JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakati kampuni ya toyota ikipamba moto kwa kutengeneza magari madogo yasiyokuwa na matumizi makubwa ya mafuta kampuni zingine kama benzi Nako hawako nyuma. Kampuni ya benzi Ina ist yake inaitwa...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Naomba msaada hi taa inawaka kwenye Dashboard hi Kama mtu kakaa kabeba jiwe inaashiria Kuna shida gani? Imeniwakia leo asubuhi.
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Mfano Toyota Noah road tourer na super extra lymo,zote injini ni 3sfe-sr40, je inawezekana gari moja hapo ikawa imara kushinda nyingine? Wakati zote model ya injini ni moja. Msaada wataalam.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za usiku wana jamvi, Nakuja kwenu kuomba msaada kidogo gari aina ya IST ghafla tu kioo cha mlango wa dereva hakipandi lakini vingine vyote vinapanda na kushuka naombeni msaada wenu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nchi ya Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizobarikiwa kuwan na rasilimali ya gesi asilia. Tanzania inakadiriwa kiwa na gesi ya trilion 57 futi za ujazo (57 tcf) huko Mtwara na Lindi. Mwaka 2012...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa kuhusu TOYOTA Raum second generation (2004/6) ,nimeingia kwenye mitandao ya kuuza magari Japan kwa USD 1500-1600 ni CIF,nikaingia kwenye kikotozi chetu M5.3na ushee total ikaja kama...
5 Reactions
9 Replies
7K Views
Gari yangu automatic transmission, inapobadili gia ,unatokea mshituko flani hivi. Au unapoingiza gia ya kwanza lazima kishindo fulani kitokee. Naomba msaada tatizo ni nini?
1 Reactions
5 Replies
561 Views
Leo baada ya CAG Kichere kuwasilisha ripoti ya ukaguzi wa hesabu za serikali, Mh Rais alipata nafasi ya kutia neno. Mh Rais ameona hakuna ulazima wa magari kukaguliwa hapa nchini. Ameona umuhimu...
17 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa hiyo model hapo juu. Faida na hasara zake kuanzia kwenye engine, body, comfortability na kadhalika kwa wale ambao wameshawahi kuimiliki. Ahsante sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salaam Wadau, Kama kichwa kinavyojieleza, kumekuwa na mfululizo wa hayo Magari kwa hapa Bongo(TZ) kuteketea kwa Moto(Kuungua). Tatizo ni nini? Binafsi nimepoteza sana Mvuto na hayo Magari...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa yeyote aliyewahi kumiliki hii gari msaada naomba kufahamishwa dondoo muhimu kuihusu hii ndinga maana kwamuonekano kama naielewa sana nanipo mbioni kutafuta usafiri nahii naipigia sana...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu, tumeshuhudia jinsi teknolojia ya magari yakibadilika kadri ya miaka inavyozidi kusonga. Magari ya zamani mtu alikuwa anaendesha utafikiri anapigana na mtu kiasi kwamba nguvu itumikayo...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Umetimia mwaka sasa tangu ninunue gari yangu hii ya kwanza. Babywoka safi inanitosha, 1290cc engine 1KR. Tangu ninunue hii babywoka nilikua sijawahi kukaa na kufanya 'cost-analysis' upande wa...
62 Reactions
73 Replies
10K Views
Mimi ni kijana mwenzenu nataka kununua gari, na katika kupitita pitia kwenye mitandao nimekutana na aina hii ya gari TOYOTA RAUM, na nimeipenda na na nataka kuinunua, ila kabda sijafanya hivyo...
0 Reactions
73 Replies
34K Views
Naomba kujua maana ya hiyo taa yenye maandishi ya kichina
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Habari wakuu zangu! Mimi ni kijana nimekuwa nikitamani kumiliki ka usafiri, Tamanio langu ilikuwa ni kumiliki Toyota Premio 2005 ZZT 1.8L yenye taaa tofauti na zile model za 2001-2004 . Sasa...
6 Reactions
51 Replies
17K Views
Samahani wakuu nawezaje kubadili lugha kwenye dshbord ya premio?? nimeambatanisha picha ya ninachomaanisha kwa msaada zaidi
0 Reactions
2 Replies
634 Views
Wakuu kati ya Sanlg 150 na haujoe 125.8 ipi ina speeed kuliko nyingine?? Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu! Mara kadhaa nimeona hizi gari ghafla zikiwaka moto na kuteketea,nimeona vyema Sana kuleta mjadala hapa wataalam watujuze tujue chanzo chake haswa huwa nini? Leo tena nimeona...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wataalamu naombeni jibu maana nahisi iinakula sana wese. nikitumia harrier inakula lita 4 kwa 40km, starlet si ndogo ya harrier?
4 Reactions
63 Replies
9K Views
Back
Top Bottom