JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)

Jukwaa maalum la mijadala kuhusu vyombo vya Usafiri (Magari, Pikipiki, Meli, Ndege n.k)
Wadau kama kichwa cha habari hapo juu natafuta fund anaeweza tengeneza pikipik za Japanes pia anaejua maduka ya vivaa vya hiz pikipik kwa hapa dar.....
1 Reactions
12 Replies
7K Views
Kama unanunua hizi gari za ulaya na unakuwa mjanja mjanja kwenye service na maintenance zingine basi huwezi kufika mbali kabla hujaanza kuzibatiza majina ajabu ajabu, mara pepo, mara jini, n.k...
19 Reactions
111 Replies
14K Views
Jamani naomben kujua, btn subaru forester and toyota gx100 ..ipi ni mnyama barabarani? Picha: Subaru Forester Picha: Toyota GX100
1 Reactions
137 Replies
28K Views
Habari wakuu, Gari ilimezngua MAF(Mass air flow sensor)imesafishwa lakini wapi bado inazingua. Imewasha taa ya check engine, Fundi aki clear code gari inazima haiwaki nini tatizo wakuu error...
9 Reactions
34 Replies
3K Views
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona. Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
16 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari Guys Nina Biometric kit mbili kwa ajili ya magari. Lengo ni mtu kupunguza idadi ya watu wanaoweza kuaccess gari lako. Kuna option mbili Naweza kuuza mojamoja zikafungwa kwenye gari mbili...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
Habarini za muda huu wakuu, Katika platform niipendano kabisa hapa duniani ya kwanza ni huu mtandao wa nyumbani tanzania JmaiiForum, nimejifunza vitu vingi sana na kujua mambo mengi sana na kupata...
9 Reactions
33 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Yamaha 4gl 90cc ni mfano tu wa mashine za kijapani ambazo wajapani walijitengenezea wenyewe kwa matumizi yao, pikipiki hizi ni sawa na Honda md90 ambazo zilitengenezwa maalumu kwa ajili ya...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Natafuta fundi wa kunitengenezea gari yangu aina ya honda pale itakapokuwacinaleta shida. Ni vizuri akipatikana hapa hapa dar es salaam. Gari ni honda stream. Naombeni msaada wenu.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Toyota Altezza Gita Toyota Altezza Gita (wagon) ni moja kati ya magari mazuri na imara kuwahi kutengenezwa na kampuni ya kutengeneza magari ya Toyota kwa kipindi cha miongo kadhaa iliyopita. Gari...
16 Reactions
247 Replies
38K Views
Hakuna ishara yoyote kuhusu mafuta. Kama hauko makini gari inaweza kuzimika. Naomba msaàda wenu.
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwezi huu wale wazee wa torrent imetoka hii filamu ya James Bond kwa jina la no time to die ,katika kutazama hii filamu nimeona scene ambayo imenifikirisha kwa nini na kuna maana gani? Mapema...
12 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari wakuu, Mwenye uzoefu wa aina ya gari tajwa hapo juu,anipe 'ABC' natamani kumiliki lkn sijayajua vema ..
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Wakuu nisaidie nina pikipiki ya san lg nilinunua kwa mtu(used) kila nikiwasha inawaka ila kila ninapoingiza gia namba moja au mbili inazima msaada nini tatizo
0 Reactions
4 Replies
735 Views
Msaada kwenu wakuu, ukiweka D inakwenda bila shida, lakini kama ukiengage R Gari inakuwa kama inakata mafuta na kisha inazima. Hii kero inasababishwa na nini?
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa kuzingatia viwango vya safety, stability, comfortability, inaonekana wazi kabisa kuwa watu wengi wanatamani sana kumiliki magari ya Ulaya. Lakini wanaogopa kuyamiliki kwasababu kuu tatu: -...
7 Reactions
110 Replies
18K Views
Kwa muda mrefu watu wengi wamekuwa wakiamini ukitumia AC unatumia mafuta mengi kuliko ukiendesha bila AC[vioo wazi]. Kiufundi ili AC ifanye kazi inahitaji nguvu ya ziada kutoka kwenye engine ili...
10 Reactions
156 Replies
32K Views
Habari za weekend wana ndugu! Naomba ushauri na uzoefu wenu wa magari hayo apo juu interms ya operational na maintenance cost! Lengo ni kutaka kuwakimbia toyota! Nashukuru!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu naomba mwenye uzoefu wa kujua @ aina ya betri bora na imara ya pikipiki boxer 150...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom