JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mark 2 Mark X Passo Haya magari yakiwa used hapa nchini yanauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na mengine yenye umri sawa mfano IST, VITZ Nawasilisha
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Ndugu wanaJamiiiForums, habari za wakati huu Naomba mwenye kujua kuhusu gari aina ya Nissan Dualis kuanzia matumizi ya mafuta, upatikanaji wa Spare na changamoto zingine. Na vipi kununua used kwa...
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Hii gari inatengenezwa Nigeria na kampuni ya Innoson Group of Companies, kwa muonekano wake naona liko vizuri; vipi yalishaanza kuingia hapa nchini? Ubora wake ukoje?
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Miaka ya zamani kidogo ulikuwa ukiomba leseni ya udereva haichukui muda mrefu unapewa leseni yako. Lakini siku hizi kumekuwa na changamoto kidogo hususani kwenye muda wa kuomba leseni mpaka kuja...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Wakuu kwema humu? Naomba msaada wa elimu na ufahamu kidogo? Hivi spare za magari ambayo makampuni ya magari yashasitisha uzalishaji wake huwa zinakua sokoni hadi muda gani zinakua hazipatikani...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za saizi wakuu, ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika, Nilikuwa naulizia gharama za kujifunza umeme wa magari garage inaweza ikawa shilingi ngapi na vipi kuhusu kupata gape la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis,gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari...
3 Reactions
69 Replies
11K Views
Habari Wakuu naomba kujua matumizi ya ya hii button kwenye. RAV 4 OLD MODEL Asanteni
0 Reactions
4 Replies
882 Views
Nimemeki nimenunua gari nikaendesha wiki moja liko poa kila kitu kipo sawa. Nikapata wazo kwakuwa nimenunua kwa mtu halafu mi siko deep na magari acha nilipeleke kwa fundi akaicheki ili kama kuna...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Hivi hua kuna procedures gani za kufuata wakati wa kununua spare parts za magari au gari ambalo liko juu ya mawe ili ni dismantle au kuchukua body yake. Kwaajili ya kuuza badae ambapo itahitajika...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu nawatakia Jumatatu na week njema yenye mafanikio. Niende kwenye maada kwa wale wazoefu wanipe ushauri. Kwanza ni kiri kwamba jukwaa hili ndo lilinipa maamuzi ya kuagiza gari na kukwepa...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Habarini wakuu!! Ni matumaini yangu kuwa mko salama na mnaendelea na ujenzi wataifa! Kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini hili jukwaa kuwa ni mahali sahihi kwa kupata elimu kuhusiana na vyombo vyetu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota ni moja ya Makampuni makubwa zaidi ya uzalishaji magari Duniani na wamejikita zaidi katika utengenezaji wa magari yenye uwezo mkubwa na imara lakini bila kuyasahau ya wastani yenye uwezo wa...
10 Reactions
60 Replies
19K Views
wanajamvi nataka ninunue toyota noah old model, milango minne, ili niwe nabeba abiria mbeya to Dar, sasa nasikie kuna aina nyingi za toyota noah. Mfano, field tour, town ace, super lymo extra nk...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Kuna gari ambazo nimekuwa nikitumia lakini kwa sasa nataka nibadilishe gari. Nahitaji gari ambayo ni ya Toyota iwe 6 Cylinder. CC zikianzia 2000+ ni sawa. Sijui kama kuna ambayo inaweza kuwa below...
2 Reactions
140 Replies
16K Views
wajuzi wa magari,naomba kujua muda au umbali wa kubadili diff oil kwa gari za 1990cc,petrol,auto gear,oil no 140
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada bm 150 ...nini suluhisho lake oil kuvuja kwenye AIRCLEANER .... Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ndugu jamaa na Marafiki. Naulizia Makampuni Yanayohusika Na Usafirishaji wa Mizigo kwenda Oman kwanjia ya maji na Anga. Naomba mwenyekufahamu anijuze, au mwenyeujuzi wa maswala ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimetokea kupenda hili gari lkn bado sijajua raha na karaha zake kwa hapa mjini... kiufupi nataka gari ya kutembelea tu na ikitokea safari za mkoa mara 1 au 2 kwa mwaka... Naombeni ushauri wenu...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Magari haya: 1.RAV4 L V Engine RS automatic 2.TOYOTA HILUX Pickup petrol manual inabeba mzigo tani moja. Gari zote ni 1990cc engine capacity zote zina hali nzuri je kwa wastani lita moja petroli...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Back
Top Bottom