JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Habar wakubwa na gari yangu aina ya nissan bluebird inAchemshA nimeshasafisha rejeta cyclinder head na gasket nshabadili ila bado inAchemshA baada ya dakika 5 au 10 nini itakuwa shida jamani
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu kwema. Naombeni ushauri kwenu wataalam, nataka ninunue Sedan siku chache zijazo, na gari hizo mbili zote New model Fuga (Hy51) na Crown (Grs200) ndio nimezipenda. Ushauri wenu, ipi...
2 Reactions
140 Replies
22K Views
Nataka gari ya kwenda nayo ofisini, nikitoka nipige uber niingize fedha. Nataka private ya kukodiwa sometime viroute vifupi vya km 300 -400 na kurudi mjini. .1. Wish .2. IST .3. Raum .4. Passo .5...
3 Reactions
8 Replies
913 Views
Hello everyone! Ninasomea uhandisi magari, ni wapi kwa hapa Dar naweza kufanya field au kujitolea? Nina maana ya workshop ya magari au yard! Ahsanteni! Ni mdogo wangu[emoji115][emoji115] ana...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
habari wakuu naomba mwenye utaalam wa hizi piki piki bei pamoja na ubora wake nataka kutumia kwa matumizi ya nyumbani tu yaani kwendea kazini na kurudi nayo home hapa hapa Dar.
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Toyota GR Yaris ni Sampuli za vitz, Ila Toyota anazalisha hizi gari akilenga European market. Production yake imeanza last year Kinakuja na Engine za aina mbili, 1.5L inline 3 na 1.6L inline 4...
7 Reactions
15 Replies
3K Views
Hii gari haina complications kabisa kwa maelezo ya mtaalamu mmoja mwenye uzoefu wa hii gari kwa miaka mingi. Anasema hii gari akienda kufanya service ya engine oil. Huwa hahangaiki kuulizia oil...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu habar zenu. Hivi kati ya lubricant/oil kati ya kampuni ya TOTAL na CASTROL ipi ni nzuri na ipo juu ya mwenzie? Hapo namaanisha quality. Naona watu wengi wanatumia total kuliko castrol. Ipi...
2 Reactions
68 Replies
11K Views
Nashukuru sana gari langu limepona Changamoto ni chache chache tu zimebaki ilikuwa na tatizo la check engine kuwaka nguvu ikawa haina nikapata fundi amerekebisha now nakula misele tu japo hela...
3 Reactions
1 Replies
615 Views
Wakuu naomba kuuliza Mimi ninaishi Mbeya. Je, utaratibu upoje kama nataka kutumia gari kutoka Malawi au Zambia ikiwa na usajili wa Malawi, kuna namna ya kulipia iwapo nataka kutumia kwa miezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natumaini wanajamvi wote ni wazima. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa siku za usoni natamani na mimi nipate usafari kwa ajili ya matumiz ya familia na mishe za hapa na pale ruti ndefu...
7 Reactions
134 Replies
23K Views
Ebana mimi siku moja nikiwa fuel station si nikakosea njia ya kutokea bana , nika pita katikati ya zile pipe /mashine zile za kiwekea mafuta. Eh bwana eh kitu kikachubuka chubuka japo body haiku...
6 Reactions
124 Replies
12K Views
Habari za Sunday wana Jamvi. Kwanza ni declare interest kuwa mimi sijawahi kumiliki gari ya aina yoyote bali hii ni ndoto inayoishi. Huwa nina maswali mengi kuhusu magari, kuanzia gari lenyewe...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
NICHUKUE IPI KATI YA NISSAN MURANO, DUALIS NA XTRAIL? Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari 1. Nissan Murano Injini bora ya hii ni ile yenye Cc 2500 inayokadiriwa kwenda Km 10.6/L. Katika...
10 Reactions
25 Replies
9K Views
Leo katika pita pita zangu nimekiokota hii kifaa kinatumika kwenye nini na kinaitwaje .... maana nimejikuta nawaza pesa tu ukizingatia na hii hali ya mvua mvua biashara ngumu .... Natanguliza...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna jamaa mwamba wangu amenipa sugestion ya hii chuma katika kusakanya mkangafu wa kutunishiana misuri rodini huko.. toka jana nimekua na google nacheki youtube kuhusu hii chuma.. Mie ni...
14 Reactions
153 Replies
10K Views
Heri ya sikukuu ya muungano. Naombeni msaada wa mawazo ili kurekebisha gari yangu ishu ilikuwa hivi; Kunasiku huko nyuma gari yangu nilipeleka kwa fundi kufanya service ya vitu vingi kidogo...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakubwa habarini VIP katika hizi Honda mbili ni ipi inatembea sana kuliko nyingine safari ndefu? Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kuna staff mwenzangu kaniomba ushauri kuhusu Xtrail toleo la pili kuanzia 2015 anataka kununua nimpe ushauri. Sasa ukizingatia mimi sio mtaalamu wa masuala ya magari, nikaona...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Salaam, Toyota IST old model, ilipata ajali. Airbags zikablast. Pia front seat belts zilijam. Yaani airbags na mikanda vilifanya kazi zake ipasavyo. Nini kifanyike ili kurejesha 'safety level'...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…