JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Msaada Ni wapi nitapata duka la spea la uhakika Arusha Nahitaji taa ya nyuma Harrier New modern vijana wanaita "tako la nyani " taa kipisi Cha kwenye bodi. Anaejua na bei atakua amenisaidia zaidi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, salaam. Naomba kujuzwa ubora na ufanisi wa kazi za Springs city garage (Wachina) kwenye unyoshaaji wa bodi ya gari. Jijini Mwanza. Kwa mwenye uzoefu nao, please share nasi hapa. N.B...
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Fahamu tekinologia za engine kuongeza output na ulaji wa mafuta.. Honda wana Vtec Toyota wana Vvti BMW wana Vanos Zinafanya kazi kwa kucheza na Camshaft.. Nini zinafanya. Kukamikisha cycle moja...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
More Lanes For Private Vehicles is a Destroyer of African Cities and Not a Saviour Abstract: Our obsession with motor vehicles has brought our major cities to a halt. Moving...
0 Reactions
0 Replies
504 Views
wakuu nina gari yangu Toyota Sienta niliiacha silence ili betri ijichaji nikaona imezima gafla kuangalia mafuta yamo mengi tu kuwasha gari haiwaki nikabadili betrii mpyaa gari inabiga stata tu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nataka gari ambayo ni rahisi kutengeneza pia vifaa vyake visiwe vya gharama kubwa. Pia nataka gari ambayo matumizi ya mafuta yawe ya wastani per km pia gari inayo stahimili barabara mbaya za...
2 Reactions
88 Replies
18K Views
Habari, Mkurungezi mtendaji wa kampuni la Tesla Motors, Elon Musk amekubali kufanyia kazi mapendekezo juu ya uboreshaji wa gari za Tesla Model S. Wateja wawili ambao wanamiliki gari za Tesla...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwangu mimi, Gari Toyota Premio X 1.8 L Mwanza_Arusha Zaidi ya 700+Km Mafuta ya 140k Sawa na Ltr 54 za petrol kwa bei ya 2560
6 Reactions
47 Replies
12K Views
Wajuzi hbr za kushinda nahitaji muongozo kuna hii gari nimepita platfomu x nimeona inauzwa imenivutia mkao wake ,mara moja kwa kutokea mtoko ,bei jamaa anayouza ni ya kawaida sana. Nachoomba...
0 Reactions
0 Replies
629 Views
Habari !!naomba ushauri wa magari aina ya Mitsubishi outland na ford rangers juu ya matumizi ya mafuta, upatikanaji wa spea na mengine kama nitakua nimeyaacha. Nawakilisha
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Hello wajuvi wa gereji ya Jf, Kama Subject title inavyojieleza, kuna jamaa yangu angependa kufahamu... IST and/or Kluger, 4WD yake ni FULL TIME? ama ni ON-DEMAND (kuiweka anapotaka dereva)...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Wakuu nani anamjua fundi mzuri,muaminifu wa gearbox kwa hapa dodoma, chombo yangu imezingua. Gari ni nissan xtrail, mzigo manual.
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama ni mkazi wa jiji la Dar es Salaam.. Then gari yenye Natural Aspirated engine kwako ni sawa.. Ila kama unaishi nje ya Dar ni bora utafute gari yenye Turbo.. Ukiwa na Natural Aspirated...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Boxer 150 inajiresi kila ikiwashwa Tena kwa Hali ua juu. Inawezekana Kuself fix nyumbani bila kwenda kwa fundi.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau.. Toyota fans mara nyingi tukiongelea gari moto za kijerumani kama Bimmer huwa wanarukia kwenye hizo engine kuwa ni mwisho wa matatizo.. Wazungu kuwa wamenyoosha mikono kwa hizo...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Stabilizer ya RAV 4 J kilitime ya kushoto inahitajika, mto yoyote mwenye uwezo wa kuipata au connection za kuipata anasadie, vilevile inaweza kunigharimu kiasi gan. Naambanatanisha na picha Asante.
0 Reactions
1 Replies
703 Views
Kwema wakuu. Leo nimekutana na kitu kigeni, nikajua hapa JF hakuna kinachokosa majibu. Kwenye 'eksozi' ya gari, ndani yake ukichimbachimba, unapata vipande vipande kama vya udongo na unga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji kubadilisha Rim za Gari Harrier, zilizopo zimepinda sana kila siku ukiamka tairi hazina upepo. Kwa hiyo nahitaji Rim Origal nzuri na durable sio lazima ziwe sport maana naona hizi sport...
6 Reactions
55 Replies
9K Views
Hello. Nina swali moja kubwa kuhusu gari za umeme hasa charging system. Hivi ukinunua gari ya umeme ambayo inakuja na ile charging set yake. Uki install nyumbani kwako na ukawa unacharge gari...
6 Reactions
56 Replies
7K Views
Mzuqa, Sijui kwa nini na wengi jina Fiat ukilisikia moja kwa moja picha inayokujia ni hii "iconic truck" Mbaula yenye sura mbaya. Dereva mzuri wa malori alikuwa anapimwa kwa umahiri wake...
9 Reactions
66 Replies
14K Views
Back
Top Bottom