JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Wataalam habari za wakati huu! Poleni na majuku yenu ya kila siku. Naomba kujuzwa je ni sahihi joto la engine ya gari kuwa 108 degree centigrade then linashuka hadi 106 hapo nikiwa naendesha sasa...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanajamvi nini kinasababisha starring ya gari inakuwa ngumu unapokuwa unadrive hususani ktk kupiga kona?
0 Reactions
30 Replies
21K Views
Wakuu Ni kwa nini watu wengi hawapendelei gari hizi? Tatizo ni bei na gharama za maintainance ama ni nini shida kubwa ya haya magari..?)
3 Reactions
233 Replies
73K Views
Ndugu habarini za majukumu. Naomba kujua sehemu naweza pata spare za Suzuki Jimny wide.
0 Reactions
6 Replies
863 Views
Nilikua najichanga angalau niagize BMW X3 ili niokote watoto wa Chuo kiulaini. Sasa kabla sijalipia Be Forward nikasema nichungulie Calculator ya TRA nimekutana na Maumivu yaani BMW X3 ya 2013...
9 Reactions
96 Replies
9K Views
Wasalaam wakuu humu ndani, Mwezi ujao natarajia kuingia dukani kuchukua chombo cha usafiri pikipiki. Kuna hivi vyuma Boxer na tvs kwa haraka haraka unaweza ukadhani ni vyuma sawa. Lakini...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Wadau wa vyombo vya majini tunauza material za fiber, spea za injini za Boti,injini za Boti, Jet Ski, Marine Quadbikes,GPS na Fish finders. Kwa wanaohitaji Jumla na rejareja Jet Ski,water...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi kama umesomea na una leseni daraja C, Kuna ulazima wa kusoma tena C1, C2, C3? Huwezi kutumia C kuendeshea hizo☝️? Wanahusika na kuendesha magari ya aina gani? Eti hili uwe na leseni daraja...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu. Naomba msaada wa mawazo kuhusu kununua bima ya gari. Nilikua nataka kukata comprehensive, ila kuna mdau akaniambia badala ya kwenda kwa ofisi za bima moja kwa moja ni bora kupitia...
3 Reactions
9 Replies
5K Views
Wadau kwemaa! Katika pita pita zangu youtube nimekutana na videoz zinaonyesha uwezo wa colgate kufuta mikwaruzo katika body ya gari Nikaona nilete hapa JF ilikujua kama je ni kweli ichi kitu...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Haya tena wenye pesa nendeni mkanunue gari ya Michael Jordan's $430,000 Mercedes McLaren :smile: By Kelly Dwyer...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu, Natumai tupo poa. Naomba ufafanuzi wa Toyota Harrier yenye injini model no. MCU30 kuwa na injini capacity 2490 nimeiona mahala. Kwa sababu nimezoea kuziona Toyota Harrier za 2AZ...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wadau! Wapi naweza kupata Hizi tires Za AT 22*7-10 nipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
335 Views
Wakuu habari naomba anayefaham gereji ya KUNYOOSHA MAGARI ,Gari yangu aina ya Mazda CX 5 ,Nimepata nayo ajali hapa dsm nilikuwa namkwepa mtu kanifata akanikwagua na kusabisha kuangukia kwenye...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada tafadhali gari yangu aisomi speedmeter, haiwaki sehem ya odo pia inachelewa kidogo kubadili gia mafundi wangu na ina wanachem sjui shidanin
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wataalam wa engine,naomba kujua uzuri,udhaifu,uvumilivu,uimara wa egine ya 3s-FE,life span ni km ngapi,unywaji mafuta mk
3 Reactions
6 Replies
867 Views
kwa wazoefu naomba msaada,gari ya toyota noah old model(road tourer),kutoka dar mpaka kyela inaweza tumia litre ngapi za petrol?ni 1990cc, 2WD
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Engine: 1.6l turbo charged 3 cylinders petrol. Power: 300 hp and 370 nm of torque.
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Wadau habari, kwa wale wataalaamu wa magari nnaomba msaada wenu kujua haya magari tajwa hapo juu ukiachilia mbali swala la ulaji wa mafuta, yana matatizo gani na je Kama nikitaka kununua moja...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Back
Top Bottom