Habari wakuu,
Nimeona gari beforward nimependa na nataka kuagiza. Ishu inakuja sasa gari CIF yake ni 3585 USD lakini TRA wao wame calclualte kwwa CIF ya 2709USD. Hapo calculation ya mwisho...
Nina Mitsubish PAJERO IO ACTIVE FIELD EDITION 4G93 1.8 L Engine. Ninejaribu fanya Diagnostics kutumia Machine mbalimbali lakini inaonekana ECU yake inachagua machine ya kusomea.
Ni wapi naweza...
Nina milioni tano nataka kuagiza gari japan la kutembelea naweza kupata gari aina gani?na gharama zote zisivuke milioni sita???
Msaada ndugu wenye uzoefu.
Wakuu habari ya mwaka mpya.
Ndugu zangu wa hili jukwaa pendwa naomba msaada wenu kuna garage hipo hapa Mbezi Beach karibu na Juliana huku chini Africana. Nilipeleka gari kwaajili ya service za...
Gari inayopaa yenye uwezo wa kuruka kwa zaidi ya futi 8,000 (sawa na mita 2,500) na kukimbia kwa kasi ya zaidi ya 100mph (sawa na km 160 kwa saa) imeidhinishwa na kupewa cheti cha kuiruhusu...
Naomba ushauri, nimezoea kuendesha automatic sasa juzi nimepata manual Vitz.
Kila nikisimama kwenye foleni hapa dsm foleni ikiachia gari inazima, nilidhani ni technical problem lakini fundi...
Habari,
TESLA ni kampuni la magari ya umeme inayomilikiwa na tajiri namba moja duniani Elon Musk, imeondoa feature ya dereva kucheza games huku akiwa anaendesha gari.
Tamko la kuondoka kipengele...
Wadau hapa na chuo kabisa cha ME,
Naomba ushauri ni njia gani ambayo naweza kufanya alarm system isinyonye betri.
2. Kuna kifaa cha kufunga kwenye gari betri isinyonywe na system nyingine ya...
Wakuu, heshima kwenu.
Nafahamu kuwa technolojia inabadilika na kuboreshwa kila leo, kuhusu Security Systems za magari, ni ipi ambayo ni current and the best? Ahsanteni.
Kumekuwa na ongezeko la wimbi la wizi wa magari hasa jijini DAR ES SALAAM.
Kwenye groups za WhatsApp hazipiti siku kadhaa linaletwa tangazo kuwa Kuna gari limeibiwa.
Magari ambayo yamekuwa...
Jamani eeh...mim hii gar kwa wakat huu ndo my dream car...nataka niipate nii pimp kiwe convertable...yaan naipenda hii gar jaman
Anaejua napoweza pata kwa bei nzur na hali nzur....sjui nikaweke...
Hawa jamaa ningependa tuwachambue kitaalamu ni yupi mkali kuzidi mwingine na kwa nini?
Maana ubishi mtaani umekua mkubwa yaani mtu akipeleka gari yake sehemu moja na mwingine kwingine wanaishia...
Sina haja ya kueleza mengi. Mtakumbuka mwanzoni mwa mwezi huu nilikuja hapa kueleza kuwa nina nia ya kununua gari kutoka kampuni ya wauzaji SBT japani. Ni mara ya kwanza kuagiza ktk kampuno hii...
Habari za mchana wakuu?
Nimekuwa nikifatilia uuzwaji wa magari hasa katika page za instagram na facebook za madalali, baadhi ya thread humu jamvini na hata katika majukwaa ya minada kama kupatana...
Kwanza nikiri kuwa humu JF nimejifunza mengi sana. Mungu wa mbinguni awabariki sana ninyi nyote mnaojitolea kuhudumia watu kwa kuwapa maarifa mbalimbali.
Naomba kujua hayo niliosema hapo juu...
Naomba ushauri wana Jf,
Hasa mnaomiliki gari aina ya Vitz pamoja na Passo. Madereva wazoefu pia wa magari mnaweza kunisaidia kunipatia ushauri. Nina 5M, je ninunue gari gani (second hand) Kati ya...
Salaam wanna jamvi
Msaada Kama kuna mtu anafahamu mafundi waliobobea kwenye gari za Honda CRV, sio DT Dobie hawa wetu aw maanisha maana hao wengine mfuko hauruhusu, nimegundua kwa baadhi ya...
Wakuu nawasalimu pamoja na mko bize kufuatilia kesi mbali mbali zinazoendelea kwenye mahakama mbali mbali naomba ushauri wenu kwa wazoefu ninatumia subaru impreza kwenye mizunguko yangu ila hivi...
MAJINA YAMAGARI YA TOYOTA NA MAANA ZAKE.
Kampuni ya Toyota ilianzishwa na mtu anayeitwa toyoda na si Toyota kama wengi wanavyofikiria . mwanzo ilikuwa ikijulikana kwa jina la katakana . kampuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.