JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Nimepata ajali baada ya kumkwepa bodaboda nikakosa muelekeo nikagonga mti uliokuwa pemben ya barabara. Mafundi naomben makisio ya gharama ya kutengeneza hii gari, Taa mbili za upande wa kulia (juu...
7 Reactions
187 Replies
12K Views
nimeendesha gari kwa takribani saa 1:30,nikapaki kama masaa 2,nikiweka tu funguo na ku turn ufungu mara ya kwanza tu,inawaka taa ya air bag,nikaendesha kama saa moja na nusu na nimepaki...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Siku ya leo nimekutana na jamaa kazini,alikuwa anawasimulia wenzie jinsi alivyokuwa amechacha sana,na akaamua kuchukua gari yake ya noah,na kwenda tabata dampo,wakatoa masega na akapata...
4 Reactions
25 Replies
6K Views
Habari wakuu, Katika pitapita zangu nimekutana na spark plugs za vichwa vitatu na muuzaji anaona kuwa ni nzuri kuliko za kichea kimoja. Wataalamu na wazoefu wa Mambo haya naomba kupata uzoefu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
HAbar Wadu mpo pouwah! naomba kupata Abc za hiyo mashine maana last week nimetoka nayo Songea ndani huku Vijijin ni full OffRoad to Dar chombo inatembea mno With Navigation feature. Previously...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii button wengi wanaiona ila hawajui kazi yake au jinsi ya kuitumia. Kazi yake ni kushikilia mwendo usibadilike. Yaani ukiwa 60kph ukiibonyeza mwendo unasimamia 60kph bila wewe kukanyaga mafuta...
19 Reactions
90 Replies
17K Views
Habari wadau, Kwa magari ya sasa mengi huwa kuna option ya kutumia cruise control. Kwa uelewa wangu ni option ambayo inapatikana kwenye gari na unaweza kuset speed ya gari kutembea kwa mwendo...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu! naomba msaada kwa wataalamu wa magari kuhusu gharama za kuagiza honda accord 2002,CIF $ 4000,Ushuru itakuwa tsh ngapi na costs zingine za bandarini,pia ningependa kujua upatikanaji...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Habari wakuu, samahani naomba msaada nina subaru impreza ya 2008 cc1490, 70,000km. Kwenye dashboard inaonyesha ulaji wa mafuta ni 8.6km/l na pia nikicalculate manually range inaangukia kwenye 8...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Wadau, Wapi ntapata fundi mzuri wa BMW X3. Nataka kubadili shockups
3 Reactions
30 Replies
3K Views
Wakuu habari za weekend, Sio siri nimejibana sana kununua ndinga nikiamini kwenye kuanza kujenga. Nashkuru nimepata kapango cha kujihifadhi na nimeamua kuvuta ndinga. Kabla sijavuta mchuma...
5 Reactions
87 Replies
20K Views
Wakuu habari zenu? Wakuu nimejichanga changa namimi natamani nivute chombo kimoja kati tajwa hapo juu. Naomba maoni yenu kwa kuzingatia 1. Uimara 2. Upatikanaji wa vipuri 3. Ulaji wa mafuta 4...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Naomba ushauri wataalam. Nina bajeti ya Tsh 11.4 milioni nahitaji gari ya kunisaidia kwenye shughuli za mbalimbali. Kwa sasa nijihusisha zaidi na kazi ya udalali wa mifugo minada ya mkoa wa...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kufahamu juu ya usahili unaofanyika kila Jimis(Saturday) pale NIT kwa course ya ADIVANCED DRIVING GRAND II uwa wanaangalia nini hasa?
1 Reactions
1 Replies
526 Views
Wadau heshima zenu, natumaini mu wazima wa afya na poleni na majukumu ya kulijenga taifa.. Naombeni kufahamishwa gereji nzuri iliyopo mwanza ambayo naweza kwenda kupaka rangi kipasso changu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau naomba Msaada wa kubadili Lugha kwenye Navigation ya Gari kutoka Kijapani kuja Kiingereza Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Gari imepinduka upside down. Baada ya dakika 10 hivi, gari ikanyanyuliwa ikakalia miguu sawa. Kupima oil, dipstick ikasoma very low (under 'L'). So oil (almost yote) imepotea haimo kwenye sempo...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wataalamu nimenunua Suzuki carry(Kirikuu) Mara ya kwanza ilikuwa njema sana lakini baadae ikaanza shida ya kula oil baadae ikazungusha mkono. Fundi akashauri tununue injini t.nikafanya...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Wataalam wa vyombo vya moto naomba kujulishwa, kwanini wanatumia kuhesabu kilomita ili ufike muda wa kufanyia service chombo cha moto, kwasababu kinachofanyiwa service sehemu ni injini ambayo...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada kuhusu Kutoa kutu kwenye tenki la pikipiki je nitumie njia gani au Kuna dawa spesho .. . Msaada wandugu
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom