JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wakuu ntapata wapi piston rings original za boxer na zinauzwa sh ngapi??? Ntazitambua vip
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Gari linatikisika kitu kizito mbele ya bonnet linapokuwa linatembea kwa spidi ya kuanzia km 80 kwa saa, na likiwa kwenye gia namba tano (gari ni manual). Mwenye kujua hili ni tatizo gani atakuwa...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Moja ya gari ambalo ni noma barabarani basi ni hili ndinga,nakumbuka jana nikiwa natokea maeneo ya RUFIJI kuja DAR ilinipa hii gari kama nimesimama Nikiwa kwenye mwendo wa speed 100 sehemu yenye...
52 Reactions
972 Replies
146K Views
Habari wana JF, nimekuwa nikitumia gari hili(Toyota vitz old model) kwa mda wa miaka4 sasa hata hivyo hivi karibuni limepatwa na tatizo ambalo kimsingi linanichanganya. >>KUSHINDWA KUPANDA MLIMA...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau mimi ni Mmiliki wa Toyota Harrier. Kwenye Dashboard Maandishi yapo kwa Lugha ya Kijapani. Naomba Msaada wenu NAMNA ya kuyabadilisha Yasomeke kwa KIINGEREZA Sent from my SM-J600F using...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau mmesikia hiyo,watalaam wamesema tairi kutumika ni miaka 8 na sio 4 kama wengi tulivyokalili.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu habari zeni, 'nina gari yangu coster nimeifanyia engine overhull Nimebadilisha sleave, piston, na gasket head Ikaingia barabarani, tatizo limezuka kama wiki tu baada matengenezo, gari...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama huridhishwi na wepesi wa gari yako katika acceleration huduma inayokufaa ipo,utawekewa THROTTLE RESPONSE CONTROLLER (Pedal Box) kifaa maalum kinachochangamsha mfumo mzima wa fuel injection...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimeona magari mengi ya waheshimiwa wetuyansikitisha sana jamani,hivi wananchi wa TANZANIA mnakubali vipi watu wasiolala kwa ajili yetu,,waliojitolea maisha yao kwa ajili yetu waendeshwe kwenye...
9 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu!vp kuhusu ABC za hii gari? Ubora, Mapungufu, Upatikanaji wa spea, Utendaji wake,na kadhalika. Ahsante na wasilisha.
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau natafuta spare za Range Rover Vogue 2006 L322 Diesel engine 3.6 especially propeller shaft ya nyuma na ya mbele
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Gari kutoka UK inauzwa 1.4L very economical on fuel and cheap to run, Metallic Black, Radio/CD, Airbags, Central locking, A/C, Petrol, 2000, Manual, 5 speed, ABS, Front & Rear handrest, Steel...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mmoja wa watu wanaonufaika na maarifa yanayopatikana humu jukwaani. Karibuni wataalam. Naomba kuwasilisha.
1 Reactions
4 Replies
858 Views
Naombeni msaada kwa wajuzi wa Toyota IST. Ninampango wa ku import hiyo gari ila sina uzoefu na hzo gari manake naona kuna model za 2002, 2003, 2004, 2005, 2006 nazungumzia old model tu. Hapo ni...
5 Reactions
37 Replies
14K Views
Wakuu salama? Nilikua natafuta tairi za BF Goodrich sasa nimepata za 2018 ila ni “Made in USA” original. Nimepambana sana kwa namba nayotaka ndo zimepata za 2018 nimezunguka sana. Naombeni msaada...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu samahan naomba kuuliz et nini maana ya 40mph (64 km/h) msada tafazar Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu samahan naomba kuuliz et nini maana ya 40mph (64 km/h) msada tafazar Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
7 Replies
476 Views
Salaam wadau, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza hapo juu. Naomba kufahamu ni mabasi gani mtu unasafiri comfortable zaidi toka Dar kwenda Mwanza. Pia nauli zake kwa sasa. Natanguliza...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
kwa wenye uelewa kuhusu hizi gari 2, yaani Mark x na Verossa naomba msaada kuhusu 1.ukubwa wa engene 2.fuel consumption 3.durability ( kwa matumiz kwenye barabara ya lami na vumbi) 4.Bei zake 5...
1 Reactions
67 Replies
24K Views
Back
Top Bottom