinipita kama mita hamsini hivi ukasimamisha gari ukatoa kichwa nje ukaniita, nikaitika...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
mara nyingi baada ya game wanawake wanapenda sana kupiga mizinga.sasa thread hii inawataka wataalamu wanaume waoneshe uwezo wa kutoroka bila kulipa.mara nyingi mimi hutumia mbinu ya kuzuga kupokea...
0 Reactions
3 Replies
937 Views
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] Nimemtongoza **** kwa mara ya pili+rafiki yake jaman nimetoka nduki na block iliwahusu mapema sana. Jaman jifunzeni kupitia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, nimependekeza Dr Magu, ndiye awe supervisor wa Thesis yangu ya PhD... Sasa nimekuja kuomba hapa mtazamo wenu kama nitaweza ku graduate au huyu mtaaluma ataweza kunitumbua nikashindwa ku...
0 Reactions
3 Replies
939 Views
Msichana unamtembelea Mwanaume wako na Mkoba mkubwa umejaa vitu mbali mbali isipokuwa nauli. Kwann lakini??[emoji16] Mnaboa sana...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Usiruhusu mumeo aende mwenyewe usiku mitaa ya Kona Bar, (Afrika Sana, Kijitonyama DSM), Morogoro Store Oyserbay, Meeda Club Sinza, Buguruni, Temeke Uhayani, Magomeni, tena huku ni hatari zaidi...
0 Reactions
46 Replies
26K Views
Wandugu habarin,Leo nilikuwa natolewa jino mbili,sasa ikawa hivi dokta anasema tuzibe tu mi nikakataa nikasema toa yote, shughuli ilipoisha LA kwanza,ikabidi tuishie hapohapo kwenye moja.
0 Reactions
6 Replies
853 Views
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1 Reactions
6 Replies
926 Views
HBAADHI YA NJIA YA KUMTULIZA BOYFRIEND WAKO: @Mheshimu @msikilize mpende kwa moyo wako wote @mpigie simu kila mara. HIZI NI NJIA YA KUMTULIZA GIRLFRIEND WAKO: mpe karibu Nasema zaidi toa fedha tu...
0 Reactions
3 Replies
869 Views
0 Reactions
3 Replies
530 Views
Nakumbuka ilikuwa ni sikukuu ya jumatano ya majivu tukiwa kanisani. Sisi wanafunzi tulikuwa tumekaa sehemu yetu sasa wakati tukiwa tumekaa pale kitu kikaja ghafla sana. Nkajitahidi kujibana lakini...
0 Reactions
6 Replies
810 Views
Kwanza namshukuru muumba kwa siku njema ya Leo! Naandika huu Uzi maalumu kwa warembo Wa jf wote ambao Mungu kawapamba kwa kila tunu njema! Sura,tabia murua Na maumbile ya kukata kwa kisu! Sura...
1 Reactions
32 Replies
2K Views
naombeni msaada nilikua nataka curl hair lakini haya mafuta ya afrogel yamefanya nywele zinyanyuke na zimekua mbaya. watabe naombeni maelekezo labda nimekosea matumizi
0 Reactions
3 Replies
768 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Tumekuwa tukishindwa kila siku katika medani mbalimbali za kimichezo, kimataifa, hasa katika mchezo wa soccer, Michezo ipo mingi sana, ndani...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Bata kumi walikuwa wakidonoa uwele ghafla akakatiza mwewe angani je? Hao bata watakuwa wamemuona mwewe kwa jumla ya macho magapi? Tujikumbushie shule
0 Reactions
8 Replies
702 Views
Hii Ni kwa wale ambao tumepitia haya maisha tu tujikumbushe kidogo NB: Wale wenzetu Wa majiko ya umeme mtuache kidogo
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom