JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nina Toyota RunX ya 2006 nilinunua kwa mtu Dar miezi minne iloyopita, niliitumia siku zote bila kujua kama ina ttzo...lkn kuna siku niliiendesha umbali mrefu kwa speed kubwa ikawa inaingiza gia na...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu hii ni kuhusu biashara ya spares za magari, spanners na lubricants zote. Ningependa kujua huo mtaji wa 26m utatosha nijizatiti vizuri? Je maeneo gani yanafaa kuweka biashara ya aina hii...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Jamani Mambo vp. Kuna project nahitaji kuanzisha ambayo itahusisha sana sana watu wa vijijini. Hii project ni lengo ya kutoa elimu kwa watu wa vijijini especially kwa wanafunzi wa shule za...
2 Reactions
9 Replies
712 Views
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana. Sasa nikajikoroga...
86 Reactions
208 Replies
33K Views
Habari za weekend wakubwa,,,moja kwa moja niende ktk mada hapo juu Mimi ni mgeni kidogo ktk kumiliki vyombo vya moto yaani gari,kwa hiyo ningeomba kujuzwa juu ya hali ninayoiona kila siku asubuhi...
3 Reactions
7 Replies
873 Views
Mada tajwa hapo juu yahusika, Naomba kujua App utakayoweza kutumia Kujua gari km ina madeni ya Trafic na Bima, ikiwezekana kujua full umiliki pia. Naomba Kuwasilisha,[emoji120]
3 Reactions
10 Replies
6K Views
Wakuu naomba kujuzwa chuo kizuri kwa ajili ya kusomea umeme wa magari. Nalenga magari ya kisasa hasa haya ya kutoka Japan. Ni chuo gani kizuri naweza jifunza umeme wa Magari tu. Maana magari...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu,wale wataalamu wa magari naomba ushairi wenu,nafikiria kununua Nissan Murano,ila sijazifahamu kwa undani wake hizi gari, .Ni ipi engine nzuri katika aina tofauti zilizopo. .Je zipo...
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Wadau, Vipi hii ndinga NIssan Terrano kwa wanayoifahamu performance yake barabarani, uimara wa gari yenyewe, spare zake upatikanaji wake na kadhalika, kwa wale wajuzi wa magari maana Kuna mtu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward. 1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata? 2. Unaweza kujua...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Ndugu wazalendo nawasihi kwa Upendo Mkuu Kama unataka Gari nzuri na kwa Bei nafuu ni Bora kuagiza kuliko kujilipua Yard ambako Gari zinakua zimetumika Sana Zanzibar Kisha zinavushwa Bara wanaondoa...
9 Reactions
69 Replies
15K Views
Katika gari ambazo mjapani alibuni kwa kutuliza kichwa ni hiyo gari.. 1.ni kigari imara sana,kulinganisha na gari za level yake. 2.mafuta haili bali inanusa.. 3.ni ajira nzuri kwa wenye kipato cha...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakati mwingine maboresho yanaweza kugoma,ndio kwa gari hizi,noah old model ni nzuri kushinda matoleo ya karibuni(voxy),hizi gari hazichuji na sokoni ziko hot sana ni gari imara na himilivu kwa...
5 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau naomba Msaada wa kujua Aina bora ya Tairi Size 225/65/R17. Bei na Maduka yalipo kama itawezekana
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu jumapili inaendaje, Nina week tu tangu niachiwe hii chuma cha FORD RANGER na ofisi baada ya dereva kupata matatizo. Nilipata tabu sana mwanzon nilikua sijamasta vzr manual japo nilikua...
8 Reactions
20 Replies
4K Views
Hello wakuu habari zenu... Nimepata changamoto ya oil ya gear box kuvuja...sio kwenye sample...ni inatoka kwa juu kwenye drive shaft...nilienda garage, fundi akasema ni oil seal imekufa...akaitoa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Moja ya tatizo ambalo naliona katika mafundi wetu wengi au wataalamu ni kutothamini kazi zao. Nlikuwa nmepeleka gari kwa fundi abadilishe Gearbox and Engine Oil. Lakini kabla ya hapo tayari mimi...
8 Reactions
53 Replies
11K Views
Kwa wataalamu nini uzuri na ubaya wa magari aina ya Toyota IST ? Kwani nataka kuagiza kutoka Japan,nitashukuru kupata maelezo ya magari hayo
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Ni basi gani zuri kwasasa nikiwa na maana sio uzuri tu wa muonekano wa nje na ndani bali pia ambalo linaweza nifikisha mapema ukilinganisha na mabasi ya kampuni nyingine. Mana kuna yale mabasi...
1 Reactions
33 Replies
8K Views
Habari wakuu! Nilikuwa nabust gari ndogo ingine IST, sasa baada ya hiyo gari kuwaka wakati nachomoa zile nyaya kwenye upande mmoja,bahati mbaya nikazigusanisha nyaya huku kwenye ile gari ya Vitz...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…