JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Mwenye kujua chochote kuhsu ili gari naombeni msaada, naona ni gari ambalo limenivutia sana ila sijajua changamoto zake ni nini kabla sijanunua. Karibuni kwa ushauri
2 Reactions
46 Replies
8K Views
NILE POINT INTERNATIONAL LTD. Tuna service na repair kwa injector pump pamoja na unit injector nozzle. TOYOTA BENZ LAND CRLUSER IVECO SCANIA VOLVO DAF HOWO(Sinotruck) Diesel engine kwa ujumla wa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Boat Bar ni Boti Kubwa ambayo Ina miundombinu ya watu kupata vinywaji na chakula wakiwa ndani ya boti. Boti hii ni kwaajili ya utalii,starehe na sehemu ya kufanyia vikao. Boat Bar inaweza...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za leo wanajamvi. Naomba msaada kwa wanaofahamu muuza vifaa vya HONDA kwa hapa Dar aniunganishe. Natanguliza shukurani.
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Lesseni yangu ya udereva ime expire leo tar 8/12/2021 nilikuwa nataka kujua kwamba naweza itumia hadi January ndio nibadilishe? Kingine ni kwamba ni process gani unatakiwa kuzifata ili kurenew...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Heshima mbele wadau Najua hapa kuna manguli wa kutosha na wazee wa kusuka private cars pale wanapofanya safari. Kuna wazee wa Druti za Dar - Arusha, DOM-DAR, DOM -MBEYA, DAR MWANZA. Wakati...
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Habar zenu wana Jf. Leo ningependa tuzidi kuelimishana kuhusu udereva wa hizi za kisasa zenye mfumo wa Automatic gear transmission. KWA dereva yeyote, ni wazi hawezi kupingana na mimi kwamba gia...
24 Reactions
87 Replies
27K Views
Usinunue gari kwa kufuata mkumbo. Si kwa sababu fulani analo au watu wengi wanalo, au kila mtu ananunua gari hilo then na wewe ndio uamue kununua gari hilo. Inagharimu sana muda meingine. Kuna...
10 Reactions
32 Replies
7K Views
swallamah wakuu....naomba kuuliza,hivi ukitaka kubadili rangi ya gari kuna taratibu gani? Na je, kama kuna gharama inaweza gharimu sh. ngapi? Kwa anayefahamu tafadhali.
1 Reactions
9 Replies
10K Views
10. Caterpillar 794 C The Caterpillar 794 C is the newest off-highway truck Urefu: 50.72 feet Kimo: 26.30 feet Upana: 32 feet. Nguvu: 3,500bhp Ubebaji: 291 metric tons 794 C is Caterpillar'...
15 Reactions
153 Replies
21K Views
Halo muhali gani humu. Nina pikipiki bm 150 silence ipo juu sana na ukijaribu kupunguza silence inazima. Mafundi wameshindwa kutatua tatizo. Msaada jamani mwenye kuelewa hizi mambo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nisaidieni kuelewa kitu nikiendesha gari inakula mafuta sana tofauti na mtu mwingine akiendesha gari hiyo hiyo, Nashidwaa kuelewa ni nakanyaga vibaya pedel ya mafuta au kuna kitu nakosea...
6 Reactions
38 Replies
4K Views
Nina kagari Toyota IST ambako kana namba CYZ jamaa mmoja alikuwa anakapenda haka kagari kutokana na condition yake na jamaa ni mbahili pia.binafsi nlikanunua sababu ya mamsap awe anaendea salon na...
59 Reactions
133 Replies
26K Views
Sababu kubwa ni uzito wa engine na matumizi ya gari.. 1. Kupata nguvu ya kusukuma gari(hp) kwenye engine ya petrol ni rahisi kuliko diesel.. Kwahiyo utakuwa na engine block ndogo kwenye petrol...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wakuu wa jf, kwa wale ambao munatumia pikipiki za hero hunter 125 cc na dawn 125 cc tujulishane changamoto na faida za pikipiki za hero hasa kwenye uimara na upatikanaji wa spare Sent...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wajukuu, Naomben Masada. Hivi kioo cha gari kikipata minor crack hivi hamna utaalamu Tz wakuunga ili nisisnunue kioo kipya?
0 Reactions
8 Replies
8K Views
kwema wajumbe.... Nimetumia crown ambayo iko order kabisa nilikua nikiweka full tank computer dashboard inaniambia nna km 520 had 545 maxmum kwa safari ndefu. ila nimenunua mark x engine ile ile...
3 Reactions
87 Replies
27K Views
Ukweli ni kwamba tunaelekea kuufunga mwaka 2019 na time kama hii tunakaribia kukutana na hesabu nyingi za kufunga na kujiandaa kwa mwaka unaofuata. Sasa wakati ukiwaza bajeti ya mwakani pengine na...
15 Reactions
107 Replies
30K Views
Wadau mie nahitaji msaada , nnaka Verossa kangu nataka nipige chini Engine na Gear Box. Je ni wapi ntapata vitu hivo Kwa uhakika wa Bei nafuu (reasonable price) , spea za uhakika (Genuine...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Waungwana nimechoka kutembea kwa mguu, nina ka milioni 5 nilitaka nitafute ka miguu minne nipumzike shida kutembea, ila sina uzoefu na mambo ya magari ni aina zipi za magari naweza kununua ikiwa...
6 Reactions
131 Replies
17K Views
Back
Top Bottom