JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habari, wadau nnaomba kuwasilisha hapa jukwaani, kuna aina mbalimbali za trekta hapa bongo, nimeona watu wanazungumzia sana Holland, Ford, Sonalika, Swaraj na mengineyo lakini sijaona sehemu...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Yani unaingia kituoni unapark gari uwekewe mafuta unajikuta umegeuza pump iko kulia wewe umeweka gari kushoto, Fuel attendant anakuona kama dish lako linayumba hivi hafu hakuelewi elewi. . Kuna...
8 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada tutani, ninahitaji kubadili engine ya gari yangu, sababu kuu ni kuwa nahitaji niifanye iwe gari ya biashara niwe naletewa hesabu kwa siku, engine nilonayo Ina CC 1790 na inatembea 5KM/L kwa...
5 Reactions
55 Replies
6K Views
Wazee kuna hii chuma ya Mitsubishi Motors naona imeanza kuingia mtaani kwa ukali sema experience nilionayo kwa hawa jamaa toka enzi za Pajero mpaka RVR chuma zao zilikuwa nyanya sana japo zina...
13 Reactions
23 Replies
10K Views
Wakuu naomba koneksheni ya kuweza kusafirisha mizigo ya nyumbani kutoka Magu Mwanza kwenda Morogoro. So nahitaji gari ya mizigo inayopita hapa Magu kuelekea Morogoro au Dar..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF nauliza nikitaka kuagiza spare Online mfano Ebay , amazon, nikiagiza na mfano ni free shipping nitakuja kulipa tax tena Tanzania??? Na je kwenye kupokea napokea wapi mzigo...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Huwa naona maneno hayo yameandikwa kwenye trela za magari makubwa naamini wengi wetu tumeona pia. Yawezekani ni kichekesho ila kwangu naona kuna maana kubwa kwenye huo msemo suala ni uimara wa...
0 Reactions
2 Replies
593 Views
Wasalaam ndugu zangu. Aiseh haya maisha akili ni kitu ambacho hupaswi kukosa kabisa. Kifupi niko na pikipiki tatu zote za mkataba. Kuna pikipiki moja ina mwezi wa tatu sasa, lakini imekumbwa na...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Uzi huu ni mrefu. Tafadhali soma wote. Huenda kuna kitu utajifunza. Risk Disclaimer⚠️⚠️⚠️⚠️ Usifungue mfuniko wa rejeta engine ikiwa imepata moto. Unless kama umeamua kujifanyia plastic surgery...
17 Reactions
15 Replies
7K Views
Toyota IST ncp61. Huo mlio wa kugonga gonga kwenye engine unasikika baada ya engine kupata joto (warm up). Yaani unapowasha gari hausikiki, ila baada ya muda fulani engine ikiwa imewaka au...
4 Reactions
73 Replies
10K Views
Kuna gari nimeipenda sana nataka nimwagizie wife. Mazda CX-5 nzuri sana mwonekano. Je wataalam upatikanaji wake wa spear ukoje? Au kuna mtu amewah kuimiliki anishaur pls
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Wanajukwaa naomba kujua ubora na changamoto za gari Honda crossroads
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hongeren kwa majukumu wadau wa JF garage gari yangu ni Noa Old model, ya mwaka 1998. Siku za hivi karibuni imeanza kutoa moshi mara ninapoiwasha hasa asubuhi, huwa inatoa moshi kwa dakika kadhaa...
3 Reactions
27 Replies
18K Views
Habari za muda hivi Toyota crown kuagiza kupitia beforward inagharimu kiasi Kwa Makato ya TRA ushuru na mambo mengine
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nahitaj fundi umeme wa magari sijui Fund wire nitamtumia nauli aje anirekebishie gari langu huku nilipo fundi unaweza kumpiga ngumi bure Nisaidie wakuu japo mafuta yamepanda bei tutapambana...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuanzia Lamborghini hadi Rolls, watengenezaji wa magari hawakati tamaa linapokuja suala la kutoa magari ya kifahari na maridadi zaidi ulimwenguni. Class, muundo ambao haujawahi kuonekana, injini...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Siku hizi madalali wamekuwa wengi sana mtaani tena kwa maeneo kama Dar ndio usiseme kila mtu ni dalali. Hii hupelekea tofauti ya bei za magari baina ya dalali mmoja na mwingine. Unaweza kuta gari...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari jf Naomba msaada Ni Mambo gani ya kuzingatia unapoanza kuendesha gari Mjini posta kariakoo na maeneo mbalimbali Mjini Kama dereva wa bolt na Uber .. Karibuni Sana.
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu.... mwenye kufahamu ulaji wa mafuta kwenye Toyota Allex yenye four wheel drive anijuze.... na je four wheel drive inakuwa muda wote au ni option unachagua wewe mwenyewe.?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kichwa cha uzi kimebeba ujumbe tosha. Za asubuhi Wanajamvi!
1 Reactions
3 Replies
604 Views
Back
Top Bottom